hujui lolote kumbe wewe ndo viongozi hao wapum++bavu so ungekuwa wewe rais ungepeleka nchi vitani hata kama si kwa maslahi ya nchi na wananchi?idi amini kama sikosei aliclaim sehem ya tz na kuua watu na pia idd amin was a dictator he wasnt a legitimate leader of uganda ndo maana it was easy for mwl to oust the guy....hata hvo inawagarimu watz hadi kesho.....huna akili
Jmali, mokala1989,rushasha & co. (the coalition of dimwits) hawawezi kuelewa analysis nzuri kama hii yako mkuu.
"idd amin was a dictator he wasnt a legitimate leader of uganda" . toa iddi amin weka kagame, toa uganda weka Rwanda!
OF COURSE, SISI SIO WATUTSI-EXTREMISTS! wala sio watanzania feki.
...hatamaliza siku tatu anazikwa,watutsi wapo mpaka kwenye taasisi nyeti kunausalama hapo...?
Ni kosa kisheria vyombo vya usalama kuvuka mipakana kwenda kuuwa raia wa nchi jirani ndani ya nchi yake!
Alafu mpk habari wananchi wameifahamu Maana yake Ni kwamba vyombo vya usalama vya Tz viko na ushahidi Wa kutosha na serikali yetu iko kimya bila kutoa kauli zozote kwa Kigali Km walihusika Maana yake Ni kwamba wameshindwa kutulinda! Na hii Ni kinyume na katiba!
Kwahiyo Hilo swala Ni la kuangalia sn
Kwahiyo kama hapa jf tungetumia majina yetu halisi na tunavyomsema vibaya angetufuata majumbani kwetu basi.
Ndio nikasema tunatakiwa kuangalia kwa umakini Hilo swala!
Kweli rais ni dhaifu
Kwahiyo kama hapa jf tungetumia majina yetu halisi na tunavyomsema vibaya angetufuata majumbani kwetu basi.
Kayumba kajizushia tu! anatafuta attention ya south afrika kwani walikua wamemsahau tangu karegeya alipokufa kayumba alikua kama amesahaulika sasa anataka serikali ya south afrika impe uzito kama ilivyokua ikifanya kwa karegeya.
Katika kuonyesha Meja Paul Kagame ni kinara wa tasinia ya kijasusi katika Afrika, nyumba ya Gen Kayumba Nyamwasa inayolindwa vikali na polisi ya Afrika kusini ilivamiwa usiku wa kuamkia jana na kuharibu kila kitu. Akihojiwa na BBC Nyamwasa amekiri kutafutwa na watu ambao hawatoki nchi yoyote ispokuwa Rwanda. Amekiri pia kuwa nyumba yake inalindwa na polisi wa A. Kusini na kuwa kilichomwokoa ni kwamba yeye hakuwepo wakati wa uvamizi huo.
My take: Nchi kama South Afrika lazima wawe na mifumo bora ya kiulinzi, inakuwaje Kagame anaweze kupenyeza watu wake na wakaenda kushambulia eneo linalolindwa namna ile?
Kumbuka alisema kwa kinywa chake kwamba wasaliti wa nchi yake hawako salama na kuwa it's a matter of time!
Sisi wenye chokochoko naye tuko salama kiasi gani?[/QUODan Fodio
Katika kuonyesha Meja Paul Kagame ni kinara wa tasinia ya kijasusi katika Afrika, nyumba ya Gen Kayumba Nyamwasa inayolindwa vikali na polisi ya Afrika kusini ilivamiwa usiku wa kuamkia jana na kuharibu kila kitu. Akihojiwa na BBC Nyamwasa amekiri kutafutwa na watu ambao hawatoki nchi yoyote ispokuwa Rwanda. Amekiri pia kuwa nyumba yake inalindwa na polisi wa A. Kusini na kuwa kilichomwokoa ni kwamba yeye hakuwepo wakati wa uvamizi huo.
My take: Nchi kama South Afrika lazima wawe na mifumo bora ya kiulinzi, inakuwaje Kagame anaweze kupenyeza watu wake na wakaenda kushambulia eneo linalolindwa namna ile?
Kumbuka alisema kwa kinywa chake kwamba wasaliti wa nchi yake hawako salama na kuwa it's a matter of time!
Sisi wenye chokochoko naye tuko salama kiasi gani?
Umesahau Chacha Wangwe,CCM na Serikali yake ina wataalamu waliosomea karibu nchi zote zinazoongoza kwa ujasusi,lkn hawana haja ya kuwazuru wapinzani wao wakisiasa,kwasababu si sera yao,wapinzani wao ni wepesi sana,si umejionea CHOPA tatu viti vitatu.