Kwani safari iliyopita ya Mwendazake hakukuwa na majizi? Tena majizi yenyewe yalikuwa yanaanza na yeye mwenyewe. Au umesahau hoja ya ukaguzi ya Tsh 2.4 TrilionHoja za kipuuzi kabisa, endeleeni kucheka na kima. Safari hii majizi ndio yatashamiri kila kona.
Wee Kama sio mjinga si ukamuulize aliyeiunda , majaaliwa ndo ameiiunda yeye anafanya yaliyondani yake
Kwanini mkuu?
Kwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi.
Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.
Tumeanza kuona wizi na ulaji wa hovyo. Tena ndani ya wizara mama yenye kushikilia hazina ya taifa na nchi. Wizara ya Fedha wanaanza kuiokomba nchi kweupeee! Hisia yangu hawa ni nyani waliogundua kwamba hatuna tena mlinzi wa fedha ya umma. Rais wetu utajua mwenyewe! Kama nawe una maneno yale ya kusema nchi hii utaiacha kama alivyoiacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli. Aliyesema simtaji.
Shamba la bibiYeye mwenyewe kasafiri kwenda USA kupasua tezi dume imagine matibabu ambayo angepata Nairobi kama aliona shida kuoneka nyumbani kwake
matusi yanakuje sasa?we mbwa unajua Prof Asad alianza ukaguzi mwaka gani na riport yake ya kwanza ilikuwaje? you better shut-up.
kipindi hiki watu wengi hatukuwa tunazifuatilia report kwa umakini wa sasa uko sawaSorry kuweka kumbukumbu sawa. CAG wakati wa kikwete aliitwa Utoh
Wakati wa Magufuli wezi walikuwa wanalindwa na kulelewa, sasa hivi wanachukuliwa hatuaKwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi.
Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.
Tumeanza kuona wizi na ulaji wa hovyo. Tena ndani ya wizara mama yenye kushikilia hazina ya taifa na nchi. Wizara ya Fedha wanaanza kuiokomba nchi kweupeee! Hisia yangu hawa ni nyani waliogundua kwamba hatuna tena mlinzi wa fedha ya umma. Rais wetu utajua mwenyewe! Kama nawe una maneno yale ya kusema nchi hii utaiacha kama alivyoiacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli. Aliyesema simtaji.
"Auto pilot mode " nimekuelewa Sana mkuuKinachofurahisha zaidi, ni wale wenye smart phone na pesa ya bando tu ndo wanamsifia mama ukiacha wanasiasa version TZ.
Kimtaa mtaa, hakuna anayefuatilia tena nini kinaendelea serikalini, kama ikulu imerudi kuwa lango la walanguzi au kuwa takatifu, hakuna anayejali, pengine walimvia mama kwenye hotuba mbili muhimu, wakahitimisha.
Pengine wanahisi tumeingia kwenye AUTO PILOT mode.
Hoja dhaifu Sana hii.Ngoja nikuambie kipindi Cha Mwendazake pesa ya serikali ililiwa kwenye miradi hata ripoti ya CAG imekuja kutuambia hasara hasara hasara .means Kuna biashara serikali imefanya ,uwekezaji ikatokea hasara tofauti na upigaji huu wa kiboya Sana eti watu wanalipana posho ndani ya miezi 2 tu milioni 500 hii ni disrespect .Rais SSH yuko vizuri. Yeye kaibiwa na kagundua kabla hata ya CAG kukagua mahesabu. Kuibiwa huwezi kuzuia bali kutambua wizi ndiyo akili
Lakini huyo Mwendazake wenu alikuwa anaiba yeye na genge lake halafu CAG akihoji anamfukuza kazi.
Sukuma Gang, mtahangaika sana kutafuta kasoro
Naona hapa umeleta ushabiki na uzandikiKwani mkuu lini wizi uliisha?kama ungekuwa umekwisha ripoti ya CAG, isingekuwa vile ilivyo kwa 2019/2020!sema tu ilikuwa ni marufuku kuu ripoti, kwa kumuogopa jiwe, hivyo watu wakaaminishwa kuwa hakukuwa na pesa ya serikali iliyoibiwa!!sasa awamu ya sita inaamini ktk uwazi ndio maana mtaanza kusema hivyo kuwa hawamuogopi kumbe ni uwazi ambao jiwe hakuupenda!!kinachotakiwa hao wabadhirifu ikibainika kweli wamekula pesa ni adhabu kali sana wapewe.Tena hakuna kipindi ambacho pesa imeliwa kama cha awamu ya tano kwa taarifa yako.yaani ingetokea ikafanyika special audit ya miaka 5, iliyopita watu watazimia kwa kutoamini ubadhirifu mkubwa wa pesa.
Jina lake nadhani ni Maneno.Unafikiri mkwere kile kijiji alichojenga kwao Msoga kilitokana na mshahara wake? Hiyo VOTE ya ikulu Ndio kichaka chenyewe na Ndio maana MNIKULU mara zote anakuwa mtu wa karibu sana/ ndugu wa Rais!!! Mkwere alikuwa na binamu yake!!!!
Siku zote sababu za matumizi ya pesa huwa hazikosekani.Hii sijui ni Kweli
WIZARA YA FEDHA POSHO ZAO TOKA MWEZI WA TATU TU 1: 251,000,000/= (31/03/2021)kazi maalum
2:198,000,000/=(31/03/2021)
3:44,500,000/=(08/04/2021)
4:155,295,000/=(13/04/2021)
5:43,900,000/=kuandaa mpango wa kuhifadhi mazingira (30/04/2021)
6:14,400,000/=siku ya wanawake(30/04/2021)
7: 43,000,000/=(30/04/2021)
8:184,100,000/=(meimosi asubuhi 01/05/2021)
9:264,000,000/=(meimosi mchana 01/05/2021)
10:146,500,000/=( Kuandika mpango Kazi wa manunuzi watu 125 03/05/2021)
11:171,200,000/=(kuandaa nyaraka za bunge)
Wewe uwe Rais anayokuja. Utawanyoosha kweli kweli. Mama Samia delegate most everything to Majaliwa.Kwa wakulima wa mahindi na mpunga, tunaelewa uharibifu wa nyani na tumbili na ndege. Huwa tunaanza kuweka matambala na kichwa cha bandia ili wanyama hawa waamini huyo ni mlinzi.
Wanyama polepole huanza kuzoea na kugundua kwamba hayo ni matambala na hakuna kichwa, ni chungu cheusi. Hapo sasa mazao huanza kuliwa.
Tumeanza kuona wizi na ulaji wa hovyo. Tena ndani ya wizara mama yenye kushikilia hazina ya taifa na nchi. Wizara ya Fedha wanaanza kuiokomba nchi kweupeee! Hisia yangu hawa ni nyani waliogundua kwamba hatuna tena mlinzi wa fedha ya umma. Rais wetu utajua mwenyewe! Kama nawe una maneno yale ya kusema nchi hii utaiacha kama alivyoiacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli. Aliyesema simtaji.