Utabisha ila utofauti upo wazi kwenye hadithi ya sauli. Basi ngoja nikupe maandiko mengine na yenyewe tuone utasemaje
1. Mungu anatubu au tuseme anaomba msamaha Kwa kumfanya sauli mfalme(I Samuel 15:10 to 11) [hapo kumbuka anajua kila kitu Kwa hiyo alijua mapema sauli ataharibu anajutia nini sasa]
Huyo huyo samweli tena anasema mungu hawezi kutubu maana sio mwanadamu (I Samuel 15:29)
Tena samweli anasema mungu alitubu au tuseme kuomba radhi au kujuta kumfanya sauli mfalme wa Israeli utafikiri alikuwa hajui kama ataharibu.
(I Samuel 15:35). [emoji23][emoji23] HUYU NI MWANDISHI MMOJA TU.
2. After the feeding of the multitude, Jesus went to Gennesaret. Mark.6:53.
After the feeding of the multitude, Jesus went to Capernaum. John.6:14-17.
Kati ya Luka na Marko nani yuko sahihi Yesu alienda wapi baada ya kulisha umati mmoja anasema Gennesaret mwingine Capernaum
3. Yuda alimbusu yesu? mathayo anasema ndio yohana anasema hakuweza kusogea karibu vya kutosha kumbusu hivyo hakumbusu.
(Matthew 26:48-50)(John 18:3-12)
4.Yesu alikuwa wapi saa la sita la siku ya kusulubiwa Marko anasema kwenye msalaba yohana anasema kwenye mahakama ya pilato
(Mark 15:23) (John 19:14)
5.Nani alimuua Goliati
David (I Samuel 17:23, 50)
Elhanan (2 Samuel 21:19)
6. Kuna mtu apa alimuona mungu na maisha na hakufa Genesis (Mwanzo) 32:30
Yohana alisahau akasema hakuna aliemuona mungu (John 1:18)
Tuanzie hapa kwanza mkuu
Sent from my M10_Max using
JamiiForums mobile app