Ubungo Mataa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2018
- 411
- 725
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaona hiyo sikuWeee unakuja na Maua?
aaah mkuu sio vizur bhan[emoji23]muhimu kuwagusa
🤣🤣🤣Sawa,binafsi nangojea meseji ya muamala..Joannah & Joanah nipo china mara moja but msiwaze, ntawapa hela mtoke na mshamba_hachekwi awapeleke machimbo ya VVIP, Kama hamtojali... Nimefanya hivi najua mshamba hawezi wagusa namwamini [emoji23]
ucjal, af uzuri wako wew ni super woman, hauhtaji na ya kutolea, au nasema uongo?Sawa,binafsi nangojea meseji ya muamala...
Mpaka hio siku ifikeUtaona hiyo siku
Nami nilikuwa sijaelewa b… 😃😃Duh! Unisaidie? Unamaanisha nini mkuu? Sijaelewa.
Ova
Tunascreenshoot hii kwa matumizi ya baadae 😀Acha bange dogo mie natoka na Smart911 milele daima!
Na mbona uedit comment yangu lakini.![]()
Typing errors ndugu yangu, katika kuedit ndio ikawa hivyo! Sorry aiseeNa mbona uedit comment yangu lakini.[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pole.Typing errors ndugu yangu, katika kuedit ndio ikawa hivyo! Sorry aisee
Hahahahahaha...unaye nani sasa ? Rafiki tukusaidie kuumua huyo kipa na BekiTresor Mandala huyu mwaka huu ninaye,afe kipa afe beki🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Ninaye,means nina wewe!iwe jua iwe mvua Valentine nimekuwahi!..Hahahahahaha...unaye nani sasa ? Rafiki tukusaidie kuumua huyo kipa na Beki
Hahahahahaha....sasa mie mbn sina sifa yoyote inayokufanya uje kwangu ?Ninaye,means nina wewe!iwe jua iwe mvua Valentine nimekuwahi!..