Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Vipi ukikutana na kitabu kinachokwambia historia ya vifo vya aina mbili tofauti vya mtu mmoja (Soma biblia yako vizuri Kuna vifo viwilo tofauti vya sauli na yuda)
biblia si tu kwamba naisoma vizuri kama wewe,naisoma kwa utulivu pia.
usisome huku unakula muwa.

embu eleza vifo vya aina mbili kwa namna gani???
Academic history inaambatana na fossil evidence, documentary evidence sio kama historia za biblia amabazo ukiuliza unatishwa eti usipoamini utaenda motpni
inabidi uwe makini kujenga hoja,unajengaje.

kuhusu imani ni kweli tutakwambia wacha ugumu wa moyo,lakini kuhusu ushahidi tutakwambia acha upumbavu,maana ushahidi wa kihistoria katika biblia umehifadhiwa vyema kuliko historia yoyote unayoijua.

leo tu unahesabu 2023AD halafu kuna BC unajua maana yake???
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Unauliza miti ilitokea wapi kwasababu mwenzako kasoma biblia ila wewe hujachukua muda wako kusoma evolution ya mimea. Nin uhakika ikijaribu kuongea chochote kuhusu evolution utaongea utopolo. Ila mwenzio maandiko anayaelewa labda uanze kutafuta njia nyingine ya kuyatafsiri kama kawaida yenu.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Nielezee Basi japo kwa ufupi hiyo evolution ya mimea tujue mimea imetoka wapi.
Tupe elimu mkuu.
 
Kwa hiyo Mungu aliumba watu ili aje awachome siku ya mwisho, Wakati uwezo wa kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda dhambi na uovu Alikuwa nao?
Watakae fuata maagizo yake na kuacha makatazo yake hawatachomwa ila watakao kiuka watachomwa na Mungu kampa uwezo mwanadamu wa kufuata au kutokufuata sasa ni wewe kuamua kufuata usichomwe au kukaidi uchomwe.
Mungu angekuwa anakosea kama angemuumba mwanadamu alafu ampe uwezo wa kufanya mabaya tu bila mema alafu aseme ukifanya mabaya atakuchoma hapo ata mimi ningekubali huyu Mungu ni wa mchango lakini amekupa uwezo wa yote mabaya na mema hivyo uamuzi ni kwako si kwake tena.
 
biblia si tu kwamba naisoma vizuri kama wewe,naisoma kwa utulivu pia.
usisome huku unakula muwa.

embu eleza vifo vya aina mbili kwa namna gani???

inabidi uwe makini kujenga hoja,unajengaje.

kuhusu imani ni kweli tutakwambia wacha ugumu wa moyo,lakini kuhusu ushahidi tutakwambia acha upumbavu,maana ushahidi wa kihistoria katika biblia umehifadhiwa vyema kuliko historia yoyote unayoijua.

leo tu unahesabu 2023AD halafu kuna BC unajua maana yake???
1 SAMWEL 31:4 Sauli alidondokea panga lake mwenyewe (alijiua mwenyewe) Soma sura nzima sio mstari tu
2 SAMWEL 1:1-10 jamaa anamuadithia daudi kwamba alimchinja sauli (slewn by an amalekite)

Si tunafahamu yuda alijinyonga kasome Acts 1:18 (matendo ya mitume) utaona kifo cha yuda hapo kama ni kujinyonga

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
1 SAMWEL 31:4 Sauli alidondokea panga lake mwenyewe (alijiua mwenyewe) Soma sura nzima sio mstari tu
2 SAMWEL 1:1-10 jamaa anamuadithia daudi kwamba alimchinja sauli (slewn by an amalekite)
mimi nikajua moja inasema jamaa alijichoma na upanga nyibgine inasema alijizika akiwa hai😂😂,ndio maana nikasema uwe unasoma kwa utulivu.

panga lililomuua daudi ni la huyu mshika silaha wake si ndio??
Si tunafahamu yuda alijinyonga kasome Acts 1:18 (matendo ya mitume) utaona kifo cha yuda hapo kama ni kujinyonga
hapa pia usiwe na pupa,moja inasena alijinyonga nyingine alianguka matumbo yakapasuka.

swali mtu akijinyonga asishushwe,kinachofanya ni kipi???maana shamba inaonekana lilikuwa ni la kwake kwa kulinunua.
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
biblia si tu kwamba naisoma vizuri kama wewe,naisoma kwa utulivu pia.
usisome huku unakula muwa.

embu eleza vifo vya aina mbili kwa namna gani???

inabidi uwe makini kujenga hoja,unajengaje.

kuhusu imani ni kweli tutakwambia wacha ugumu wa moyo,lakini kuhusu ushahidi tutakwambia acha upumbavu,maana ushahidi wa kihistoria katika biblia umehifadhiwa vyema kuliko historia yoyote unayoijua.

leo tu unahesabu 2023AD halafu kuna BC unajua maana yake???
Umehifadhiwa vyema kivipi

Kwenye mlima Ararat ambapo inasemekana safina ya Noah ilisimama hamna mabaki ya aina yoyote ya safina archeologist wamefatilia mpaka basi.

Kuhusu BC (before christ) na Anno Domino (AD) ambayo inafahamika kwamba baada ya yesu zimeshabadilishwa au haufahamu Sasa hivi tunatumia BCE (before common era) na CE (common era) wanawaheshimu waromani tu ila ukweli ni kwamba zilibadilishwa kwasababu hamna ushahidi wa yesu kuwepo



Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Zamani nilikua naiamini Sana Simba kumbe Tanzania timu kubwa ni Yanga..
 
mimi nikajua moja inasema jamaa alijichoma na upanga nyibgine inasema alijizika akiwa hai[emoji23][emoji23],ndio maana nikasema uwe unasoma kwa utulivu.

panga lililomuua daudi ni la huyu mshika silaha wake si ndio??

hapa pia usiwe na pupa,moja inasena alijinyonga nyingine alianguka matumbo yakapasuka.

swali mtu akijinyonga asishushwe,kinachofanya ni kipi???maana shamba inaonekana lilikuwa ni la kwake kwa kulinunua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we umekurupuka kusoma naongelea kifo cha sauli sio daudi
Hadithi Moja alidodondekea panga la mshika silaha
Nyingine alichinjwa (slewn)

Kuna kuchomwa na kuchinjwa hapo sio vitu sawa au kwako ni sawa

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
mimi nikajua moja inasema jamaa alijichoma na upanga nyibgine inasema alijizika akiwa hai[emoji23][emoji23],ndio maana nikasema uwe unasoma kwa utulivu.

panga lililomuua daudi ni la huyu mshika silaha wake si ndio??

hapa pia usiwe na pupa,moja inasena alijinyonga nyingine alianguka matumbo yakapasuka.

swali mtu akijinyonga asishushwe,kinachofanya ni kipi???maana shamba inaonekana lilikuwa ni la kwake kwa kulinunua.
Ndo maana nimekwambia soma sura nzima utofauti apo alipojinyonga pesa alirudisha majamaa wakaenda kununua shamba. Kule matumbo yalipomwagika shamba alinunua mwenyewe hakurudisha pesa

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we umekurupuka kusoma naongelea kifo cha sauli sio daudi
Hadithi Moja alidodondekea panga la mshika silaha
Nyingine alichinjwa (slewn)

Kuna kuchomwa na kuchinjwa hapo sio vitu sawa au kwako ni sawa

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Au kudondokea panga mwenyewe Kwa hiari yako na kukatwa na mtu ni vitu sawa ?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Mim zaman Nilikuwa naaamini Kama mungu yupo lakin Nilikuwa siamini Kama mungu anajibu maombi sababu mim at that time sikuona majibu kutoka kwa mungu japo Nilikuwa nasali mno like hell dah baaada ya kipind kirefu nimekuja kuamini Kama mungu yupo anajibu maombi mwaka huu I can make 60$per hour God your good!
Laki kwa lisaa upo vzuri mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we umekurupuka kusoma naongelea kifo cha sauli sio daudi
nisome tena kwa utulivu.
Hadithi Moja alidodondekea panga la mshika silaha
Nyingine alichinjwa (slewn)
ipi aliyochinjwa???moja inaeleza sauli akitoa maelekezi kwa kamanda wake amuue,akagomewa akajichomsha mwenyewe.
nyingine ni daudi akisimuliwa na kamanda husika kilichotokea.

shida yako iko wapi??
Kuna kuchomwa na kuchinjwa hapo sio vitu sawa au kwako ni sawa

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Katika maisha kila mtu ana amini katika kile anachokiamini kuanzia kwenye maisha binafsi, dini, uchumi, siasa n.k.

Kuna watu wanaamini biashara bila ndumba haiendi, kuna wanao amini mapenzi bila pesa lazima mwanamke Aku cheat n.k.

Mimi kwa upande wangu nilikuwa naamini kutumia miti shamba kujitibu ni ujinga tena nikihusisha na ushirikina lakini kwa sasa hapana siamini hivyo nimejua kuwa miti na mimea kwa ujumla ina siri nyingi na ni tiba sana.

Vipi wewe kwa upande wako Ulishawahi kubadili mawazo yako na kuacha kuamini kitu ambacho ulikiamini awali ? na Kwanini?
 
Watakae fuata maagizo yake na kuacha makatazo yake hawatachomwa ila watakao kiuka watachomwa na Mungu kampa uwezo mwanadamu wa kufuata au kutokufuata sasa ni wewe kuamua kufuata usichomwe au kukaidi uchomwe.
Mungu angekuwa anakosea kama angemuumba mwanadamu alafu ampe uwezo wa kufanya mabaya tu bila mema alafu aseme ukifanya mabaya atakuchoma hapo ata mimi ningekubali huyu Mungu ni wa mchango lakini amekupa uwezo wa yote mabaya na mema hivyo uamuzi ni kwako si kwake tena.
Kama Mungu alitoa uamuzi wa kuweza kufanya mema au mabaya, Kwa nini aingilie uhuru wa watu kufanya ubaya kwa kuwa adhibu?

Kama Mungu alikuwa hataki tufanye mabaya, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda mabaya?
 
Ndo maana nimekwambia soma sura nzima utofauti apo alipojinyonga pesa alirudisha majamaa wakaenda kununua shamba. Kule matumbo yalipomwagika shamba alinunua mwenyewe hakurudisha pesa

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Ndo maana nimekwambia soma sura nzima utofauti apo alipojinyonga pesa alirudisha majamaa wakaenda kununua shamba. Kule matumbo yalipomwagika shamba alinunua mwenyewe hakurudisha pesa

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
kwanza lazima uelewe,hii ni historia na sifa ya historia inakuwa na source nyingi,kulingana na mashuhuda.

ndio maana tunakwenda kwenye hutimisho,nini kilimkuta Yuda???

ndio sababu haya yamejitokeza pia hata ktk muda sahihi wa kusulubiwa Yesu,haiwezekani source 2 au 3 zote zikaandika muda sawa zikiwa katika taharuki na wakari ambao hakuna saa za kutizama.
 
Mimi binafsi nilikuwa naamini mungu yupo ila nikaja kugundua ni hadithi tu za alinacha za kutunga zisizo na ukweli wowote.

Biblia ni kitabu kilichotungwa na watu. Quran kama inavyoeleza yenyewe iliandikwa na watu ambao hawakufika hata darasa la pili, thinking yao ni kama ya watoto wa chekechea.

Mungu hayupo, ni hadithi tu zisizo na kichwa wala miguu.
umesoma namba za tarakimu unaona umemaliza, tulia mkuu ukutane na za kirumi utajuta kumkana Mungu
 
Kitabu gani hicho Mungu anasema tusimuabudu.?
Mada hapa ni uwepo wa Mungu na hakuna kitabu kinachopinga uwepo wa mungu.
Kama unataka mambo ya utofauti wa vitabu vya dini hiyo ni mada nyingine ambayo wewe itakuwa haikuhusu kwa sababu wewe haukubali uwepo wake, Hizo tofauti inabidi wajadili waislamu, wakristo na wayahudi wanaoamini katika Mungu.
Mbona umetaja dini 3, Kati ya 10k zilizopo duniani
 
Nikuongezee tu sio biblia tu imesema Mungu Kaumba Adam na hawa ata Qur an ya waislamu na talmud za wayahudi zote zinasema Mungu aliumba adam na hawa tu.
Sasa nije kwenye swali lako ilikuwaje kukawa na hizi varieties za races ... Adam na Hawa waliishi mashariki ya kati na walipata watoto wakazaliana sana tu. Lakini Hapa watu wote walikuwa ni wa race moja ya Adamu Lakini watoto wa Adamu walisambaa sana kuna walioenda kuishi palestina wengine iraq na Iran wengine maeneo ya sham na maeneo mengine kumbuka hapa watu wote Ni race moja lakini washatawanyika hivyo mazingira ndio yaliyo sababisha hizo races zikazaliwa kwasababu mazingira yanaweza kumshape mwanadamu na mazingira yanaleta athari kwa mwanadamu mfano mtu anayeishi maeneo ya baridi ni tofauti na anayeishi maeneo ya joto nywele zao na rangi lazima zitofautiane hivi ndiyo races zilivyoanza.
So ndani ya miaka 2000 tuseme, mtu anaweza kutoka from white tu black...mbona weusi wa marekani hawawi wazungu then...🤣🤣🤣hapa umetuchota
 
Back
Top Bottom