Je, waandishi wa Biblia hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?

Je, waandishi wa Biblia hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?

Sasa manne sio mengi mkuu,,Qurani si imekamilika kwa nini madhehebu manne.
Na si manne yako mengi sana zaidi ya manne

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Mohamad amesema katika Qur'an hiyo hiyo kuwa dini hii itagawanyika katika makundi sabini na mbili, ila kundi moja tu ndio litakuwa sahihi...ni lile litakalo fuata njia sahihi ya Allah!
 
Mohamad amesema katika Qur'an hiyo hiyo kuwa dini hii itagawanyika katika makundi sabini na mbili, ila kundi moja tu ndio litakuwa sahihi...ni lile litakalo fuata njia sahihi ya Allah!
Sawa, hamna andiko kama hilo kwenye Qur'an, hiyo ni hadithi, ni hadithi mashuhuri inayopatikana katika vitabu vingi vya hadithi - haina haja ya kuvitaja, na wasimulizi wa hiyo hadithi pia ni wengi na haina haja ya kuwataja. Siyo makundi 72 kama ulivyoandika ni 73.

"... na Ummah wangu utagawanyika makundi "mapote" 73. Makundi yote hayo yataingia motoni ila "isipokuwa" moja tu ..."

Ni hayo tu.

Halafu mbona kama mada siyo hiyo? Nagusisha mada chini hapa
Screenshot_20220603-125128.jpg
 
Sawa, hamna andiko kama hilo kwenye Qur'an, hiyo ni hadithi, ni hadithi mashuhuri inayopatikana katika vitabu vingi vya hadithi - haina haja ya kuvitaja, na wasimulizi wa hiyo hadithi pia ni wengi na haina haja ya kuwataja. Siyo makundi 72 kama ulivyoandika ni 73.

"... na Ummah wangu utagawanyika makundi "mapote" 73. Makundi yote hayo yataingia motoni ila "isipokuwa" moja tu ..."

Ni hayo tu.

Halafu mbona kama mada siyo hiyo? Nagusisha mada chini hapaView attachment 2249194
Kweli, naona mko nje ya mada
 
Taarifa kamili ziwe kiganjani vinginevyo mada za kale zitatuchanganya sana
 
Unawezaje kuamini dating ya carbon 14? Au hiyo miaka ya vibao umeijuaje?
Jambo lingine nikusoma lugha ambayo umekiri ni ya zamani na haipo . Ok. Nani sasa alifahamu na kuzisoma hiyo lugha asiyoijua?
Hivi unataarifa kuwa Maandiko yaliyo kwenye yaliandikwa na watu waliotofautiana vipindi vya zaidi ya miaka 1500 na bado yanaulibganifu?
Je unajua kuwa waandishi hao walitofautiana maeneo ya kijiografia kwa umbali mkubwa wala wengine hawakuwahi kuonana?
Je wajua ? Kuwa waandishi hawa walitofautiana elimu na utamaduni kiasi cha kutoweza kufanya c&p?
 
Mkuu amri za Mungu nazo ziliandikwa kwenye mawe je,nikisema amri hizo ziliandikwa kabla ya hadithi hiyo nitakuwa sawa ?
Hauko sawa, maana sumerian society ilikuwepo kabla ya moses,,
Kitu kigine moses anadaiwa kuandika kitabu cha mwanzo, kutoka, kumbukumbu ya torati,,
Lakini zama za moses ni zama ambazo hapakuwa na karatasi, bali maandiko yaliandikwa kwenye tablet za mawe ama udongo,,
Ndo kusema, si kweli amri kumi pekee ndo ziliandikwa kwenye mawe,,
Ina maana ni vitabu vyote vya moses,,
So hapo unajiuliza, zilitumika semi trailer ngapi kubeba hayo maandiko,, je original tablets za kitabu cha Mwanzo, Kutoka, kumbukumbu ya torati, etc ziko wapi?,
Maana kama maandiko ya nyuma ya sumerians yamepatikana, why not maandiko original ya moses?
 
Unawezaje kuamini dating ya carbon 14? Au hiyo miaka ya vibao umeijuaje?
Jambo lingine nikusoma lugha ambayo umekiri ni ya zamani na haipo . Ok. Nani sasa alifahamu na kuzisoma hiyo lugha asiyoijua?
Hivi unataarifa kuwa Maandiko yaliyo kwenye yaliandikwa na watu waliotofautiana vipindi vya zaidi ya miaka 1500 na bado yanaulibganifu?
Je unajua kuwa waandishi hao walitofautiana maeneo ya kijiografia kwa umbali mkubwa wala wengine hawakuwahi kuonana?
Je wajua ? Kuwa waandishi hawa walitofautiana elimu na utamaduni kiasi cha kutoweza kufanya c&p?
Si kweli,, umbali sio mkubwa kivile,, habari yote imeanzia mesopotamia ikaja caanan,, hakuna umbali mkubwa,, ingeanzia australia, au brazil ungekuwa sawa
 
Ignorance is Bliss. wewe mada zako hua ni za kijinga jinga tu, sijawai kukuona umeandika jambo la maana humu.

Sawa ni hadithi za kughushi lakini je Ukristo unatoa impact gani kwenye jamii? Ukristo ndio dini pekee iliyo hai hapa duniani, zingine zote ni mfu, ndo maana mamilion ya watu walipaswa wawe wameshakufa lakini ukristo uliwaokoa kutoka kwenye vitanda vya vifo vyao.

Mungu akurehemu wewe ignorant.
Wpte tutakufa,,,, ni suala la muda tu😊🤓🙄😌
 
Sio kukimbia, tatizo mnatukana sana watu wanaotaka kuwapa information muhimu.., sasa ya nini mimi niumie kutafuta taarifa, halafu nawaletea hapa kiulaini na kwa lugha yenu ya kizaramo halafu mnanizodoa namna ile..
 
Ungejiuliza kwanza Wwe hiyo Akili yako

,Ukristo wa Leo umewagawanya Watu na Kuwafamya Wawe na Chuki Kati Yao ,Mkatoliki hawawezi kuoana na Msabato, Msabato hataki kuolewa na Anglicana.

Mmegawanyika Hamna Umoja Wowote ule maana Mnasimamia Kitu kisicho na Ukweli ndani yake.
Mimi nimezaliwa kwenye ndoa ya rc na kisabato acha kupotosha
 
Imekuwa Ikifahamika kwa watu wa chache sana wenye maarifa na ujuzi katika miaka ya hivi karibuni (20th century), kwamba biblia ni masimulizi ya ‘Vibao vya mawe vya Sumeria’ vilivyo ‘ghoshiwa’ na wajanja wachache (hasa Warumi) katika kukamata na kupumbaza akili raia katika himaya zao, hii iliwarahisishia kujitanua na kutawala kwa uhakika zaidi.

Vibao vya mawe vya kale vya ‘Sumeria’ vinakadiriwa kuandikwa takriban miaka 3,000 kabla ya kuandikwa kwa biblia, na Biblia inakadiriwa kuandikwa miaka 2,000 baada ya kuandikwa kwa vibao vya mawe vya Sumeria.

Vibao vya Sumeria viligundulika miaka ya 1800 na watafiti wa mambo ya kale toka Uingereza katika ukanda wa ‘Assyria’; idadi ya hivyo vibao bi maelfu kwa maelfu, na kwakuwa lugha hiyo ni ya kale sana na imeshabadilika sana, ilichukua miaka mingi kuweza kutafsiri vilivyoandikwa kwenye vibao hivyo.

Miaka ya 1900 idadi kubwa ya vibao hivyo, ambavyo hadi miaka ya hivi karibuni tu vilikuwa vimefanywa siri na kufichwa katika majumba ya makumbusho ya uingereza, viliweza kutafsiriwa kwa ufasaha mkubwa sana, kilichokuwa kimeandikwa humo kilikuwa ni tishio na aibu kubwa kwa wezi wa maandiko walioandika biblia, hivyo kwa miongo yote hiyo hakuna aliyeweza kuambiwa kilichomo.

Miaka ya hivi karibuni watu wengi sana huko ulaya na Marekani walianza kupoteza hamu ya mambo yahusuyo kanisa na Ukristo kwa ujumla, hivyo hofu ya kuviweka hadharani vibao hivyo ikapungua, na baadhi japo ni vichache (vile ambavyo sio tishio sana) vimeanzwa kiwekwa wazi kwenye majumba ya makumbusho huko uingereza, kiasi hata kama wewe ni paroko wa kanisa flani, unaweza kuwachangisha waumini wako pesa ya tiketi na ukaenda kujionea mwenye kwa macho yako.

Hadithi zilizofanyiwa ‘plagiarism’ na ‘kughoshiwa’ na biblia ni nyingi, na nitazichambua nyingi kadri niwezavyo, ila moja iliyonipagawisha ni ile ya ‘Shetani’ kumshawishi Eva wafanye ngono na Adam, kitendo kilichomwogopesha na kumkera ‘Creator wa kwanza’ , Adam , Eva, na ‘Shetani walimchukiza sana.

Nyingine ni ile ya ‘Shetani’ kuwa muumbaji wa mwisho wa binadamu (alifanya kazi ya finishing) kwa kutagawia ‘DNA’ yake ya kimungu na kuwafanya binadamu kuwa na’Umungu ndani yao, hili pia lilimkera sana ‘Creator wa kwanza’, maana liliwapa binadamu uMungu na kumpa wivu sana, ni mungu mwenye wivu sana, shetani alimkera sana kwa kitendo hichi, na inawezekana adhabu yake na ya kwetu itakuwa kali sana mwishowe.

Nakunyw amaji nianze kuweka Hadithi kwa hadithi tena kwa undani.
==============================
Hadithi ya kwanza: Post no. 44
Unachekesha kweli. Maandiko ya Biblia ni ya miaka mingi sana - karne na karne na vizazi na vizazi. Hayo maandishi yaliyogunduliwa miaka 1800 ndiyo yaje yatwambie plagiarism kutoka wakati wa uandishi wa Kitabu cha Mwanzo mamilioni ya miaka yaliyopita hadi Ufunuo karne ya 1AD? Hao wataalamu huo utaalamu kwa kujua yaliyotokea tangu enzi za akina Adamu na Eva, huo utaalamu wao waliupata kutoka wapi?
 
Back
Top Bottom