Haya Mayele alikuwa hamilikiwi na YangaHivi ukifumaniwa kukapakwa mafuta gest tukikuuliza huku nje baada ya siku2 utatuambia kilichotokea [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Usikimbie pambano waulize wamiliki watoe mchanganuo wa mauzo na yawekwe kwenye vitabu vya mauzo mwisho watolee hesabu kama hamtashangaHaya Mayele alikuwa hamilikiwi na Yanga
Furahi sasa umepata ushindi
Sasa yanga wawe walikuwa wanamliki au alikuwa kwa mkopo wewe utafaidika na nini?
Kama angekuwepo Yanga kwa mkopo Yanga isingehusika na chochote kwenye uhamisho wewe juha wa rageHuyo ni 'critic' wa Yanga, hamjamzoea tu ?.....ila cha muhimu alichokiandika ni ukweli.
Why tuhoji hela za kuuzwa mayele kwanini tusianze na kuhoji pesa alizonunuliwa toka maniema zilitoka wapi au tuulize pesa alizosajiliwa skudu zimetoka wapiHojini fedha za usajili na kuuza wachezaji tena wahini mapema kabla hawajaingiza mambo ya gharama za kambi na mishahara ya wachezaji
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]hii kauli inanichekeshaga sanaNgoja waje vijana wa Rage..
Kijana wa ismail aden rageJemedari mchambuzi wangu Bora kuwahi kutokea
Nmekwambia unajiita jina ambalo huwezi kulibeba huo mfano una relate vipi na issue ya Mayele?Hivi ukifumaniwa kukapakwa mafuta gest tukikuuliza huku nje baada ya siku2 utatuambia kilichotokea [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ukikua utaelewa saivi pumzikaNmekwambia unajiita jina ambalo huwezi kulibeba huo mfano una relate vipi na issue ya Mayele?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Siwezi kukua then niwe mjinga kama weweUkikua utaelewa saivi pumzika
Umeulizwa hapo juu, kwani kuwapo kwa mkopo ni jambo baya au la aibu? Wakati mwingine tuachane na hoja nyepesi nyepesi. Hata kama alikuwa kwa mkopo lakini akawa anaichezea Yanga, kuna ubaya gani hadi kuanzisha uzi dhidi ya Kazumari?Jambo dogo sana. Kina samata wanakipiga vilabu huko ulaya na simba wanapata fungu lao so sijui hapo yupo kwa mkopo au la
Sasa mchezaji mwenyewe anasema hayupo Yanga kwa mkopo, anatokea Mchambuzi uchwara anakwambia yupo kwa mkopo. Uongozi wa Yanga umesema umemuuza Mayele pyramid na mchambuzi ana shupaza shingo.Umeulizwa hapo juu, kwani kuwapo kwa mkopo ni jambo baya au la aibu? Wakati mwingine tuachane na hoja nyepesi nyepesi. Hata kama alikuwa kwa mkopo lakini akawa anaichezea Yanga, kuna ubaya gani hadi kuanzisha uzi dhidi ya Kazumari?
hizo hela tutaziona kwenye taarifa ya mapato na matumizi tutajua jemedary muongo au ni chuma cha ukweliNi wachache bado mnahangaika na Mazuzu wanaojiita wachambuzi. Haaland ameuzwa lkn miongoni mwa wafaidika ni timu yake ya ujana.
Nonda Shaban alipouzwa ufaransa Yanga walipata mgao na Hakuna Mchambuzi uchwara kipindi hicho aliuliza.
Samata alipouzwa na Mazembe Simba waliitwa kuchukua mgao wao japo wajanja walipita nazo.
Hizo taarifa hata mkipewa bado hamtaki kuelewahizo hela tutaziona kwenye taarifa ya mapato na matumizi tutajua jemedary muongo au ni chuma cha ukweli
Mbu3 mlipomuuza chama pesa ziliwekwa kwenye taarifa yenu ya mapato?hizo hela tutaziona kwenye taarifa ya mapato na matumizi tutajua jemedary muongo au ni chuma cha ukweli