Sifa ya Kwanza ya Eng aliyepewa kazi lazima awe Mwanaccm. Mengine yatafata.Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.
Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?
Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.
Usilo lijua sawa na usiku wa gizaViongozi Wapo
Afisa Elimu Mkoa Yupo
Afisa Elimu Wilaya Yupo
Mratibu Elimu Yupo
Hata inspection chembers hakuna!!!Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.
Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?
Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.
kwani hapo wamesema kazi imeisha?Ni sahihi kama akiweka kingo kisha afunike hizo pipe kwa udongo zisiwe nje ni rahisi kupasuka
Huyu mjenzi ni muhuni.... an short cut badala ya kufuata taratibu za ujenzi.Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.
Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?
Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.
what if eneo la shule lipo kijijini na hakuna maji, huoni chemba zitaleta shida?Hata inspection chembers hakuna!!!
hiyo namna bora hata wewe umeshindwa kuisema. siwatetei wajenzi ila naona watu wakilaumu bila kusema hasa shida ninikazi z watu lkn kw mach tu y kawaid.. ujenz haukuzingatia uweledi kamil.. kun namna bor zaid ingfanyika kwny uo ujenz apo.
Acha kukatwa jua la miezi 6 tu kwishneyViongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.
Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?
Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.
Hongera Fosi Akaunti.Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.
Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?
Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.
Hata mimi ndio nilivyokuwa nafikiri, hapo ni kama kujenga Vyoo vya shimo kwa mtindo tofauti.Na Wala hakuna ignorance, ila sis wachangiaj tunaignorance kwenye Hili.,,hatujui Sababu lakn tunalaumu.. kiufupi vyoo vingi katika shule nyingi za umma ambazo hazina maji au uhakika wa kupat maji ya kutoshaa ndo vinajengw hivi.. huwez ukawwka chemba wakati maji Hamna utasababisha Maafa zaidi... Chukuen hilo
Ccm ni ile ileView attachment 1957636
WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Hapo sio kukata na msumeno tu hata ukikanyaga teke moja tu kwishaViongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.
Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?
Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.
haya tuambie hayo mabomba yatafunikwa vipi ili kupata uchochoro tambarare?Kwani huoni kama ujenzi unaendelea hapo!
Tatizo siyo kufukia pekee. Hakuna chemba ndogo za kupokea mzigo na kuunganisha kwenye chemba kubwa. Hapo harufu itawasumbua sana na ikitokea kumeziba sijui watayakata hayo mabomba kuzibua na kuyaunga tena?Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.
Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?
Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.
Hiyo ni 4"Hicho si ni choo cha wanafunzi?
Unategemea haja kubwa ya watoto wa kisukuma itapita kwenye hicho kibomba Cha inchi mbili?