Jeff Leah: Yanga itafungwa 3-0 na Marumo na nina uhakika haitofuzu Fainal wala kuchukua kombe

Tegeta Sec School ndo ajue kiingereza kweli.
 
Endelea kuvuta tu kama inavyoonekana picha yako
 
Nyie ndiyo mnao waangusha wachambuzi ikiwa kinyume utakuja na uongo mwingine ila ujuwe yanga bingwa.
 
Anajua kiingereza? Hajui kiingereza kabisa anachojua kiswangish,hayo mambo ya nani kufungwa tusubiri mpira ukiisha
Kaa kimya mambo mengine kama huyajui!!mtu toka chekechea hadi form six amesomea shule za kingereza tu,leo useme hajui kingereza?!!
Kwani hayo si maoni yake? Kosa liko wapi,?hebu jaribuni kuwa mnaheshimu mitazamo ya watu hata ikiwa ni tofauti na wako.Povu la nini sasa?!!
 
Kaongeza kupitia ya takwimu haya mtakwimu ..lete hizo takwimu za kufanya yang afungwe tatu bila...
 
Kibu ni Bora kuliko Mayele..... Imejiandika tu
 

Scars ... Kama unamuani ... Odds hizo hapo weka laki Marumo afikishe goli 3 uamke na laki5 ... Acha uzwazwa weka mzigo ...
 
Wengi humu mna mahaba yaliyopitiliza kwa timu yenu, mchambuzi kusema timu yako itafungwa akatoa na sababu zake.sio jambo la ajabu, ndivyo ilivyo hapa duniani.

Inaweza kutokea au isitokee, kwasababu mwisho wa siku wachambuzi nao ni binadamu sio malaika, msiende mbali mpaka kuwachukia, hapo mnakuwa mmevuka mipaka kihisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…