uzio usio onekana
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 836
- 2,658
🤣🤣🤣 Israel kaweka ukungu, acheni kuwatukuza hao mashoga hawana uwezo hata wakujilinda wenyewe wanamtegemea basha wao Amerika.Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.
Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?
Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
"They care nothing at all" kwamba hata wanaweza hata kukalia mshale ?! Basi NI MAKOMANDO WAPUMBAVU.Ni makomando/makamanda wale.They care nothing at all!
Ni kweli ni ajali ya kawaida tu, helcopter tatu zinafuatana ila "moja tu" tena "iliyombeba rais" ndio inaangushwa na ukungu huku nyingine zikichanja mbuga freeesh, na mpaka mda huu bado haijaonekana. Ni AJALI YA KAWAIDA TU.Hakuna mkono wa Israel hapo! Huko ni kuisingizia bure!
Ajali iliyotokea kulingana na ilivyoripotiwa na media mbali mbali za kimataifa ni ajali ya kawaida tu!
"Kila nafsi itaonja mauti. Na hakika mtalipwa kikamilifu ujira wenu Siku ya Kiyama. Na atakayeepushwa na Moto na kuingizwa Peponi, basi huyo amefuzu. Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya udanganyifu."Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.
Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?
Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
Historia imesoma kwa wakiristo? utadhani wakiristo wataandika historia nzuri?Nimesoma historia yake, kwa kweli inatisha. Sikujua kama alikuwa mtu katili wa kiwango cha juu kiasi hicho dhidi ya wananchi wake.
Kuna wakati Mungu hutenda kwaajili ya kuwaokoa watu ambao kama kiongozi kuishi, wangeteketea wengi. Huyu bwana alikuwa ni mkono wa chuma ambao haukuthamini uhai wa Wairan wengine, hasa wenye kuthubutu kumkosoa. Maandamano ya akina mama yalishuhudia mauaji ya watu zaidi ya 500. Lakini pia kabla yake alitoa idhini ya mauaji ya wafunfwa zaidi ya 5,000 na majani 6!! Leo naye amewafuata aliowatanguliza.
Uwe kiongozi, uwe tajiri, uwe msomi au maarufu kiasi gani, juu yako kuna mamlaka iliyo juu zaidi kuliko kiumbe chochote. Yawezekana kuna watu wenye ujuzi na uwezo mkubwa, walimtafuta, lakini wote walishindwa. Ila kwenye muda ulio sahihi, Mungu ametimiza mapenzi yake kwa namna aliyoitaka.
mambo ya ki intelligencia ni magumu mzee!! kwasababu hutumia akili nyingi hivo hujulikana had muda mrefu kupitaKwamba Israel ndiye kaweka ukungu eneo la tukio.Wabongo mnakuwa wepesi sana kuja na assumptions ambazo hazipo na kutoa hitimisho ambalo halina mtiririko mzuri kwenye reasoning
Eneo la tukio linaonyesha kabisa ni question of weather(Ukungu umetanda sehemu kubwa) and now unakimbilia kusema Israel.Kuwa na subira kidogo ukweli utajulikana
Kila kitu kinawezekana tu mkuu. Vipi kama Mossad waliingilia mawasiliano ya hilo chopa kisha wakalielekeza kwenye ukungu. Vita ni plan mzeeKwamba Israel ndiye kaweka ukungu eneo la tukio.Wabongo mnakuwa wepesi sana kuja na assumptions ambazo hazipo na kutoa hitimisho ambalo halina mtiririko mzuri kwenye reasoning
Eneo la tukio linaonyesha kabisa ni question of weather(Ukungu umetanda sehemu kubwa) and now unakimbilia kusema Israel.Kuwa na subira kidogo ukweli utajulikana
Iko hivi Israil bila kujali dhambi za Raia wake ,Iko Hadi ya Mungu kwa Abraham aka Ibrahim ya kwamba ni Taifa teule na Israil ndipo Mungu huonyesha Dunia uweza wake kupitia hao ,kifupi Israil ni exhibition room ya MunguKwamba Israel ndiye kaweka ukungu eneo la tukio.Wabongo mnakuwa wepesi sana kuja na assumptions ambazo hazipo na kutoa hitimisho ambalo halina mtiririko mzuri kwenye reasoning
Eneo la tukio linaonyesha kabisa ni question of weather(Ukungu umetanda sehemu kubwa) and now unakimbilia kusema Israel.Kuwa na subira kidogo ukweli utajulikana
mkuu angalia udini usije kuletea kichaa!Historia imesoma kwa wakiristo? utadhani wakiristo wataandika historia nzuri?
Hehe zingesikika stori sasa kwamba walitaka kumuua wakashindwa , Allah akamkinga na yangeshushwa matusi kama yote kwa wagalatiaHili tukio lingekuwa kinyume chake wale wa allah akbar wangekesha wakishangalia.
Historia imesoma kwa wakiristo? utadhani wakiristo wataandika historia nzuri?
Swali. hio historia ulisoma imeandikwa na mkiristo gani?mkuu angalia udini usije kuletea kichaa!
kwaiyo ao unaodhan amewaua ni wakristo au waislam wenzie??
Kiistoria iran na china ndo zinaongoza kutekeleza hukumu ya kifo.
Iran hunyonga watu 300 per year
Propgana hizo za wkiristoSoma taarifa ya mauaji ya wafungwa zaidi ya 5,000; mauajibya waandamanaji wanawake, kutoka chombo chochote unachoamini ni cha waislam, unachokitaka.