BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Huko kote ni kutaka kumfurahisha mwanamke,,,wanaume tutapumzika tukiwa kaburini tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanabong'oa kiuno na kutanua matako ili kupitisha bomba kwenye kunduhHilo Bomba anapigwa akiw amekaa MKAO gani.. Hicho tu ndio cha kujiuliza.
Nimesema tatizo kubwa ni jinsi dawa inavyowekwa inatia ukakasi mzaha uko wapi we nae nitolee utakatifu wakoJapo mmeanza kuingiza mzaha lakini tiba hiyo ni tiba maarufu kwa jamii ya Mongolian Race hasa wajapan na wachina. Well it's all about science, hakuna uchawi wala ushirikina!
Afya ya mtu inategemea chakula chake kama kawaida yetu wabongo tunakula chakula ili kujaza tumbo bila kufuata ulaji sahihi hivyo inapelekea mgandamano wa mavyakula na Cholesterol kibao mwilini. Sasa tumbo lako kama haliko vizuri lazima Utendaji wa mwili utadorora, ndio maana tuka ukiwa mtoto hua wanapiga bomba... Magonjwa mengi yanayotokana na tumbo kama bengu, ngiri, shurua nk hudhibitiwa.
Sasa kwenyw nguvu za kiume kama nilivyo sema ulaji wetu mbaya hupelekea mgandamano wa mavyakula tumboni na mafuta kwenye mishipa. Nguvu za kiume zinategemea na damu yako maana dyudyu lahitaji damu ilikusimama kama mishipa itakua na mafuta haitasimama kwa ufanisi.
So kuna dawa ukizitumia una zinaondoa maduta hayo tumboni na kwenye mishipa na kuongeza ufanisi wa homoni ya Dihydroxyphethylamine. Hapo unaweza kwenda hata siku nzima bila kuchoka
Duhh kupigwa Bomba la nukta fiche na kunyunyuziwa maji, Kuna tofauti gani na kuingiziwa pipe na kumwagiwa? Hapa Kuna ukakasi sio Bure.Huo utamaduni upo sana Kigoma wanapigwa hiyo kitu tangu utotoni mpaka utu uzima, kwa lengo la kutibu magonjwa na kuongeza nguvu za kiume, hata wanawake wa huko wanapigwa bomba nasikia inaongeza nguvu sana kwa bed,, tatizo ni njia yake hiyo inatia ukakasi sana
Na kinyesi kinalipuka si mchezo acha kabisa,Duhh kupigwa Bomba la nukta fiche na kunyunyuziwa maji, Kuna tofauti gani na kuingiziwa pipe na kumwagiwa? Hapa Kuna ukakasi sio Bure.
Hiyo njia inatia ukakasi. Kwani hawawezi kumeza hiyo dawa?Japo mmeanza kuingiza mzaha lakini tiba hiyo ni tiba maarufu kwa jamii ya Mongolian Race hasa wajapan na wachina. Well it's all about science, hakuna uchawi wala ushirikina!
Afya ya mtu inategemea chakula chake kama kawaida yetu wabongo tunakula chakula ili kujaza tumbo bila kufuata ulaji sahihi hivyo inapelekea mgandamano wa mavyakula na Cholesterol kibao mwilini. Sasa tumbo lako kama haliko vizuri lazima Utendaji wa mwili utadorora, ndio maana tuka ukiwa mtoto hua wanapiga bomba... Magonjwa mengi yanayotokana na tumbo kama bengu, ngiri, shurua nk hudhibitiwa.
Sasa kwenyw nguvu za kiume kama nilivyo sema ulaji wetu mbaya hupelekea mgandamano wa mavyakula tumboni na mafuta kwenye mishipa. Nguvu za kiume zinategemea na damu yako maana dyudyu lahitaji damu ilikusimama kama mishipa itakua na mafuta haitasimama kwa ufanisi.
So kuna dawa ukizitumia una zinaondoa maduta hayo tumboni na kwenye mishipa na kuongeza ufanisi wa homoni ya Dihydroxyphethylamine. Hapo unaweza kwenda hata siku nzima bila kuchoka
Hebu tueleze mkuu, naona una idea kidogo kuhusu hii issueNa kinyesi kinalipuka si mchezo acha kabisa,
Why? Kwanini watu wanapenda kunihusisha na utakatifu aisee?
See, mimi hata sikukulenga wewe kua ndio umesema mzaha. Nilisemea comment ya watu8.
Btw dawa hizo hupitia njia hiyo maana baadhi can't be drinked or swallowed coz you might be dead! Why????
Coz ukiinywa itafanyiwa diegestion na kuingia kwenyeFigo +Blood circulation... You won't survive it. Unapopiga bomba dawa haifiki tumboni bali kwenye Rectum au Utumbo mpana.
Niliwahi shuhudia watoto wanapigwa hiyo kitu kipindi hicho ndo corona imeanza tu,, yanaruka kama mpira wa maji uliopasuka nikawa nashangaa wenyeji wakanishawishi na mimi eti nipigwe bomba nikakataa aisee,,Hebu tueleze mkuu, naona una idea kidogo kuhusu hii issue
hawawezi kuiwekea coating ili ikaanzie kufanya kazi kwenye rectum? No other way 🤔🤔Why? Kwanini watu wanapenda kunihusisha na utakatifu aisee?
See, mimi hata sikukulenga wewe kua ndio umesema mzaha. Nilisemea comment ya watu8.
Btw dawa hizo hupitia njia hiyo maana baadhi can't be drinked or swallowed coz you might be dead! Why????
Coz ukiinywa itafanyiwa diegestion na kuingia kwenyeFigo +Blood circulation... You won't survive it. Unapopiga bomba dawa haifiki tumboni bali kwenye Rectum au Utumbo mpana.
Unajifanyaga malaika mtukufu sometime unakera,Why? Kwanini watu wanapenda kunihusisha na utakatifu aisee?
See, mimi hata sikukulenga wewe kua ndio umesema mzaha. Nilisemea comment ya watu8.
Btw dawa hizo hupitia njia hiyo maana baadhi can't be drinked or swallowed coz you might be dead! Why????
Coz ukiinywa itafanyiwa diegestion na kuingia kwenyeFigo +Blood circulation... You won't survive it. Unapopiga bomba dawa haifiki tumboni bali kwenye Rectum au Utumbo mpana.
Hii inanifanya niwaangalie kwa jicho jingine wenyeji wa kigomaNiliwahi shuhudia watoto wanapigwa hiyo kitu kipindi hicho ndo corona imeanza tu,, yanaruka kama mpira wa maji uliopasuka nikawa nashangaa wenyeji wakanishawishi na mimi eti nipigwe bomba nikakataa aisee,,
Wanasema hata mgonjwa akipigwa hiyo kitu anapata nafuu na nguvu,😲
Tembea uone, duniani kuna mambo
Kama kuna njia nyingine sawa hiyo hapana 😁😁😁Unajifanyaga malaika mtukufu sometime unakera,
Kujifanya unatupa habari za china na japan ili tuone ishu ya kupigwa bomba ni veeeery spesho,, inasaidia sikatai ila bado njia yake ni ngumu sana kuwekewa bomba mkunduni unafikiri ni sahihi,, ungekuja na njia nyingine mbadala hapo sawa
Nimekujibu bila kusoma comment yako yote, sipendagi hata kujibishana na wewe
Kwao ni utamaduni na asiepigwa bomba wanamuona km ni mchafu,, ni aina flani ya kuflash mwili,, na kitendo cha kuimimina dawa tu kunduni ni papo hapo kinyesi kinamwagika kwahiyo kule kundu lilipoelekezwa hakai mtu vinginevyo utakula kinyesiHii inanifanya niwaangalie kwa jicho jingine wenyeji wa kigoma
😁😁😁😁,nawaza kwa nyumba zetu za mjini itabidi uondoe watu wote nyumbani. Wasipatwe na majitakaKwao ni utamaduni na asiepigwa bomba wanamuona km ni mchafu,, ni aina flani ya kuflash mwili,, na kitendo cha kuimimina dawa tu kunduni ni papo hapo kinyesi kinamwagika kwahiyo kule kundu lilipoelekezwa hakai mtu vinginevyo utakula kinyesi
Mkuu unafaa kuwa comedian😁Kwao ni utamaduni na asiepigwa bomba wanamuona km ni mchafu,, ni aina flani ya kuflash mwili,, na kitendo cha kuimimina dawa tu kunduni ni papo hapo kinyesi kinamwagika kwahiyo kule kundu lilipoelekezwa hakai mtu vinginevyo utakula kinyesi
Hiyo ndo njia ya haraka wao wanaipenda kinoma, dogo alipoingiziwa bomba kamboo kakasimama ikamiminwa ile bomba inachomolewa tu mavi hayo kama yote,, na kalipata nafuu ila sasa mh,,,,, hapana ilinishindaKama kuna njia nyingine sawa hiyo hapana 😁😁😁