Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure.... Hizi dini na vitabu vya waliomsurubisha mwana wa mtengeneza sofa zina utapeli sana uongo wa mda mrefu ...watu wana mambo yaoMusa hakuruhusu musa kakuta na yeye pia alioa wake wawili
Cha ajabu wana theology tofauti na waliko chukua Hiyo Imani hata Hao wayahudi wenyewe wanashangaa hawa wametoa wapi hayo Maneno wanayoyasemaSure.... Hizi dini na vitabu vya waliomsurubisha mwana wa mtengeneza sofa zina utapeli sana uongo wa mda mrefu ...watu wana mambo yao
Yusuph anayemuongelea Proved ni WA AGANO jipya, aliyemchumbia Mariam ambaye alimzaa Yesu,I feel you bro..
Basi niambie Yakobo,Yusufu, simoni na yuda pamoja na dada zake walikuwa ni wa Mama yupi?
Kingine unafahamu Yusuf alikuwa ana miaka mingapi kipindi anamuoa mariam?
Tuanzie hapo kwanza ili nisije nikakubebesha mzigo mzito!
Hapa ndo nimeamini huna unalojua kuhusu Biblia..Yusuph anayemuongelea Proved ni WA AGANO jipya, aliyemchumbia Mariam ambaye alimzaa Yesu,
Wewe unaongelea Yusuph mwana wa Yakobo ambaye ambaye mamaye aliitwa Rachel.
So ni ngumu kuelewana.
Kwa kukuongezea kasome Mathayo 13:55-56Yusuph anayemuongelea Proved ni WA AGANO jipya, aliyemchumbia Mariam ambaye alimzaa Yesu,
Wewe unaongelea Yusuph mwana wa Yakobo ambaye ambaye mamaye aliitwa Rachel.
So ni ngumu kuelewana.
Mungu alijua utazaliwa jambaz utakufa jambaz alafu atakufufua nakukuchoma moto jehanam .... Je huyu n mungu wa namna gani?? [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo uone watu wanadanganywa.
Naelewa vizuri sana,Hapa ndo nimeamini huna unalojua kuhusu Biblia..
Ukitaka kuanzisha mada hakikisha una elimu nayo..
Proved hebu msaidie ndugu yako maana mimi kuongea na watu wasio na elimu huwa siwezi..
Nimekuona wewe unaelimu sana
Mkuu mimi sio mwislam na sijafungwa na kifungo cha Upofu wa aina yoyote..Naelewa vizuri sana,
Sikujua mjadala wenu ulianzia wapi, maana ninyi Islam Mariam na Miriam dada wa Musa kwenu ni mtu mmoja.
Sorry bro. Asaiv umesimama kwny iman gan ya kidini hususan kwny ibadaMkuu mimi sio mwislam na sijafungwa na kifungo cha Upofu wa aina yoyote..
Nimewahi kuwa Mkristo kwa muda mrefu mpaka kuwa mchungaji....
Nimewahi kusa muslimu for 7 years
Kuwa Myahudi (Judaism) for more than 5 years ...
For Now its better to be with no doubt than have doubt and blindly believe...
How could You have Faith where there is no HOPE?
Kwanini Nisimame kwenye imani ya kidini?Sorry bro. Asaiv umesimama kwny iman gan ya kidini hususan kwny ibada
Mko sawa, mm sikuangalia Kwa makini mnachojadili.Kwa kukuongezea kasome Mathayo 13:55-56
Ok hapo sawa na nimependa utulivu wako katika majbuMko sawa, mm sikuangalia Kwa makini mnachojadili.
Lakini naelewa vizuri.
Okay....Kwanini Nisimame kwenye imani ya kidini?
Agano la Kale ndio halisi. Agano jipya ni matokeo ya Agano la kale lililochakachuliwa kwa utashi wa kibanadamu kwa msaada wa hila za ibilisi.Agano la kale ni kivuli cha agano jipya yaani agano jipya ndio halisi.
Acheni tamaa muoe.Uongo na utapeli wa hizo dini.... Wanawake wanapaswa kuolewa wawili wawili na zaidi.
Hayo makanisa na vitabu vyake vya uongo khs ndoa wana ajenda zao khs ndoa na wanawake kw ujumla. Ndio maana wanapinga nakuaminisha watu mke n 1 tu
Mungu alipoagiza mkaizaje Dunia hakukuambia uijaze Dunia pekeako Kwa Kuoa wake wengi, la hasha!!Agano la Kale ndio halisi. Agano jipya ni matokeo ya Agano la kale lililochakachuliwa kwa utashi wa kibanadamu kwa msaada wa hila za ibilisi.
Unaniambia katika Agano la kale ilikuwa sawa mume mmoja kuwa na wake wengi, kwenye agano jipya ikawa batili?! Nini kilibadilika?! Mungu alibadili mawazo?
Ikiwa dhamira ya ndoa ni kuzaliana, habu niambie, kati ya mume mwenye wake 3 na yule mwenye mke mmoja, katika kipindi cha mwaka, kama factors zingine za kibinadamu zitakuwa sawa, ni yupi atakuwa na watoto wengi?