Jeff Leah: Yanga itafungwa 3-0 na Marumo na nina uhakika haitofuzu Fainal wala kuchukua kombe

Marumo kwenye mechi zake za home anaruhusu walau goli moja
 
Mbona nimeeleza labda kama tu hunizingatii.

Huko juu nimeeleza namna Yanga wanapokuwa kwenye zone ya Marumo walikuwa wanauchezea mpira bila kuhofia hatari yeyote inayoweza kusababishwa na wapinzani wao.

Nani kakuambia mchezaji tegemeo kutochezeshwa ndio indication ya kuonesha wapinzani wame underestimate match?

Pale ambapo hau approach kila game with the same mindset and same level of preparation.

Nimekuuliza mechi ya Marumo na Pyramids uliwaona Marumo walivyokuwa wana react pindi Pyramids wapo kwenye eneo lao?

Did they react the same when playing here?
 
Geof Leah tatizo lake ni ushoga, ndiyo sababu ya kuondoka hata pale Mawingu...
Majizzo anatumia nguv na pesa nyingi kupush Vituo vyake tatzo lake anaokota Presenters wenye akili ndogo sana...
All in all, wanatumia vituo vyake kupata followers Instagram, maana kwasasa ukiiponda Yanga au Simba unaongeza followers...
 
Hata alipocheza na Yanga walicheza kwa counter attacks. Mpira waliumiliki zaidi wakiwa kwenye eneo lao, si katika zone ya Yanga.

Ukweli ni kuwa Marumo walicheza kwa uwezo wao wote kutafuta ushindi. Na walionyesha kiu sana.
Hapo ndio napo kupinga.

Counter attacks za tempo kulingana na matukio mafupi huwezi ukafananisha na counter attacks kama whole plan ya mchezo.

Na ndio maana ukiangalia umiliki wa mpira ulikuwa kwa Marumo.
 
Sahihi kabisa mkuu.
Ai lavu yanga.
 
Bafikile bafikile bakyala ba Nzovwe..

Hana lolote. asitutishe na form 4 yake ya kenya
 
Bafikile bafikile bakyala ba Nzovwe..

Hana lolote. asitutishe na form 4 yake ya kenya
Ukuti nzovwe? Jo mwana jwa mbeya?

Ukumanya ku Nzowe

Nimetumia kumbukumbu zangu zooote kuunganisha hayo maneno
 
Akakojoe alale huyo
 
Uchambuzi murua kabisa. Una nafasi yako pale Jangwani siku tukimfurusha haji manara
 
Hawezi kukuelewa maana tayari anaonekana ni mbabe wa Ruvu shooting anaetafuta faraja kwa Marumo. Anataka kupanua wigo wa uchambuzi wakati topic inatu limit kwa Yanga na Marumo
 
Hii mbona ipo wazi kabisa...
Bahlabane ba Ntwa!!!!
shaya amaxoxo uMarumo washaya izinja ngokulinganayo..
Matunda ya kuangalia Isidingo kwa zaidi ya miaka 20 tunaanza kuyaona. Msalimie Zukisa kama una wasiliana nae
 
Bado yataitwa maoni na maoni hayawezi kubadilisha rangi bluu kuwa nyekundu matokeo yatategemeana na game plan za walimu wote wawili
 
Well said ni kweli huyu jamaa anajiona yeye ni Bora kuliko wachambuzi wengine anapenda Sana kukosoa wachezaji wetu ktk ligi ya kibongo anapenda Sana kuwasifia akina Shalulile na wachezaji wengine nje ya ligi yetu hata kama wachezaji hao wana viwango vya kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…