UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
"Usikute zile jela nyingi nyingi, ni karma, and you never know, hata zile pyu pyu ni karma"
Kulikuwa na sababu yoyote ya kuweka hii dhihaka kwenye bandiko lako?
Unajua ni famila ngapi zinateseka juu ya haya unayofanya nayo mzaha??
Anyway karma atakulipa tu na wewe siku sio nyingi mdomo huo utapinda
Kulikuwa na sababu yoyote ya kuweka hii dhihaka kwenye bandiko lako?
Unajua ni famila ngapi zinateseka juu ya haya unayofanya nayo mzaha??
Anyway karma atakulipa tu na wewe siku sio nyingi mdomo huo utapinda