Je, umejipanga kutoka na nani humu ndani katika siku ya wapendanao?

Tunaogopa kuwatag maana baadhi yao hatuwajui kama ni me au ke ila tunashinda ku like and quoting each other.
Au acha nitag hivyo hivyo Leejay49 kesho natoka mkoa x jirani na Uganda nashuka mkoa y jirani na Malawi na tukutane new city pub tar. 14 Feb kuifanya valentine day ikae powa.
Mhh sijaingia cha kike hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…