Kumbe hawalipi?? Nijuavyo wanalipa ila posho ambazo ndio nyingi hazikatwi ..this is eye opening. Tuanzie hapo
 
Huu ndio uzalendo lol
Hakuna cha uzalendo wala nini. Kama kweli Mh. Slaa amesema hivyo, basi hajui maana ya kodi ni nini kwasababu Wabunge wanakatwa kodi kwenye mishahara yao. Ambacho hakikatwi kodi na hii ni kwa watumishi wote ni marupurupu na posho wanazozipata nje ya mishahara yao. Kama na hayo anataka yakatwe kodi hapo nitaelewa.
 
Tuseme hakuwepo Bungeni wakati wanapitisha Tozo? Wanasiasa watz wasituone watanzania ni wajinga kiasi hiki
 
Hatuwezi kuendesha nchi kwa kutegemea TOZO.mbunge yupo sahihi,lazima Kodi walipe.
 
Huyu kijana ameongeaa maneno makubwaa mazuri sana sana.

Wakati muafaka mama Samia mkafanye marekebisho ya sheria za bunge Kodi ZIKATWE. Huwezii piga keleele bungeni MAKATO ya tozoo hukuu mnaiibia serikali kwa kutolipa Kodi

Wakati muafakaa Sasa mama yetu mkasikilize sauti ya kijana wetu mkaifanyie kazi.

Imenishangaza kuna WABUNGE wako mule mwaka wa kumi leo hii anapigia KELELE za tozo amesahau anatakiwa kulipa Kodi na kutolipa Kodi WABUNGE ni kuiibia serikali.

Namuomba malaika GABRIEL AKUSIMAMIE AKULINDE MDOGO WANGU JERRY SILAA, VITA HII N YA MUNGU NA UTASHINDA.
 
Rais hapa anatwishwa mzigo ambao sio wake,, Bunge ni chombo huru, ni swala la wabunge wenyewe kuamua..Tuone kama watagusa maslahi yao
Mkuu angalia saini za mama kwenye sheria ZAO

Kuwalima
Kodi hawa lazima waidhinishwe kimaandishi hakuna jinsi

Mamaa awe na MSIMAMO ashikilie hili Kuna vyanzoo vingi TU vya FEDHA mojawapo kadi za WABUNGE wanazotuibia kwakutolipa Kodi hiiii n dhaaaaambikubwaaaaa
 
Kweli kijana ameongea point Namuona Zungu na Ndugai wanakomalia Kodi ya miamala kumbe Wao Wao wanachukua nzima nzima
 
Umelewa ama una utaahira ewe mleta mada? Hujui kuandika rudi shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…