Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?


"idd amin was a dictator he wasnt a legitimate leader of uganda" . toa iddi amin weka kagame, toa uganda weka Rwanda!
 
Jmali, mokala1989,rushasha & co. (the coalition of dimwits) hawawezi kuelewa analysis nzuri kama hii yako mkuu.

OF COURSE, SISI SIO WATUTSI-EXTREMISTS! wala sio watanzania feki.
 
"idd amin was a dictator he wasnt a legitimate leader of uganda" . toa iddi amin weka kagame, toa uganda weka Rwanda!

Legitimate leader to who? The Rwandese who elected him or you (the coalition of dimwits)...niga pleeeease! Get a life.
 
OF COURSE, SISI SIO WATUTSI-EXTREMISTS! wala sio watanzania feki.

Unajua traits wa interahamwe? common and consistent words mnazotumia ni kama "sis watanzania", "sisi wapenda amani" so that all the other peace loving tanzanians wadhani kwamba na nyie ni watanzania kumbe ni wale waliokimbia 1994 na mnaogopa kurudi ku face justice.
 
Kuna tetesi kuwa Hayati Wakili Prof. Juan Mwaikusa aliuwawa na makachero wa Kagame baada ya Mwaikusa, ambaye alikuwa Wakili katika kesi za ICTR, kutaka Kagame afikishwe ICTR akujibu tuhuma za kuhusika na mauaji ya mwaka 1994 kule Rwanda
 
...hatamaliza siku tatu anazikwa,watutsi wapo mpaka kwenye taasisi nyeti kunausalama hapo...?

tanzania nizaidi ya uijuavyo,kwenye mambo ya ndani unaweza kuona ni nchi iko weak sana,lakini maswala nje wejaribu utaona how intelligent we are..nadhani uantaka kuzungumzia matukio kadhaa yaliyofanya na bwana kagame hapa nchini kama la kutuma watu walio muua Prof.Mwaikusi nyumbani kwake..!
 

Kwahiyo kama hapa jf tungetumia majina yetu halisi na tunavyomsema vibaya angetufuata majumbani kwetu basi.
 
Kwahiyo kama hapa jf tungetumia majina yetu halisi na tunavyomsema vibaya angetufuata majumbani kwetu basi.


Ndio nikasema tunatakiwa kuangalia kwa umakini Hilo swala!
 
Kwahiyo kama hapa jf tungetumia majina yetu halisi na tunavyomsema vibaya angetufuata majumbani kwetu basi.

Kuna mzee mmoja Mtutsi alikuwa anafanyakazi Wizara ya Mambo ya Ndani kwa sasa amekwisha fariki. Alikuwa akijitambulisha kuwa ni Mhaya, aliwasaidia Watutsi wengi ambao walikuwa ni wakimbizi wa mwaka 1994 kupata uraia wa TZ. Inawezekana wapo wengi aina ya huyo mzee.
 
Kayumba kajizushia tu! anatafuta attention ya south afrika kwani walikua wamemsahau tangu karegeya alipokufa kayumba alikua kama amesahaulika sasa anataka serikali ya south afrika impe uzito kama ilivyokua ikifanya kwa karegeya.

MUKAMASIMBA mimi sina uhakika wewe ni mtu wa namna gani kwa hiyo mara nyingi sana huwa sitaki malumbano na wewe maana mwisho wa siku hutakawia kuniita FDLR.Lakini all in all ukweli unauujua sana
 
 

Hatuna shida na Kagame,wala Wanyarwanda,kauli kama hizo ni za kichochezi!
 
Sengelema
Umesahau Chacha Wangwe,CCM na Serikali yake ina wataalamu waliosomea karibu nchi zote zinazoongoza kwa ujasusi,lkn hawana haja ya kuwazuru wapinzani wao wakisiasa,kwasababu si sera yao,wapinzani wao ni wepesi sana,si umejionea CHOPA tatu viti vitatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…