Je, unamkumbuka huyu. Mtu pekee aliyejaribu kubishana na Jiwe

Je, unamkumbuka huyu. Mtu pekee aliyejaribu kubishana na Jiwe

Yule Alimtisha Sana Jiwe
Alimwambia Kuanzia Ghorofa Moja Nyumba Ya Serikali Hasa Hospital Lazima Kuwe Na Lift
jiwe Akasema Kwako Kuna Lift Jamaa Akasema Kwangu Siyo Jengo La Umma
Pia Lift Inawekwa Kwa Matakwa Ya Sheria Siyo Mtu Kutaka
Machawa na wanafiki ndio walikuwa wanamuogopa ila ukimkazia Kwa lugha zile zile ambazo hakutegemea alikuwa anadhoofika nafasi anakuwa mdogo.

Jiwe hamna kitu pale ila Sasa uwage umeweka roho rehani manaa kuja kuokotwa ziwani au baharini ilikuwa kawaida.
 
Mkuu Matrix 19
Umemaliza Yote Nchi Iliongozwa Na Wahuni Ambao Hakika Ni Aibu Na Fedheha Mno Kuona Yale
 
Mkuu Matrix 19
Umemaliza Yote Nchi Iliongozwa Na Wahuni Ambao Hakika Ni Aibu Na Fedheha Mno Kuona Yale
 
Yule Alimtisha Sana Jiwe
Alimwambia Kuanzia Ghorofa Moja Nyumba Ya Serikali Hasa Hospital Lazima Kuwe Na Lift
jiwe Akasema Kwako Kuna Lift Jamaa Akasema Kwangu Siyo Jengo La Umma
Pia Lift Inawekwa Kwa Matakwa Ya Sheria Siyo Mtu Kutaka
Akamwambia hata pale ikulu magogoni ,jengo la annex kuna lift ya ghorofa moja ,yule mwamba alipangua hoja za jiwe
 
Jiwe Alisema Kwa Hasira Kuna Mteule Wangu Hapa Kisarawe Nimempa Kazi
Anachofanya Ni Kutongoza Wake Za Watu, Tumemuonya Ila Haonyeki
Waziri Jafo Nataka Umpangie Kazi Ya Chini Kabisa Huyu Bwana
Mtela Mwampamba a.k.a Ganzi
 
Back
Top Bottom