Dah! Vp? hadi dk hii bado Iran hawajaweza hata kidogo kutoa fununu za kisababishi chenye mashiko kilichopelekea hadi chopa pekee lililombeba mvaa kobazi liathirike ilhali wenzake hawakudhurika?Ndege moja tu tena ya Rais ndo iathirike na ukungu zingine mbili za raia zipete.Shughulisha ubongo!
Umesoma vizuri lakini? Nimesema kwenye scene kunaonekana ukungu,kuhusu nini kipo nyuma ya hii issue report zote zinasema bad weatherNdege moja tu tena ya Rais ndo iathirike na ukungu zingine mbili za raia zipete.Shughulisha ubongo!
Hivi hii vita haiishi tu!Mkumbuke, Iran ndiyo Taifa pekee lenye Full Islamic Theocratic Govt. Matukio yajayo Serikali kama hiyo haitatoa ushirikiano. An eye is still on Putin with his war on Ukraine
Mkuu;Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.
Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?
Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
Israel imepora mpaka Golan Heights kutoka Syria mnaona ni sawa, kingine Israel haotaki Syria itawalike ndio maana kila siku wanashambulia mabomu Syria maana wanajua Syria Imara ndio kaburi la wayahudi.Pale Syria Wairan wapo kwa ajili ya kuidhoofisha Israel.. ndio maana Idf inawatandika kila mara
Mkuu unajua 20% ya Raia wa Israel ni waislam? Nao ni taifa teule?Kuna makundi mawili ya hawa waabudu Shetani ambaye amejivika gwanda la mungu aitwaye Allah. Kundi la kwanza ni wale waabudu ambao wananufaika na mafundisho ya Allah (kuoa idadi ya wake wawatakao kuoa vitoto vidogo kama alivyofanya mtume kuoa Aisha akiwa na 6yrs, kufaidika kisiasa na mali) kundi hili hata uwahubirie vipi hawatamuacha shetani wao. Kundi la pili ni wale waliodanganywa na viongozi wao lakini wanamtafuta Mungu wa kweli. Kundi hili wanaipokea kweli ya Biblia ila kwa sasa bado wanakwazo kutoka huko kwa sababu ya kuogopa Sharia inayoagiza kila aliyeacha uislam auawe na pili wanaogopa waislam wenzao kuwatenga ktk jamii.
Huyu bwana yeye ni lile kundi la kwanza
Hizi nazo ni ndoto kama ndoto zingine.Israel imepora mpaka Golan Heights kutoka Syria mnaona ni sawa, kingine Israel haotaki Syria itawalike ndio maana kila siku wanashambulia mabomu Syria maana wanajua Syria Imara ndio kaburi la wayahudi.
Hata ISIS ilikua partly funded na Israel ili kumdhoofisha Al Assad ila pona yake alipata support ya Putin otherwise wayahudi wangempora nchi nzima.
Hawa wayahudi ni kansa, siku USA atakapojitoa kumsaidia ndio mwisho wa Israel.
ππWaliuwa kale kabint kwa drone mia700 umesahau mkuu
Kwa sababu za msingi kabisa kutoka biblia, sitaki kujihusisha na hoja hiyo endapo Israel ni Taifa Teule la Mungu. Hoja zangu ziko kwenye uislam ambao ni Dini ya Shetani. Dini nyingine zote anachofanya shetani ni kuwahadaa wafikiri wanamuabudu Mungu wa kweli kumbe siyo. Lakini Dini hizo nyingine Budha, Hindu, Judaism pamoja na baadhi ya madhehebu ya kikiristo hazijaanzishwa na shetani; islam ndiyo pekee imeanzishwa na shetaniMkuu unajua 20% ya Raia wa Israel ni waislam? Nao ni taifa teule?
Biblia inasema at the peak of the wars, Gafla muafaka fulani utafikiwa na UN, na hapo watatangaza AMANI, amani hiyo ni ya muda tu na ndipo madini ya Uongo kama uislam na baadhi ya nyingine zitapigwa marufuku. Kwa sasa kama vile hatujafikia peak! Kuna vita mfano inafukuta kati ya China na Taiwan, keep your ear on thatHivi hii vita haiishi tu!
Vipi Palestina hawa fight for survival? Au Israel ndio ana haki ya kusurvive kuliko Palestine?So, Israel is fighting for his SURVIVAL.
Which is true, mfano West Bank hawana Hamas ila Israel inawapora ardhi kila siku na kuwaua, cha ajabu siku wakija kutaka lipiza kisasi utasikia eti ISRAEL INAJILINDA?Nchi za kiarabu zinaona kama zinadhulumiwa (Oppressed)
Chokoza wote usichokoze Israel....utajutaTunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.
Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?
Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
π π π πKumpitisha Rais kwenye ukungu mzito nacho ni kipengele!
Mrejesho na ushahidiKwa sababu za msingi kabisa kutoka biblia, sitaki kujihusisha na hoja hiyo endapo Israel ni Taifa Teule la Mungu. Hoja zangu ziko kwenye uislam ambao ni Dini ya Shetani. Dini nyingine zote anachofanya shetani ni kuwahadaa wafikiri wanamuabudu Mungu wa kweli kumbe siyo. Lakini Dini hizo nyingine Budha, Hindu, Judaism pamoja na baadhi ya madhehebu ya kikiristo hazijaanzishwa na shetani; islam ndiyo pekee imeanzishwa na shetani
1. Naam. Palestina hawa fight for survival wao wenyewe wanasema wanaikomboa ardhi yao iliyoporwa na Waisrael.Vipi Palestina hawa fight for survival? Au Israel ndio ana haki ya kusurvive kuliko Palestine?
Which is true, mfano West Bank hawana Hamas ila Israel inawapora ardhi kila siku na kuwaua, cha ajabu siku wakija kutaka lipiza kisasi utasikia eti ISRAEL INAJILINDA?
Is it fair?
Vipi uyahudi ni dini ya nani? Kwa wakristo Dini inayopinga kuwa Yesu sio Mungu sio ya shetani kweli?Hoja zangu ziko kwenye uislam ambao ni Dini ya Shetani
Biblia gani? Nachojua Biblia inatambua wafuasi wote wa Yesu kama taifa teule?sababu za msingi kabisa kutoka biblia
Kwamba Budha sio ya shetani ila uislam pekee ni wa shetani? Nimeshajua una chuki tu za dini.islam ndiyo pekee imeanzishwa na shetani
Biblia gani inasema haya? Unaweza nipa sura au mstari unaodai haya?Gafla muafaka fulani utafikiwa na UN, na hapo watatangaza AMANI, amani hiyo ni ya muda tu na ndipo madini ya Uongo kama uislam na baadhi ya nyingine zitapigwa marufuku
Hili nalo neno! Haijawahi tokea Iran kuigusa Israel sasa huyu bwana kaamua kujilipua na yeye kaondolewa na Mungu wa IsraelMKIAMBIWA MUNGU WA ISRAEL NI MUNGU WA KWELI NA MUWEZA WA YOTE MNAKUWA WABISHI SASA KAAMUA MWENYEWE KUFANYA HALI YA HEWA IWE MBAYA HUYO RAIS AFE KWA KULIPIZA KISASI KWASABABU ALIAMURU MAKOMBORA NA DRONES KUINGIA ANGA TAKATIFU NA TEULE LA ISRAEL.
Covax