Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?

Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?

"Usikute zile jela nyingi nyingi, ni karma, and you never know, hata zile pyu pyu ni karma"

Kulikuwa na sababu yoyote ya kuweka hii dhihaka kwenye bandiko lako?

Unajua ni famila ngapi zinateseka juu ya haya unayofanya nayo mzaha??

Anyway karma atakulipa tu na wewe siku sio nyingi mdomo huo utapinda
 
Yaani huwa najiuliza kuwa huyu Pascal alisoma kweli Ilboru sekondari au alikuwa msoma magazeti? Hata Mimi niliyesoma shule ya kayumba najua mbivu na mbichi Sasa huyu mchumia tumbo anakuwaje jinga kiasi hiki.

Pascal ni janga la kitaifa yaani tukiwa na wachumia tumbo Kama hawa hta wakiwa wawili ni hatari kwa usalama wetu.

Pascal anatafuta uteuzi kwa damu za watu na ni mzandiki shetani kuliko hata Ibilisi.
unaambiwa njaa inadhalilisha sana , huyu anawinda matangazo ya sabasaba
 
Pasko mtu wa ajabu sana nahisi anakaribia ukingoni mwa safari yake ingawaje hakuna aijuaye kesho yake lakini pasko anatia huzuni sana na ndio maana amekuwa alcoholic addict.
 
Unaweza kukuta baada ya kuandika huu upupu Pascal Mayalla unajipongeza na kujisifia ulivyo mwandishi nguli, really?

Kwa kweli mtoto wa nyoka ni nyoka…huwezi ukapanda maharage ukavuna nyanya, la hasha, utavuna yale yale maharage.

Kama kaka yako nakupa ushauri, chukua likizo. Karma, kama kweli ipo, wewe unaweza kuwa mfano halisi wa anayevuna alichopanda…chukua tahadhari!
 
Pascal Mayalla wewe ni wa kupuuzwa tu na ni mwanaPOROJO.
Nakuita mpuuzi maana hukumbuki mpuuzi magufuli alilazimisha hata wanachadema wengi kujifanya wanaunga mkono juhudi.
HAPA UNAROPOKA UPUUZI, ukiwa umesahau yule tapeli alivuruga uchaguzi. ACHA UJINGA BROTHER. Tuache na chama chetu.
 
Yaani huwa najiuliza kuwa huyu Pascal alisoma kweli Ilboru sekondari au alikuwa msoma magazeti? Hata Mimi niliyesoma shule ya kayumba najua mbivu na mbichi Sasa huyu mchumia tumbo anakuwaje jinga kiasi hiki.

Pascal ni janga la kitaifa yaani tukiwa na wachumia tumbo Kama hawa hta wakiwa wawili ni hatari kwa usalama wetu.

Pascal anatafuta uteuzi kwa damu za watu na ni mzandiki shetani kuliko hata Ibilisi.
Pascal Mayala ni mtu mwenye uwezo mkubwa, isipokuwa anatumiwa na CCM, na hata uwe na akili kama malaika ukiwa CCM unaweza its maji jiwe.
 
Paskali bandiko zima nasoma inafika point naona unasema waliotoka CHADEMA wamepata ULAJI! Narudi kusoma tena naona waliotoka CHADEMA wamepata ULAJI!
kumbe hampo kuwatumikia wana nchi mpo kupata Ulaji?...hata leo hii wewe ukipewa uteuzi unasema umepata ulaji umetoka kwenye kupauka My Country🤔🤔
 
Kuna tetesi mahali nilizisikia kuwa, kuna Covid-19 mmoja ni chakula ya Pasco, hivyo Pasco ni chawa wake ili waendelee kula ugali.

Sijui kuna ukweli wowote?
 
Mr even devils does good deeds kwani hiyo Qarma inafanya kazi kwa namna ghani,ati kwa siasa tu na ile kwa side moja tu? Monsters wengine ipo mahali haiguswi nayo?
 
Hivi ni nani mwenye nguvu ya kumtoa mtu aliendani gerezani usiku usiku na kesho yake akaapishwa kua ni mbunge?!! Tena wakaapishiwa garage, sio ndani ya ukumbi wa bunge!!

Yaani CHADEMA ipeleke jina la mtu ambae yuko gerezani zaidi ya miezi miwili na imtoe usiku?!!

Ifike sehemu tuache unafiki na uhuni!!
Hoja kuntu..
Pascal Mayalla, ebu njoo ujibu huku.
Ukishindwa, ww na wanaokutuma mkae kimya!
 
CHADEMA kinapaswa kujenga taswira chanya kwa jamii. Pamoja na mambo mengine political branding ya chama cha siasa inajengwa na udihibiti wake katika misimamo na maamuzi yake. Hakuna jinai yoyote Kutowafukuza wabunge 19 kama walingia kinyume cha utaratibu ni uvunjivu wa katiba ya chama.

Kwa kuwa umeshasema CHADEMA ni public party paid by taxpayers ungehoji vilevile ilikuwa halali wabunge wale 19 kutumia pesa za umma? Je ilikuwa halali kufoji nyaraka za chama? Na ilikuwa sahihi kwa bunge chini ya Ndugai kuwalipa fedha za umma? Bila hivyo unaweza kuitwa mchambuzi kanjanja tu kutafuta maslahi yako binafsi.
Hawa COVID 19 siyo kufukuzwa pekee wanatakiwa washitakiwe pia kwa uhujumu uchumi
 
Yaani huwa najiuliza kuwa huyu Pascal alisoma kweli Ilboru sekondari au alikuwa msoma magazeti? Hata Mimi niliyesoma shule ya kayumba najua mbivu na mbichi Sasa huyu mchumia tumbo anakuwaje jinga kiasi hiki.

Pascal ni janga la kitaifa yaani tukiwa na wachumia tumbo Kama hawa hta wakiwa wawili ni hatari kwa usalama wetu.

Pascal anatafuta uteuzi kwa damu za watu na ni mzandiki shetani kuliko hata Ibilisi.
Ungejibu hoja zake ingekuwa vizuri.Kumshambulia mtoa hoja sio hoja bali pinga hoja zake kwa hoja.
 
Kwa hili hata kama CDM walikosea kwa hayo uliyotaja,kwa hili la Covid 19 ili kurudisha heshima ya CDM inapaswa kuwatimua! Wakifanya hivyo watakuwa wamefunika hayo makosa mengine waliyofanya!
Makosa yanatofautiana lakini yapo makosa yenye uzito zaidi ambayo ukiyafanya yanakugharimu zaidi.
Hili la Covid 19 ni mtihani mkubwa kwa CDM! Watanzania wanataka kujua kama bado CDM inaweza kuendelea kubeba matumaini ya waliowengi katika Taifa letu!
 
Mayala, mbona sikuelewi wewe umeandika kisha sisi tukabwabwaja sasa badala ya kujibu viroja vyetu wewe unatupa wote Thanks, yaani tuliyoyaandika ni utumbo! Kwa kutupa shukurani inanifanya nione kama bandiko lako ulipewa na mtu mwingine utuchokoze wabwabwazaji!
Hapa naomba usinipe Thanks.
 
Back
Top Bottom