Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.
Kwa mood walionayo wapiga kura wake,atadhubutu kuwaomba wamchague Tena? Ni Bora angefata wenzie walionyamazia jambo hili
 
Mkataba bado haujasainiwa, kilichosainiwa nai makubalianao kwa ajili ya kuja kutengeneza mikataba hapo baadaye. Huwezi ukaweka ukomo wa muda kwenye makubaliano, kwa sababu kila mkataba utakuwa unakuwa na timeframe yake
Acha kupotosha, bungeni hakupelekwi makubaliano, bali mikataba. Soma katiba ya Jamhuri ya Muunga ya Tanzania ibara ya 63, kifungu cha 3, kifungu kidogo e. Nakiweka hapa chini.

1689166662636.png


Sasa wewe Makanyaga niwekee kifungu chochote cha sheria kinachosema bungeni (Tanzania) unaweza ukapeleka makubaliano yakapitishwe.

1689166739587.png
 
Kaja na shehena ya mabuku, nyaraka na bahasha zenye dokumenti "siri" za kamati ya bunge ...

1689166769977.png



Ibara 63 (3) (e) ya Katiba ya Tanzania mikataba ya kimataifa ya inatamka hatua gani ifuatwe. Na inatakiwa Mchakato wa ndani ufikishwe baraza la mawaziri halafu inakwenda bungeni na bunge linatakiwa kuomba maoni kutoka kwa wananchi kabla ya kutoa Azimio la Kuunga mkono


TOKA MAKTABA

Mwaliko kwa wadau wafike Dodoma kutoa maoni

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
BUNGE LA TANZANIA
Simu: +255 026 23222761-5
Fax No. +255 026 2322624
E-mail: cna@bunge.go.tz
TAARIFA KWA UMMA
Ofisi ya Bunge,
S.L.P. 941,
DODOMA.

Kamati ya Pamoja (Joint Committee) ya Bunge ya Miundombinu na ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) inawaalika wadau kutoa maoni kuhusu Azimio la Bunge kuhusu Mapendekezo ya Kuridhia Makubaliano kati ya Serikali
ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai
kuhusu Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii kwa ajili ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Utendaji Kazi wa Bandari Tanzania la Mwaka 2023(Intergovernmental Agreement – IGA , between the United Republic of Tanzania and the Emirate of Dubai concerning Economic and Social Partnership for the Development and Improving Performance of Ports in Tanzania).

Mkutano wa kupokea na kusikiliza maoni ya wadau (Public Hearing) utafanyika siku ya Jumanne tarehe 06, Juni saa 7:30 mchana katika Ukumbi wa Msekwa ‘D’, Ofisi ya Bunge, Jijini Dodoma.

Kamati inawaalika watu wote wenye maoni kuhusu Azimio hilo kufika na kuwasilisha maoni yao kabla haujapelekwa katika hatua nyingine.

Vilevile Kamati itapokea maoni kwa njia ya Posta au Barua pepe kwa anuani ifuatayo:-

Katibu wa Bunge, Ofisi ya Bunge,
10 Barabara ya Morogoro
S.L.P. 941,
40490 Tambukareli
DODOMA.
Baruapepe: cna@bunge.go.tz na kamati@bunge.go.tz

Azimio hilo linaweza pia kupakuliwa katika tovuti ya Bunge,
www.bunge.go.tz. Aidha, unashauriwa kuwasilisha jina lako kupitia barua pepe tajwa endapo utapenda kuwasilisha maoni yako kwa kuzungumza kwa ajili ya
hatua za kiutawala.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa,
Ofisi ya Bunge,
S.L.P 941,
DODOMA
 
Jerry mbunge wangu tumia muda mwingi Sana kujikita bungeni, Barabara za mitaa yako iko shida. Huko kwenye mikataba unapoteza muda. Ungekuwa makini ungeniandaa kwenye vifungu na Sheria badala ya kupiga siasa .wanasheria wame base kwenye Sheria wewe unaleta siasa. Feeling sorry for you.
 
Mkataba bado haujasainiwa, kilichosainiwa nai makubalianao kwa ajili ya kuja kutengeneza mikataba hapo baadaye. Huwezi ukaweka ukomo wa muda kwenye makubaliano, kwa sababu kila mkataba utakuwa unakuwa na timeframe yake
Jerry Kasema - Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU



Kipumbavu kweli
 
Jerry Kasema - Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.
Kama ni mkataba, DP World wamesha-invest kiasi gani kwenye mkataba huo? Mkataba usiokuwa na Value, ni agreement na hauko enforceable by law. Wakisitisha makubaliano hayo muda huu kwa mmoja wao kutoridhika, hakuna aliye na haki ya kwenda kushtaki mahakamani. Naongea hapa kama mtaalamu
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

Walio nunuliwa Hawa hapa na Jerry soma huu ujinga hapa.

Tulikuona wa maana kumbe mjinga tu kama mimi.
 

Attachments

  • B6292693-57CD-4FFD-ADD8-06269C377301.jpeg
    B6292693-57CD-4FFD-ADD8-06269C377301.jpeg
    37.4 KB · Views: 1
  • CAB5C35A-A5E0-47A1-ADA7-9AC1D7CC294D.jpeg
    CAB5C35A-A5E0-47A1-ADA7-9AC1D7CC294D.jpeg
    55.1 KB · Views: 1
  • DB8464B3-FC18-4BB2-B10C-B0EBEBA2C19D.jpeg
    DB8464B3-FC18-4BB2-B10C-B0EBEBA2C19D.jpeg
    75.7 KB · Views: 2
  • 60BC94CE-B7F0-4FC6-B34D-F6ECA0D935AC.jpeg
    60BC94CE-B7F0-4FC6-B34D-F6ECA0D935AC.jpeg
    131.1 KB · Views: 2
  • 3E759F10-8819-4DF1-AF8D-B5700319AF5A.jpeg
    3E759F10-8819-4DF1-AF8D-B5700319AF5A.jpeg
    150.5 KB · Views: 2
  • D65F6315-16E5-4167-89E8-A89694621929.jpeg
    D65F6315-16E5-4167-89E8-A89694621929.jpeg
    55.3 KB · Views: 1
  • 7A8FC710-0ED5-4695-8139-C725C0979588.jpeg
    7A8FC710-0ED5-4695-8139-C725C0979588.jpeg
    32 KB · Views: 2
  • 6966B8C2-C042-4048-AF5E-E2057579F7C6.jpeg
    6966B8C2-C042-4048-AF5E-E2057579F7C6.jpeg
    58 KB · Views: 1
Kaja na shehena ya mabuku, nyaraka na bahasha zenye dokumenti "siri" za kamati ya bunge ...

View attachment 2685892





TOKA MAKTABA

Mwaliko kwa wadau wafike Dodoma kutoa maoni

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
BUNGE LA TANZANIA
Simu: +255 026 23222761-5
Fax No. +255 026 2322624
E-mail: cna@bunge.go.tz
TAARIFA KWA UMMA
Ofisi ya Bunge,
S.L.P. 941,
DODOMA.

Kamati ya Pamoja (Joint Committee) ya Bunge ya Miundombinu na ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) inawaalika wadau kutoa maoni kuhusu Azimio la Bunge kuhusu Mapendekezo ya Kuridhia Makubaliano kati ya Serikali
ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai
kuhusu Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii kwa ajili ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Utendaji Kazi wa Bandari Tanzania la Mwaka 2023(Intergovernmental Agreement – IGA , between the United Republic of Tanzania and the Emirate of Dubai concerning Economic and Social Partnership for the Development and Improving Performance of Ports in Tanzania).

Mkutano wa kupokea na kusikiliza maoni ya wadau (Public Hearing) utafanyika siku ya Jumanne tarehe 06, Juni saa 7:30 mchana katika Ukumbi wa Msekwa ‘D’, Ofisi ya Bunge, Jijini Dodoma.

Kamati inawaalika watu wote wenye maoni kuhusu Azimio hilo kufika na kuwasilisha maoni yao kabla haujapelekwa katika hatua nyingine.

Vilevile Kamati itapokea maoni kwa njia ya Posta au Barua pepe kwa anuani ifuatayo:-

Katibu wa Bunge, Ofisi ya Bunge,
10 Barabara ya Morogoro
S.L.P. 941,
40490 Tambukareli
DODOMA.
Baruapepe: cna@bunge.go.tz na kamati@bunge.go.tz

Azimio hilo linaweza pia kupakuliwa katika tovuti ya Bunge,
www.bunge.go.tz. Aidha, unashauriwa kuwasilisha jina lako kupitia barua pepe tajwa endapo utapenda kuwasilisha maoni yako kwa kuzungumza kwa ajili ya
hatua za kiutawala.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa,
Ofisi ya Bunge,
S.L.P 941,
DODOMA
Bunge lina madaraka ya kuridhia makubaliano? Nijuacho, bunge lina madaraka ya kujadili mikataba, na si makubaliano
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

Serikalini kama unakiri imeshindwa kusimamia bandari mengine mtayaweza?

JPM ungeweza kumwambia eti unabinafsisha bandari au mnatutania?
 
Kijana yupo busy kutafuta Uwaziri huyu apuuzwe kama wengine haya mambo ya Vienna yanaruhusu kutoa ardhi yetu.
Slaa ni mmoja ya wabunge waliobebwa hakustaili kabisa kubeba jimbo hilo la ukonga ni wale wale wabunge vilaza wanaoshindwa kuisimamia serikali

Yeye kazi yake alishaimaliza bungeni anaongea nini tena nini tena namuona ni mtu mwenye hofu
 
Kama ni mkataba, DP World wamesha-invest kiasi gani kwenye mkataba huo? Mkataba usiokuwa na Value, ni agreement na hauko enforceable by law. Wakisitisha makubaliano hayo muda huu kwa mmoja wao kutoridhika, hakuna aliye na haki ya kwenda kushtaki mahakamani. Naongea hapa kama mtaalamu
Hata mollel ni dr lakini unaona mambo yake ?
 
Kama ni mkataba, DP World wamesha-invest kiasi gani kwenye mkataba huo? Mkataba usiokuwa na Value, ni agreement na hauko enforceable by law. Wakisitisha makubaliano hayo muda huu kwa mmoja wao kutoridhika, hakuna aliye na haki ya kwenda kushtaki mahakamani. Naongea hapa kama mtaalamu
Wewe na Mbunge Jerry nani anaujua huu mkataba zaidi ya mwingine.
1689167373755.png
 
Back
Top Bottom