Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

๐Ÿ˜‚Atakuambia fata ya Muhammad muoa watoto
 
Asa we ni muislam ndo maana unasema hivyo . Na kila dini ndo inasema Ina maandiko ya Mungu mwenyewe na wengine wote ni waongo...ni sawa ninunue dawa afu nakuta karatasi elfu moja kila moja Ina maelezo yake...ehe unafanyaje apo..๐Ÿ˜‚au unachukua yenye maandishi ya kiarabu
 
Zimepitia process ya authentication...huwezi andika kitabu Cha science au history Leo afu kiwe Cha uwongo afu kipitishwe..Ila bible waliweza coz ni faith based system ...unaamini tu hata Kama ni ujinga na uongo
rejea swali ulilolinukuu.na hata kama umeamua kuacha akili nyumbani bado utakumbuka ktk science kuna theory kibao zipo ktk maandishi lakini ni uongo wa wazi,mfano darwinism ktk evolution.

na bado mpaka dkk hii theory ambayo ina make sense ktk zote juu ya mwanzo wa dunia ni hii ya dini tu.sio bigbang wala nyingine hizo.
 
lakini ni kweli unalo jibu la hili swali๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

au bado unatafiti???
๐Ÿ˜‚Sio kazi yangu mi kujua mti umetoka wapi unanisaidia Nini kwa mfano..nitakufa nisipojua au, nitaumwa?
 
Acha uwongo...Kama ndo hivyo..nitajie mtu kifo chake recent ambacho kwenye mainstream media wanachanganya cause of death
mbona unabishana kama mtu anayerusha ngumi bila kutazama wapi anapiga!!!unarusha ngumi hewani.

mainstream media ukiifananisha na nini kwa kifo cha yuda miaka 2000 iliyopita??
..hata Hitler kifo chake kinajulikana dunia nzima...acha kusingizia miaka...
huyu huyu hitler kifo chake bado hakifahamiki,kuna dhana 2 kubwa,moja alitumbukia ktk acid,nyingine ni kwamba alitorokea amerika.


huyo Mungu muweza yote hakuona Hilo tatizo..
tatizo gani??
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hujui maana ya theory. Gravity ni theory, Kama ni uwongo jitupe ghorofani Kama huanguki... Theory sio hypothesis elewa...theory of demand and supply, elewa maana ya theory ndo uje
 
๐Ÿ˜‚Sio kazi yangu mi kujua mti umetoka wapi unanisaidia Nini kwa mfano..nitakufa nisipojua au, nitaumwa?
lakini unataka kujua ukweli wa madai ya watu wa dini unafikiri utakupeleka wapi??ikiwa hata hujui wapi unaelekea๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hizo ni rumors..cause of death ni kwamba alijiua..hizo ni story za mtaani ni sawa bongo waseme magu alilogwa wakati kifo chake kinajulikana official ni nini...Sasa bible Ina story za mtaani kibao ndo maana kila kitabu kina story yake...huwezi kitegemea Kama reference
 
Mungu (mother nature) yupo lakini Mungu anayekaa kwenye kiti cha enzi, huyo hayupo.

NB: Tubakie na imani zenu, huku tukiheshimu za wengine pia.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hujui maana ya theory. Gravity ni theory, Kama ni uwongo jitupe ghorofani Kama huanguki... Theory sio hypothesis elewa...theory of demand and supply, elewa maana ya theory ndo uje
kaisome theory niliyokutajia usikurupuke kujibu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….

sio kila theory imethibitika ktk vipimo vya kisayansi ili kukubalika,ndio sababu kwenye topic ya genetics kuna thana karibia 4 za mwanzo wa ulimwengu,zimeandikwa zote kwenye vitabu vya sayansi.

ila kuprove sasa.๐Ÿ˜ก๐Ÿ˜ก
 
lakini unataka kujua ukweli wa madai ya watu wa dini unafikiri utakupeleka wapi??ikiwa hata hujui wapi unaelekea๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Yaani mtu yeyote anaweza akaja akasema nimetokewa na Allah sijui Yahweh anataka mfanye hivi...it's too easy .ndo dini na makanisa yanavyoanzishwa .kina zumaridi sijui devi hivyo hivyo... it's too easy afu watu walivyokua wajinga wanafata tu...so siwezi kukaa kubishana na mtu sijui dunia imetokea wapi...even if it demands creator sio lazma awe wa kitabu chako Cha chai na juice
 
Bora niamini something that makes sense kuliko a naked couple in a magical garden with a talking snake...hii ni story za watoto wa chekechea
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hizo ni rumors..cause of death ni kwamba alijiua..hizo ni story za mtaani ni sawa bongo waseme magu alilogwa wakati kifo chake kinajulikana official ni nini
official kwa maana ya tangazo la serikali ama kwa maana ya uhalisia!!!!

...Sasa bible Ina story za mtaani kibao ndo maana kila kitabu kina story yake...huwezi kitegemea Kama reference

unataka kutegemea kama reference ukiwa unatafiti jambo gani??la kiimani ama kihistoria??
 
uligunduaje mkuu kwamba ni hadithi za kutunga!!!

wewe umetunga kitabu gani???

vipi historia ya mkwawa na kinje nayo unaionaje si ni hadithi iliyotungwa pia au???
Ndugu Ndg.Evil Geius, from now on you are no longer Evil Genius but Fool Evil.My God forgive you ๐Ÿค”
 
๐Ÿ˜‚Fyn tufanye tumeumbwa...hizo sheria za huyo mwarabu mjinga tunajuaje ni za Mungu
 
Hao nyani wenye mikia wametoka wapi?
Na mbona sasa hivi kuna nyani wenye mikia lakini hawabadiliki kuwa binadamu ? Why evolution stopp??
Umeishi duniani miaka mingapi..Kama ni less than a million. Then goodbye sir
 
ndio maana nitakusihi kwamba mambo usiyoyaamini yasikuumize kichwa,sababu once you stape in utakula za uzo sababu unajaribu kuingiza dhana zako ambazo hazifanyi kazi huko.

sisi wenzako mtu akisema katokewa na Mungu tunasubiri ishara za kimungu.wewe unasubiri akuletee chakula mezani.
 
Swali zuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ