Hii hukumu unaitoa wapi kabla ya Baraza kuu kutoa maamuzi, au humuamini chombo kikuu Cha maamuzi ya chama ?Hao wabunge ni wasaliti uwepo wao Bungeni ni batili lazima watimuliwe ndio wengine wateuliwe kwa kufuata taratibu za chama
Achana na ukabila utaanekana mpumbavuHata msukuma mwenzako alikuona hamna yani wewe ndio wale wazee wanaozeeka vibaya ndio maana hata ajali yako iliyokulemaza mkono ni kwasababu ya ulevi.
Hoja yenye ukabila achana nayo mkuu, atakuuingiza kwenye mtego wa wapambavu wanaondekeza ukabila Karne ya 21Nani alikwambia alikuwa Msukuma.
unaambiwa njaa inadhalilisha sana , huyu anawinda matangazo ya sabasabaYaani huwa najiuliza kuwa huyu Pascal alisoma kweli Ilboru sekondari au alikuwa msoma magazeti? Hata Mimi niliyesoma shule ya kayumba najua mbivu na mbichi Sasa huyu mchumia tumbo anakuwaje jinga kiasi hiki.
Pascal ni janga la kitaifa yaani tukiwa na wachumia tumbo Kama hawa hta wakiwa wawili ni hatari kwa usalama wetu.
Pascal anatafuta uteuzi kwa damu za watu na ni mzandiki shetani kuliko hata Ibilisi.
Pascal Mayala ni mtu mwenye uwezo mkubwa, isipokuwa anatumiwa na CCM, na hata uwe na akili kama malaika ukiwa CCM unaweza its maji jiwe.Yaani huwa najiuliza kuwa huyu Pascal alisoma kweli Ilboru sekondari au alikuwa msoma magazeti? Hata Mimi niliyesoma shule ya kayumba najua mbivu na mbichi Sasa huyu mchumia tumbo anakuwaje jinga kiasi hiki.
Pascal ni janga la kitaifa yaani tukiwa na wachumia tumbo Kama hawa hta wakiwa wawili ni hatari kwa usalama wetu.
Pascal anatafuta uteuzi kwa damu za watu na ni mzandiki shetani kuliko hata Ibilisi.
Hoja kuntu..Hivi ni nani mwenye nguvu ya kumtoa mtu aliendani gerezani usiku usiku na kesho yake akaapishwa kua ni mbunge?!! Tena wakaapishiwa garage, sio ndani ya ukumbi wa bunge!!
Yaani CHADEMA ipeleke jina la mtu ambae yuko gerezani zaidi ya miezi miwili na imtoe usiku?!!
Ifike sehemu tuache unafiki na uhuni!!
Acha hizo hiyo ni kazi ya MUNGUHata msukuma mwenzako alikuona hamna yani wewe ndio wale wazee wanaozeeka vibaya ndio maana hata ajali yako iliyokulemaza mkono ni kwasababu ya ulevi.
Amefanya jambo la kijinga sn, inamaana kila anayepata ajali ni mlevi na alimpima akaona amelewa kisiasi gani?Kuwa makini mkuu usitumue personal Attack za kumdhalilisha Mtu.
Hawa COVID 19 siyo kufukuzwa pekee wanatakiwa washitakiwe pia kwa uhujumu uchumiCHADEMA kinapaswa kujenga taswira chanya kwa jamii. Pamoja na mambo mengine political branding ya chama cha siasa inajengwa na udihibiti wake katika misimamo na maamuzi yake. Hakuna jinai yoyote Kutowafukuza wabunge 19 kama walingia kinyume cha utaratibu ni uvunjivu wa katiba ya chama.
Kwa kuwa umeshasema CHADEMA ni public party paid by taxpayers ungehoji vilevile ilikuwa halali wabunge wale 19 kutumia pesa za umma? Je ilikuwa halali kufoji nyaraka za chama? Na ilikuwa sahihi kwa bunge chini ya Ndugai kuwalipa fedha za umma? Bila hivyo unaweza kuitwa mchambuzi kanjanja tu kutafuta maslahi yako binafsi.
Ungejibu hoja zake ingekuwa vizuri.Kumshambulia mtoa hoja sio hoja bali pinga hoja zake kwa hoja.Yaani huwa najiuliza kuwa huyu Pascal alisoma kweli Ilboru sekondari au alikuwa msoma magazeti? Hata Mimi niliyesoma shule ya kayumba najua mbivu na mbichi Sasa huyu mchumia tumbo anakuwaje jinga kiasi hiki.
Pascal ni janga la kitaifa yaani tukiwa na wachumia tumbo Kama hawa hta wakiwa wawili ni hatari kwa usalama wetu.
Pascal anatafuta uteuzi kwa damu za watu na ni mzandiki shetani kuliko hata Ibilisi.