EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Ni kazi gani unazifanya humo kwenye computer? Programming?Baba Swalehe wewe ndo mapema ushalala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kazi gani unazifanya humo kwenye computer? Programming?Baba Swalehe wewe ndo mapema ushalala
Sawa mkuu kadri ya uwezo wangu takutafuta kama kukiwa kuna rundo la kazi mkuu.Ukifika hiyo stage.. Tambua unahitaj watu wakusaidiana, mimi pia na deal izo mambo nipe connection tugawane Riziki mkuu
Duuh kumbe ni familia kabisa...
Mi sometimes mpaka najuta an ila ndio hvo kwenye maokoto tena lazima kuzingatia...
Na mchana si unapata mda wa kulala..?
Sawa sawa mkuu japo na balance..Pesa ni nzur lkn afya yako ni muhimu pia,hizo energy ndio unajiongezea shida nyingine
Balance mambo boss bado tunakuhitaji
Nitext inbox tupeane contactsSawa mkuu kadri ya uwezo wangu takutafuta kama kukiwa kuna rundo la kazi mkuu.
Bila team work kutoboa ngumu huku nimekuelewa sana mkuu
Umeongea yote na hili ndio ulilolenga kijana,nitakupatia mdogo wangu uache kutia huruma.🤣View attachment 3190336
Kwangu mimi hizi kazi za usiku zimekua too much mpaka nasema hivi ni.lini takua na mpenzi ambaye anaelewa hizi harakati zangu.
View attachment 3190333
Karibu mkuu...Kaka nakuja pm
Wee mwanamke
Video production, na nyinginezo japo programming kidogo sana kama ikija kazi ya webNi kazi gani unazifanya humo kwenye computer? Programming?
👍Ndio mkuu ila upande wa editing na mengineyo..
Pia nipo maeneo ya chuo hvo napiga piga assignment kwa wanafunz ambao hawataki mambo meng
Daaah mi mchana ni show show..Utofauti wa mimi na wewe mimi ratiba yangu iko fixed....najua kwa week nitakuwa na night shifts chini ya tatu,wewe unadai ni 7/7
Mchana nalala sana 😃
Hao watoto wazr wapo tuu mkuu..Usiku ni muda wa kufilimba watoto wazuri
Ova
Endelea kupambana mkuuDaaah mi mchana ni show show..
Si unajua si wa kujitafuta so hatuna ile mnayoita fixed an ni kazi kazi anytime...
Na haulazimishwi ni wewe tu na njaa yako ya pesa 🙌🙌🙌🙌😁😁 yaani ni misumali
Ahahahah mkuu umeongea mengi ila.hilo sualla la mdogo ako nimeona mkuu kweli wewe ni smart na genius....Umeongea yote na hili ndio ulilolenga kijana,nitakupatia mdogo wangu uache kutia huruma.🤣
Kazi za usiku tumefanya sana tena sana kuanzia nyumbani hadi ugenini.
Mkuu nakunywa maji mengi kuliko enegy vipi hapo..?Endelea kupambana mkuu
Lakini punguza energy
Safii sana mkuu tupo pamoja naona upo uwanja wa nyumbani... Kwa mr LumetricView attachment 3190343
Usikimbie wateja mzee tupe kazi..
Kuna midude ilinifanya mbaya aiseee an mzigo mda wa export una increase tuuu mpaka 174hrs daaah ile siku nilicheka sanaView attachment 3190343
Usikimbie wateja mzee tupe kazi..