Je, wezi wa Wizara ya fedha wameshafahamu aina ya Rais tuliyenaye?

Hoja za kipuuzi kabisa, endeleeni kucheka na kima. Safari hii majizi ndio yatashamiri kila kona.
Kwani safari iliyopita ya Mwendazake hakukuwa na majizi? Tena majizi yenyewe yalikuwa yanaanza na yeye mwenyewe. Au umesahau hoja ya ukaguzi ya Tsh 2.4 Trilion
 
Wee Kama sio mjinga si ukamuulize aliyeiunda , majaaliwa ndo ameiiunda yeye anafanya yaliyondani yake

Huko serikalini, hakuna collective responsibility? Ama kila mmoja anakuja na lake?
 
Mama akitaka legacy nzuri aende na katiba mpya
Baaasss
 
Yeye mwenyewe kasafiri kwenda USA kupasua tezi dume imagine matibabu ambayo angepata Nairobi kama aliona shida kuoneka nyumbani kwake
Shamba la bibi
 
Haya madudu ndiyo yanayowafanya waandike kwamba sasa hivi wana furaha zamani hawakuwa na furaha.

Lakini sauti ya Majaliwa ina mamlaka ndani yake ndiyo maana wako bize kumfundisha rais Samia kuwa amtoe kwenye uwaziri mkuu kwa sababu eti ni masalia ya JPM!

Kwani SAMIA ni masalia ya nani?
 
Wakati wa Magufuli wezi walikuwa wanalindwa na kulelewa, sasa hivi wanachukuliwa hatua

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
"Auto pilot mode " nimekuelewa Sana mkuu
 
Hoja dhaifu Sana hii.Ngoja nikuambie kipindi Cha Mwendazake pesa ya serikali ililiwa kwenye miradi hata ripoti ya CAG imekuja kutuambia hasara hasara hasara .means Kuna biashara serikali imefanya ,uwekezaji ikatokea hasara tofauti na upigaji huu wa kiboya Sana eti watu wanalipana posho ndani ya miezi 2 tu milioni 500 hii ni disrespect .
 
Naona hapa umeleta ushabiki na uzandiki
 
Serikalini vitengo vingi watu wanapiga mpunga, Sio TRA, BOT, wizara ya fedha, hazina nk
 
Hii sijui ni Kweli
WIZARA YA FEDHA POSHO ZAO TOKA MWEZI WA TATU TU 1: 251,000,000/= (31/03/2021)kazi maalum
2:198,000,000/=(31/03/2021)
3:44,500,000/=(08/04/2021)
4:155,295,000/=(13/04/2021)
5:43,900,000/=kuandaa mpango wa kuhifadhi mazingira (30/04/2021)
6:14,400,000/=siku ya wanawake(30/04/2021)
7: 43,000,000/=(30/04/2021)
8:184,100,000/=(meimosi asubuhi 01/05/2021)
9:264,000,000/=(meimosi mchana 01/05/2021)
10:146,500,000/=( Kuandika mpango Kazi wa manunuzi watu 125 03/05/2021)
11:171,200,000/=(kuandaa nyaraka za bunge)
 
Unafikiri mkwere kile kijiji alichojenga kwao Msoga kilitokana na mshahara wake? Hiyo VOTE ya ikulu Ndio kichaka chenyewe na Ndio maana MNIKULU mara zote anakuwa mtu wa karibu sana/ ndugu wa Rais!!! Mkwere alikuwa na binamu yake!!!!
Jina lake nadhani ni Maneno.
 
Siku zote sababu za matumizi ya pesa huwa hazikosekani.

Wamesomea uhasibu miaka na miaka hawawezi kukosa sababu ya kuvuta mpunga.
 
Wewe uwe Rais anayokuja. Utawanyoosha kweli kweli. Mama Samia delegate most everything to Majaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…