Hawa ndugu zetu ni shida sana mkuu[emoji1787]Ukiwaambia watakuambia tu angalia miti afu jibu ilipotoka..ukisema hujui..bac we ndo mjinga, ye anajua. Ni Allah au Yahweh au yesu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndugu zetu ni shida sana mkuu[emoji1787]Ukiwaambia watakuambia tu angalia miti afu jibu ilipotoka..ukisema hujui..bac we ndo mjinga, ye anajua. Ni Allah au Yahweh au yesu
wachungaji wako wengi hata machumo anawezakuwa mchungaji kwa mtazamo wako sababu tu anatembea na bible.Mfano tu mchungaji wa mwisho kuongea nae kuhusu hayo maandiko alinoambia vitu tofauti mfano kwenye swala la goliati hakusema goliati tofauti alisema ni kosa la kibinadamu la uchapishaji [emoji23][emoji23][emoji23]
hapa ndio nimekukamata sasa,kwanza hata huelewi tukisema hili ni neno la Mungu tuna maana gani.Kuhusu vitabu vingine kuwa na uongo nimekutana navyo vingi ila waandishi wake hawajawahi kusema vina ukweli wote ila nyie wachungaji mnasema biblia Ina ukweli wote halafu tukisoma tunakuta uongo eti nyoka na punda anaongea [emoji1787]kweli mtu mzima unasema hizi hadithi za kitoto ni ukweli usiopingika
haya yatabaki kuwa madai tu ya watu walioshiba wakaamua waende na upepo kujipatia umaarufu.nawewe ni miongoni mwa waliofanikiwa kuwaokota.Maandiko yalikuwa tayari yameandikwa na waandishi mbalimbali mfano hadithi ya nuhu ilitolewa kwenye hadithi za epic of Gilgamesh ikabadilishwa majina halafu wakasema ilitokea kweli huku sehemu original walioitoa ilikuwa wazi ni hadithi
embu leta ushahidi wa hiyo barua ya constantine hata picha au copy yake ambayo wewe umeisomaBarua ambayo mfalme Constantine alimuandikia Eusebius of Caesarea imehafidhiwa museum na maneno yapo yako wazi, nionyeshe historia yoyote iliohifadhiwa inayoonyesha yesu alikuwepo tofauti na hadithi za biblia
kwahiyo kwa sasa wanaopinga hayo wanafanywaje??Waliokataa walibandikwa jina "heretics' na adhabu ilikuwa ni kifo. Soma historia ya dark ages uone wakristo walivyokuwa wakatili. Msome William Tyndale alichofanywa Kwa kosa la kutafsiri biblia. Mfano Galileo Galilei walomuua Kwa order ya kanisan Kwa kosa la kusema ni sayari ndio zinazunguka jua sio jua linazunguka sayari (kanisa katoliki lilikiri hili kosa na kuomba msamaha wazi, fatilia kama mimi muongo)
😂😂afadhali umeingia mwenyewe kikaangoni,kwahiyo kwanini unafikiri Lutha pamoja na kuwa mkaidi kwa sheria za ajabu za kanisa hakugeuka jumla na kusema wazi kwamba hizi ni hadithi tu zilizopaliliwa na mtawala kwa mabavu???Kanisa la kwanza lilikuwa katoliki (Roman Catholic) makanisa mengine ya kikiristo yaliundwa na watu Kwa kupinga taratibu za kanisa katoliki mfano Martin Luther aliunda Lutheran (hapa bongo ndio KKKT), Elen G White aliunda Adventist church (Sabato) kama Sheria za mwanzoni zilizoendesha kanisa katoliki zilitoka Kwa mungu wote waliozipinga wakaanzisha dini zao tofauti wamepotea wanaenda motoni wote maana ake, sijui unanielewa.
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
neno MPUMBAVU sio tusi ni wasifu wa mtu.Tatizo hutoi facts wala hoja za msingi unatukana tu hii ni jaribio la kuonyesha mimi ni mjinga au mpumbavu kwasababu huna hoja za msingi sawa na wachungaji wengine ukimuuliza swali anasema una pepo.
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Eti maswala ya kiroho na kimiujiza (ila mkiugua mnakimbilia kwenye biological sciences Kwa akili ya dawa sio maombi), unawezaje kutofautisha kwamba hili ni swala la kiroho na kimiujiza kwenye biblia na hili sio au kila anae soma anaamua anavyotakawachungaji wako wengi hata machumo anawezakuwa mchungaji kwa mtazamo wako sababu tu anatembea na bible.
ukiacha kabisa mawazo ya mchungaji wako huyo,ukarudi kusoma nilichokuagiza utaelewa goriath hakuwa jitu moja,yalikuwa ni majitu yenye sifa hizo na nguvu nyingi.
hapa ndio nimekukamata sasa,kwanza hata huelewi tukisema hili ni neno la Mungu tuna maana gani.
humu yapo maandishi ambayo ukiyasoma unaona kabisa ni maswala ya kiroho na kimiujiza si ya kutokea katika hali ya kawaida,kama hata huelewi msingi wa awali kabisa wa bible utacheka sana ukisoma Yesu alikaa njaa siku 40 maana wewe ukishinda bila kunywa chai tu akili zinahama.
haya yatabaki kuwa madai tu ya watu walioshiba wakaamua waende na upepo kujipatia umaarufu.nawewe ni miongoni mwa waliofanikiwa kuwaokota.
kwahiyo story na Nuhu si kweli ni Nuhu ila ni hadithi ya gilgamesh,kwanini unakubali hivyo??sababu kuna sehemu umesoma pameandikwa hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]
embu leta ushahidi wa hiyo barua ya constantine hata picha au copy yake ambayo wewe umeisoma
sina historia zozote zaidi ya kukwambia Ulimwengu unatambua kalenda hii 2023 baada kuzaliwa kwa kristo.
sawa utasema ni huyu huyu konstantine alichonga hili.
kwahiyo kwa sasa wanaopinga hayo wanafanywaje??
[emoji23][emoji23]afadhali umeingia mwenyewe kikaangoni,kwahiyo kwanini unafikiri Lutha pamoja na kuwa mkaidi kwa sheria za ajabu za kanisa hakugeuka jumla na kusema wazi kwamba hizi ni hadithi tu zilizopaliliwa na mtawala kwa mabavu???
badala yake akapingana na sheria za ajabu tu za kanisa la roma???
Science inajua vitu vingi kuhusu miti lakini uhakika wa ilikotokea wanasayansi ya mimea hawajui bado. Watu wa dini mmesema mnajua ilikotokea kwamba ni Mungu kaumba kwa maana hiyo ni kazi yenu kutupa ushahidi kwamba ni Mungu? Na ni Mungu yupi? maana kila dini Ina story yake ya uumbaji. Sisi hatujasema mungu hakuumba tupeni tu ushahidi mkiuleta ushahidi wa kueleweka kwamba ni yeye tutakubali sio vitisho wala matusi kama kawaida yenu. Sio kazi yetu kutoa ushahidi kwamba sio yeye hakuumbalakini ni kweli unalo jibu la hili swali[emoji23][emoji23][emoji23]
au bado unatafiti???
kwani ni kosa kunywa dawa za hospital???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Eti maswala ya kiroho na kimiujiza (ila mkiugua mnakimbilia kwenye biological sciences Kwa akili ya dawa sio maombi),
haamui anavyotaka bali anafata andiko lilivyo,akiamua anavyotaka matokeo yake anakuwa na akili kama zako,mpaka anasahau anachotaka kujua😅unawezaje kutofautisha kwamba hili ni swala la kiroho na kimiujiza kwenye biblia na hili sio au kila anae soma anaamua anavyotaka
wewe unaonaje!!kama alizini na mke wa kaka yake kwa lengo maalumu na akaamua kumwaga nje?lengo lake lilikuwa utelezi ama kumpa uzao nduguye???Onani alielekezwa na mungu ampe mimba mke wa kaka yake lakini yeye akamwaga nje, mungu akghadhabika akaamua (Nisaidie kuamua hili ni la kiroho na kimiujiza au sio? Na kwanini?)
kwahiyo wewe ulikwenda rome ukaingia huko strong room na kusoma ulivyojisikia kusoma!!!ziko makumbusho gani hizo barua?Kuna makumbusho yoyote ya nje ya nchi umewahi kutembelea ndugu? Kama Bado siwezi kukutaftia barua ya Constantine (utapata picha tu za msaada kwenye World history encyclopedia).
Yesu alipaa,unataka mfupa wake ama masalia ya nguo alizovaa??Kwanini unaamini kwamba Nyerere aliishi Butiama? Kwasababu kuna makumbusho yenye ushahidi wa kihistoria kwamba alikuwa pale, niambie ni wapi Kuna ushahidi wa kihistoria wa yesu wa kutosha kuaminisha watu kama ulivyo wa Nyerere. (Mfano tu).
linazaliwa swali kulingana na madai yako.tafadhali jibu kwa ufasaha ili hoja zako ziwe kwenye misingi imara.Umesoma maandiko yoyote ya Luther kwanza? Biblia iliyotumika na kanisa la kilutheri lililoanzishwa na Luther iliachwa na hadithi sawa na zile kwenye biblia ya awali yenye iliyotumika na kanisa katoliki? (Nijibu hili swali Ili nielewe nabishana na mtu aliesoma haya maandiko au vipi?).
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
sayansi ni elimu tu,ambayo inasaidia kuyaelewa mazingira na kupata matumizi sahihi ya vinavyoyazunguka.Science inajua vitu vingi kuhusu miti lakini uhakika wa ilikotokea wanasayansi ya mimea hawajui bado.
unataka ushahidi gani??inabidi useme,maana maandishi ndio haya unasema ni uongo,wakati huo wewe mwenyewe rejea unayoitumia ni kisogo kikubwa tu😂😂Watu wa dini mmesema mnajua ilikotokea kwamba ni Mungu kaumba kwa maana hiyo ni kazi yenu kutupa ushahidi kwamba ni Mungu?
Mungu anayetajwa kuumba ni Mungu muumba.Na ni Mungu yupi?
ushahidi upo wewe hutaki,sasa hilo linakuwaje tatizo letu watu wa dini!!!maana kila dini Ina story yake ya uumbaji. Sisi hatujasema mungu hakuumba tupeni tu ushahidi mkiuleta ushahidi wa kueleweka kwamba ni yeye tutakubali sio vitisho wala matusi kama kawaida yenu. Sio kazi yetu kutoa ushahidi kwamba sio yeye hakuumba
sasa nikipaa halafu useme hujaona nikipaa sababu wewe ni kipofu,unadhani nakusaidiaje!!!Ndo sawa nikwambie Mimi naweza kupaa
Utasema hebu toa ushahidi kwamba unaweza kupaa au paa nione halafu mimi nikwambie hapana we toa ushahidi kwamba siwezi kupaa
hata science utakuwa umeikataa unaishi kwenye ulimwengu wako wa ufahamu.Nimalizie Kwa swali Moja tu vipi nikikwambia miti ilikuwepo tu na itaendelea kuwepo na Wala haikuumbwa ilikuja tu yenyewe utakataa?
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Nimekuuliza swali unakataa kuwa Allah sio Mungu? Hapo jibu ni rahisi tu ndio nakataa au hapana nakubali.Kumbe sasa ukweli haungaliwi tena kinachoangaliwa ni mtu kuchagua anataka kuamini nini si ndio?
Kwasababu Yawheh wa wakristo ana sifa hizo hizo, Brahma, Shiva na Vishnu wa wahindi wana sifa hizo hizo, Odin, Thor ambao ni Nordic Hods Wana sifa hizo hizo ila inavyoonekana umemchagua Allah kwasababu umetaka au wazazi walikupeleka au ulishawishiwa ila uhakika wa kwamba ndie mungu sahihi hauna. Kama upo tuambie ndugu
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Ndio wako huko nikuongezee na mengine huko kuna mito ya asali ,maziwa kuna matunda na hali nzuri ya kufurahisha lakini kubwa zaidi huko hakuna kufa.Na huko ndio Kuna wale vigori sabini na wawili mlio ahidiwa? huyo Mungu wenu ana upumbavu mwingi sana
Hapo patamu Sasa "kila chenye uhai kina Mwanzo na lazima kiwe na mwisho"sayansi ni elimu tu,ambayo inasaidia kuyaelewa mazingira na kupata matumizi sahihi ya vinavyoyazunguka.
science haijajaja na kitu kipya mkononi,vitu vyote viliishakuwepo,imefanya kuboresha na kuvipa majina kwa ajilo ya matumizi.
rejea kanuni ya neno Matter.
unataka ushahidi gani??inabidi useme,maana maandishi ndio haya unasema ni uongo,wakati huo wewe mwenyewe rejea unayoitumia ni kisogo kikubwa tu[emoji23][emoji23]
Mungu anayetajwa kuumba ni Mungu muumba.
ushahidi upo wewe hutaki,sasa hilo linakuwaje tatizo letu watu wa dini!!!
sasa nikipaa halafu useme hujaona nikipaa sababu wewe ni kipofu,unadhani nakusaidiaje!!!
hata science utakuwa umeikataa unaishi kwenye ulimwengu wako wa ufahamu.
science inasema kila kitu chenye uhai kina mwanzo na lazima kiwe na mwsho.
Mungu ni roho Mungu sio kitu.Hapo patamu Sasa "kila chenye uhai kina Mwanzo na lazima kiwe na mwisho"
rejea moja hapo juu.Mungu ana uhai? Kama anao basi tutahitaji kujua Mwanzo mwake
Kama Hana uhai [emoji23][emoji23] apa unaelewa maana yake Sina haja ya kusema
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Nakujibu swali lako sikubali uwepo wa Allah kwasababu ya hoja zifuatatzoNimekuuliza swali unakataa kuwa Allah sio Mungu? Hapo jibu ni rahisi tu ndio nakataa au hapana nakubali.
Kama unakubali tupo pamoja hamna ubishi kama unakataa leta hoja kwanini unakataa hayupo ? Vinginevyo itakuwa unamktaa Allah kwa fikra zako tu na huwezi toa hoja za kwanini unamkataa!.
Note: ALLAH afanani na hao kina Brahma , shiva n.k in short Allah Ni tofauti na miungu ya dini nyingine Hinduism ina believe katika polytheism,pantheism and monotheism at the same time Lakini pia wakristo wanaamini katika Mungu mmoja mwenye nafsi tatu hizi zote ni tofauti na uislamu, My friend uislamu unaamini katika monotheism only Yaani Mungu mmoja tu hana wa kufanana naye sasa hao kina shiva sijui nani nani mpaka picha zao zinawekwa kwenye ma-tample Allah afanani na chochote so ata image yake huwezi pata.
Mwisho ni kuwa ikiwa Allah anafanana na hao miungu wengine basi hao wahindu wangekuwa waislamu kwa sababu waislamu tunaamini katika nguzo sita za imani yaani ili uwe muislamu Allah anasema uamini mambo sita kwanza kumuamini yeye Allah hana mshirika, pili kuamini mitume wake ,tatu kuamini vitabu vyake ambavyo ni injili, Zaburi,torati na quran, Haya tubaki hapa kwenye vitabu nielezee hizo dini ulizotaja zinaamini katika hivyo vitabu? Ukileta hoja ya ukristo jibu lake ni kuwa wakristo wanaamini katika injili ila hawaamini qur an sasa wanakuwa wamekosa sifa ya kuwa waislamu na automatically hawamwamini Allah.
Swali langu lipo palepale wewe haumkubali Allah kwa hoja zipi??? Leta hoja tujadili
Kulikua na nyani wenye mikiaHaya nielezee kipindi hamna binadamu wala sokwe
...Swali Zuri. Akilijibu, Niko palee...!Kwanini una amini Mungu hayupo?
Hiyo roho Ina uhai?Mungu ni roho Mungu sio kitu.
unajua hata unachojengea hoja lakini!!!!
ndio maana nakwambia elewa kwanza kwa undani unachokibishia.
rejea moja hapo juu.
....Umegundua ni Nani anayeviwezesha kulala na Kuamka ?...Ata Mbuzi, sizimizi, myooo navo vinalala
Ndio nina uthibitisho.Naye huyo nampinga.
Una uthibitisho wa kuonesha yupo?
roho bila uhai hiyo sio roho.Hiyo roho Ina uhai?
so!!!!!Genesis 3:8, it says, "And they heard the sound of the Lord God walking in the garden in the cool of the day."
roho si tu ina miguu,hii roho ya Mungu sehemu nyingi sana imeonekana na maumbo mbali mbali.Kwenye hili andiko mungu anatembea bustanini na sauti ilisimama akitembea. Kwa hiyo hebu nieleweshe hiyo roho Ina miguu. Maana pia nafahamu tumeumbwa Kwa mfano wake maana yake anaweza kuwa na muundo kama sisi
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app