Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Sisi wagawa dawa pharmacy tushazoea kuwa chakula cha mbu na kukakaa ni mikoti mikubwa kujikinga na viyoyozi...
Mkiwa wapi hapo Medical Store au pharmacy kama pharmacy..

Tena nyie watu wa afya huwa mna balance vipi usingizi mkuu
 
Mkuu naaacha yaani hii si utani mkuu wangu naacha naach kabisa tena bila kulazimishwa naaacha mkuu
 
Badala ya energy drink,kunywa kahawa bila sukari,chemical compound ya energy drink itakuumiza zaidi kuliko kahawa,kuna flavour nyingi ambazo ni chemicals kuliko kwenye kahawa,kitu kilichosawa ni caffeine only ila energy drink wanaongeza na madawa ambayo baadae yatakuletea cancer.
Kua na kahawa na maziwa plus bites zakutafuna km korosho or karanga.
 
Mkuu mkuu mbona kama upo seriously kabisa kunishauri about that things...

Mkuu japo nafanya tuu ila kuna umri ukifika tatafuta one ambaye ta spend nae life mazima ila kwa sasa acha nikomae na hawa watu maana wamefanya mambo mengi makubwa kwangu mkuu
OK πŸ™πŸ½πŸ€πŸΏ
 
Prondo kashavurugwa sasa hv wee jiweke barabarani hvyo uwone
Mimi nilikuwa napiga za 119 na hotline za usiku kuanzia saa 12 hadi saa 10 ila siku hizi nimepunguza.
Ilikuwa kila siku kuanzia jumatatu hadi ijumaa, ukipiga na jumapili unapewa bonus. Siku hizi naweza maliza hata miezi 3 sijafanya.
 
Mkuu kumbe ishu hapo ni caffeine..
Kahawa wanasema zinamaliza nguvu za kiume vipi hapo...

Hapo kwenye bites kidogo naweza fikilia
 
Mimi nilikuwa napiga za 119 na hotline za usiku kuanzia saa 12 hadi saa 10 ila siku hizi nimepunguza.
Ilikuwa kila siku kuanzia jumatatu hadi ijumaa, ukipiga na jumapili unapewa bonus. Siku hizi naweza maliza hata miezi 3 sijafanya.
Duuuh nyie mlikua miamba mjue...
Mkutoka hapo mchana kutwa ni kulala tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…