Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

una utoto mwingi hujiamini kwanini, maandiko yako kama mi hayanivutii kuna yanaowavutia kufuta ndo unadhihirisha kuwa hujiamini na hujapevuka kichwani mwako,, unaweza kuwa na akili ila kuchanganua mambo ukawa zero
Mimi sio mtakatifu and sifaham inakuaje mnanichukulia hivyo na wala sina akili kabisa kama unavyosema. Huku duniani nina mambo yangu ya ajabu. I'm just a random guy!
 
Kwanini wasiboreshe hii sayansi dawa ikawa kwenye mfumo wa risasi yenye ganda ambalo likipata joto linayeyuka lenyewe, then sasa watu wagonjwa wakawa wanawekewa fresh wasubiri matokeo baada ya muda.

Hii nimeona kwa baadhi ya sawa za watoto na maradhi ya kwenye utumbo pia zipo dawa za hivyo. Hii wangeifanyia maarifa
 
Kigoma kuna utamaduni unafanywa na wanaume unaitwa kujipiga bomba. Wanafanya hivyo ili kupunguza mafuta kiunoni na kuongeza nguvu za kiume.

Wanachemsha mchanganyiko wa madawa kisha mchesho ukipoa na kufikia kipimo cha uvuguvugu hutafuta bomba kubwa la sindano ya ng'ombe, kisha hufyonza mchanganyiko huo na kujiingizia kwenye njia ya haja kubwa.

Baada ya muda fulani, hupatwa na tumbo la kuhara ambapo uharisha mafuta kwa siku nzima hadi ikate yenyewe.

Baada ya hapo wanaamini ufanisi kitandani huongezeka sana.
Aisee. Wapimwe marinda
 
Back
Top Bottom