KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Ndio maana nilisema "kama". Mtoa mada kanijulisha kuwa alimaanisha huyo DCI na si aliyekuwa Mkuu wa Magereza. Pamoja na hayo nakushukuru kwa hii taarifa yakoRamadhani kingai DCI sio nyamka mkuu vp
Tiss wanaingiaje hapa sasa..Waziri wa Mambo ya ndani.
..IGP.
..DCI.
..Mkurugenzi wa Tiss.
..wanatakiwa kubadilishwa.
..Utekaji wa SATIVA umemchafua Rais Samia.
MAKONDA?Nauliza tu maana kuna harufu Fulani kutoka sehemu fulaniii Tukapata kijana akawa IGp
Ni mawazo Yangu tu
Wait it
Upo Pascal Mayalla ?
Britanicca
Lenye mwanzo lina mwisho.Nauliza tu maana kuna harufu Fulani kutoka sehemu fulaniii Tukapata kijana akawa IGp
Ni mawazo Yangu tu
Wait it
Upo Pascal Mayalla ?
Britanicca
..Watanzania tumedanganywa, na kutishwa sana, kuhusu Idara ya Usalama wa taifa.
..Yaani tunawaona kama ni zaidi ya Mungu wakati ni binadamu kama sisi.
..Kuna miaka vijana wa form 6 wa kiume walikuwa wakiajiriwa ktk idara za serikali kabla hawajapangiwa vyuo vya kwenda. Mbowe aliingia BOT kwa utaratibu huo.
Mkuu kwa teuzi tengua hizi unadhani hata waziri wa Elimu tunamjua?......Watanzania wengi washaacha kufatilia mambo haya.
..wanajeshi walinzi wa Mbowe walikamatwa wakati wa Magufuli na naamini walifikishwa mahakamani.
..Mama Abduli alipoingia madarakani ndipo Mbowe akakamatwa na kujumuishwa ktk mashtaka na walinzi wake.
..Wakati tunabishana kuhusu Magufuli au Mama Abduli, tusisahau kuna mlinzi wa Mbowe alikamatwa na haijulikani alipo Kwl
Kwa hiyo kumbe wakati anapewa tuzo na Chadema( Mbowe) waliamua kwamba mlinzi wa Mbowe atajiju?..wanajeshi walinzi wa Mbowe walikamatwa wakati wa Magufuli na naamini walifikishwa mahakamani.
..Mama Abduli alipoingia madarakani ndipo Mbowe akakamatwa na kujumuishwa ktk mashtaka na walinzi wake.
..Wakati tunabishana kuhusu Magufuli au Mama Abduli, tusisahau kuna mlinzi wa Mbowe alikamatwa na haijulikani alipo mpaka leo.
Kwamba mimi leo siwezi nikatunga kesi leo ila nikapika ushahidi wa mwaka 2021?Ulifuatilia ushahidi wa kesi ya Mbowe, tuhuma zake zilikuwa za kipindi gani?
Sawa Sawa KamandaNauliza tu maana kuna harufu Fulani kutoka sehemu fulaniii Tukapata kijana akawa IGp
Ni mawazo Yangu tu
Wait it
Upo Pascal Mayalla ?
Britanicca
Ummy anafanya kazi gani kwenye hiyo wizaraKwa kweli hata mimi zaidi ya Waziri Mkuu, Mwigulu na Ummy, mawaziri wengine wote waliosalia siwajui kivile...
Ana kila ingredient zoteSuzana Kaganda ni educated and fit for female IGP.
Kidumu chama kikiendelea , igp hata awe einstein ni bure tuAna kila ingredient zote
Mh Rais,ni lazima aelezwe hili!!Cammilius na Ramadhan wamepwaya sana kwenye nafasi zao na utendaji wao ni kama wanapingana na 4R za boss wao.
Kwa hiyo kumbe wakati anapewa tuzo na Chadema( Mbowe) waliamua kwamba mlinzi wa Mbowe atajiju?
Kwa hiyo wakati Mbowe anatoa jasho kumsifia Samia akiwa Mwanza alisahau kwamba mlinzi wake alipotezwa?
Tiss wanaingiaje hapa sasa
Toka siku ya kwanza sijawahi kumwamini huyu bibi,4R ni kitu ambacho yeye mwenyewe hakielewi ukimwambia akuelezee kwa undani kila R atashindwa. Ni mtu asiyekuwa na sifa ya kuwa angalau group leader kwenye group discussion...walitegemea atawalipa wema, lakini anawalipa ubaya.
..kwani Samia alipotangaza 4R ulidhani hatutaelezwa hatma ya Azory Gwanda, na wengine?
Yea ni option namba mbili Kama Awadhi system itagoma! Japo mama anamkataka kisa ni ….Ana kila ingredient zote
Ulifuatilia ule ushahidi na wale mashahidi wa mchongo, na matukio yao yalikuwa ya lini?Kwamba mimi leo siwezi nikatunga kesi leo ila nikapika ushahidi wa mwaka 2021?
Awadh ni mtata sana na kwa style ya mama yenu hali inavyozidi kwenda ndio anazidi kupagawa she needs a rude and unreasonable IGP na Awadh huwaga very unreasonable nimemfahamu toka akiwa Oysterbay wakati ana nyota 2 na within 12 years amepanda fasta sana sababu ya unaa wake na kujinafikisha kwa wakubwa kujiweka kifeont akisahau kwamba hizi kazi kuna siku sio nyingi atarudi mtaani. Anyway all the best lakini akiteuliwa mjue tumeumia hanaga akili jamaa.
Kaganda nimemfuatilia anafanya kazi kwa weredi. Awadh atamharibia nchi na kimataifa. He is not an intelligent police officerMh Rais,ni lazima aelezwe hili!!
Ndani ya Jeshi,akitaka kumpata IGP mzuri ni lazima ashuke chini kuanzia mwenye cheo Cha SP, SSP na ACP!!
Kumtoa IGP kutoka kwa kwenye vyeo SACP, DCP na CP ni kujidanganya!!,Hawa wengi wao wanakuwa wanakaribia kustaafu na akili zao Mara nyingi zinakuwa zimechoka Sana!!
Mh.Rais atafute IGP ambaye ni Kijana ambaye atakuwa naye kwa muda mrefu,ni risk Sana unapokuwa na CPs ambao karibia wote wanatarajia kustaafu ndani ya miaka miwili au mitatu kufika muda wa kustaafu!!