Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

Asante kwa elimu.. swali langu katika aina za wanawake uliowaongelea. Kuna baadhi ya wanawake ukiwa nao katika mahusiano mambo yako yanaenda vizuri na kuanza kufanikiwa.. hawa wanawake ni wa aina gani? Au wana kitu gani ndani mwao?? Cc Mshana Jr
 
NB:mimi sio mzuri sana kuandika visa ila enzi zile za mpambano wa barabarani nilishuhudia mengi ya ajabu na ni kisa cha kusisimua siku nikipata mwandishi mzuri au kama Mshana Jr utakuwa tayari nikusimulie ukiandike ili wasioamino waamini ila yote kwa yote HAKUNA LINALOSHINDIKANA KWA MUNGU[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Simulizi zako zimenisisimua sana ...tuwasiliane kwa ajili ya hiyo story nyingine
Nitakucheki Inbox mkuuu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Asante kwa elimu.. swali langu katika aina za wanawake uliowaongelea. Kuna baadhi ya wanawake ukiwa nao katika mahusiano mambo yako yanaenda vizuri na kuanza kufanikiwa.. hawa wanawake ni wa aina gani? Au wana kitu gani ndani mwao?? Cc Mshana Jr

Asante hao nyota zao ni kali sana
 
Huwa sitak pombe inizoee kwakweli naiogopa sana, mama alikuwa akisema kila mara atakaerithi hiyo tabia ya baba yake itakuwa ni mara 3 zaid sasa hii si kama laana,?
Shika neno la mzazi tena likishilie kwa makini sana! Hiyo ni laana na inaweza kuondoka na mtu..kuna mada yake nitaandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Changamoto kubwa ipo kweny kujua chanzo ama asili ya tatizo.. Ni muhimu sana kufahamu msingi wa tatizo na baada ya hapo ndio unaweza sasa kuelekezwa namna ya kutatua
Wengi tunafeli kwakuwa hatutibu chanzo bali matokeo ...na wengi wanadhani matatizo yanafanana hivyo nikitumia njia fulani mwingine naye anadhani akitumia njia hiyo atafanikiwa
.
Pata chanzo ama asili ya tatizo mengine yote ni mepesi
Asante sana kaka[emoji123]
 
Back
Top Bottom