Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #141
Wanasema fimbo ya mbali haiuwi nyokaDuh! Unisaidie? Unamaanisha nini mkuu? Sijaelewa.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema fimbo ya mbali haiuwi nyokaDuh! Unisaidie? Unamaanisha nini mkuu? Sijaelewa.
Ova
Mimi nina wivu siwezi huo msururuWewe tu unaonaje kwani?
Usiwe na wivu mboni hakuna msururu hapoMimi nina wivu siwezi huo msururu
....usiku kwenye moto wa upendoMchana tutakuwa kwenye majivu, usiku tutakuwa kwenye upendanao
wivu wa kikorea[emoji23]Mimi nina wivu siwezi huo msururu
muhimu kuwagusaJoannah & Joanah nipo china mara moja but msiwaze, ntawapa hela mtoke na mshamba_hachekwi awapeleke machimbo ya VVIP, Kama hamtojali... Nimefanya hivi najua mshamba hawezi wagusa namwamini [emoji23]
Ngoja nije mpaka PM tuzungumze vizuri tukiwa huko
Uje na hela ya bandoNgoja nije mpaka PM tuzungumze vizuri tukiwa huko
DuuuhUje na hela ya bando
Natamani kujifanya sijauona ila nashindwaUsiwe na wivu mboni hakuna msururu hapo
We fanya km hujaona tu usishindwe kwa hio tunalia wapi?Natamani kujifanya sijauona ila nashindwa
Unamchanganya mtoto wa watu 😀😀, ataweza kuhonga ada bure.
Kanisani kwenye majivuWe fanya km hujaona tu usishindwe kwa hio tunalia wapi?