Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huon ni chazo cha ukosefu wa furaha mfano mangalie DR MWAKA au masanjaNdoa ni jambo la lazima kwa wenye akili timamu kwani hujenga mawazo na misingi imara kwenye usimamizi wa kifamilia.
Ko mtume paulo unamzidi akili wewe?Ndoa ni jambo la lazima kwa wenye akili timamu kwani hujenga mawazo na misingi imara kwenye usimamizi wa kifamilia.
Hamna kitu Kama hicho,,,,😔😔😔😔si wahuni? Mm naamin hii petition tutapindua meza
Tupu kivp mkuu pesa tunawapa ila kufunga ndoa hapanaSasa tukikataa ndoa sio dunia itabaki tupu sasa sema wangeazisha kataa kumpa mwanamke hela ningewaelewa.
Kumbe kukataa ndoa nikuwasulubu wanawake na kukubali ndoa ni kuwasulubu wanaumeHuyo Robert ni Misogynist kama hamjui Mada zake zote zimelenga kuwasulubu wanawake… IDIOT
Uzinzi hufanywa na mtu aleye kwenye ndoaYes tukatae uzinzi kwa nguvu zote!!!!
Ndoa ni muhimu
Anglia nyuzi nyingi za wanaolalamka kuhusu wanawake wengi wao ni wenye ndoa ndio utagundua utoto na ujinga ndio unawasumbuaHoja sio nzito kivip?
Better unakedefend upande tambua wengi wanalelewa na sio wapiga kelele na watunga stori.
Angalia poll mpaka dakika za mwisho utakuja gundua mko wachache sana na utoto ndo unawasumbua.
Mkuu nani kakuambia ukiwa hauna ndoa hauna majukumu , kuna Mario mmoja yupo kwenye ndoa mbona ninamlisha yeye na mke wake na watoto wangu wawili na huyo mmoja wakwake, mimi nakataa ndoa kwa mfano hai.Mwanaume Hutaki kuoa unataka kuolewa? Ushoga unaanzaga hivihiv mwanaume unakimbia majukum unaanza kuvaa wigi
Gud point 📌📌📌Mimi namkubali mshana kwenye nguvu za giza ila kwa hapa Robert amekomaa kiakili kwenye hili .
Anakuwa hana assuranceKwani swala ni kuishi na mwanamke au kufunga ndoa,mwanamke mkiishi bila ndoa anakuwa na adabu sana,mimi kaka yangu aliishi na mke wake miaka 7 bila kufunga ndoa,walikuja kuachana miezi minne toka wafunge ndoa
Siku mtu akijijibu kwanini Mbinguni hakuna Kuoa wala Kuolewa ndo nitamjibu sili ya Ujinga uliojificha katika ndoa ambao MUNGU hataki kuuona Mbinguni
Mimi namkubali mshana kwenye nguvu za giza ila kwa hapa Robert amekomaa kiakili kwenye hili .
🤣🤣🤣🤣🤣Hapo ilibidi awekwe kuhani mkuu wa chaputa
Ila wanaume ni faida basi sawa.