Je, Vyoo vya Shule za Serikali vinajengwa hivi?

Je, Vyoo vya Shule za Serikali vinajengwa hivi?

Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.

Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?

Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.

Sifa ya Kwanza ya Eng aliyepewa kazi lazima awe Mwanaccm. Mengine yatafata.
 
Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.

Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?

Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.

Hata inspection chembers hakuna!!!
 
Kazi z watu lkn kw mach tu y kawaid.. ujenz haukuzingatia uweledi kamil.. kun namna bor zaid ingfanyika kwny uo ujenz apo.
 
Hapo utamsikia mwehu mmoja anasema Rais samia amejenga matundu miambili ya vyoo....
 
Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.

Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?

Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.

Huyu mjenzi ni muhuni.... an short cut badala ya kufuata taratibu za ujenzi.
 
Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.

Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?

Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.

Acha kukatwa jua la miezi 6 tu kwishney
 
Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.

Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?

Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.

Hongera Fosi Akaunti.
Mama Umi juuu!
 
Na Wala hakuna ignorance, ila sis wachangiaj tunaignorance kwenye Hili.,,hatujui Sababu lakn tunalaumu.. kiufupi vyoo vingi katika shule nyingi za umma ambazo hazina maji au uhakika wa kupat maji ya kutoshaa ndo vinajengw hivi.. huwez ukawwka chemba wakati maji Hamna utasababisha Maafa zaidi... Chukuen hilo
Hata mimi ndio nilivyokuwa nafikiri, hapo ni kama kujenga Vyoo vya shimo kwa mtindo tofauti.

Wakati nasoma kwenye shule moja kongwe ya serikali tulikuwa na Vyoo vya aina mbili, vile vya kuflash na vile vya shimo ambavyo tulivipa jina na kuviita 'mapambano'....kutokana na changamoto ya maji ilikuwa ni salama na rahisi zaidi kutumia choo cha mapambano.
 
Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.

Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?

Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.

Hapo sio kukata na msumeno tu hata ukikanyaga teke moja tu kwisha
 
Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini.

Nini usalama wa hayo mabomba je akitokea mtu usiku akayakatakata kwa msumeno nini hatima yake?

Kwa ujenzi huo tumeibiwa wahusika wawajibishwe.

Tatizo siyo kufukia pekee. Hakuna chemba ndogo za kupokea mzigo na kuunganisha kwenye chemba kubwa. Hapo harufu itawasumbua sana na ikitokea kumeziba sijui watayakata hayo mabomba kuzibua na kuyaunga tena?

Mitano tena kwa mkandarasi
 
Back
Top Bottom