TANZIA Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo

Hata wewe hapo una madhambi na bado unaishi!! Kifo na madhambi anayoyapenda mtu havina uhusiano wowote .
Wabaya wanakufa na wazuri wanakufa.
Kwahiyo kufurahia kifo Cha mtu wakati wewe hujui utakufa lini ni upumbavu uliopitiliza.
Acha afe tu mimi hainihusu kama wangekuwa wanafufuka ningeomba afe tena, una la zaidi.
 
Hata hawa wa mkataba wa kihuni wajitafakari sana sana na waangalie mitandao ya kijamii kuhusu Jecha ili wajifunze mapema.
 
Hata hawa wa mkataba wa kihuni wajitafakari sana sana na waangalie mitandao ya kijamii kuhusu Jecha ili wajifunze mapema.
Sisi wanamitandao ya kijamii tunamuombea jecha dua njema kabisa kwa sababu kila alipoteleza kibinadamu ilikuwa ni kwa shinikizo la nyie watanganyika.
 
MHSRIEP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…