Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

Mwambieni na bandari za Zanzibar zinahitaji uwekezaji pia DP WOLRD waende huko kwanza tuwapime uwezo wao.
 
Kitu nashindwa kuelewa kwa nini wanasiasa wakitaka jambo lao lazima liwe ila wanamchi hapana? Kwamba wao wana akili kushinda watu wote?
 
Jerry Slaa anatafuta uteuzi kupitia DP World kama prof. Kitila Mkumbo.
 
Mwenzako anayaishi hayo mambo kila siku, ni mjumbe wa kamati ya bunge ya mawasilino na uchukuzi, huu ndio ujuaji wa kitanzania.

hili ndio kosa pia la watanzania, kuamini kila kiongozi ana akili kuliko watu woote.

kuwepo kwenye kamati hakumfanyi yeye kuwa genius, hebu tupime sasa alichoongea hapo kama kinapimika kwenye level ya ugenius.

Usiamini sana vyeo hasa Africa tena hivi vya kisiasa, ni changamoto sana.
 
Tumeambiwa mtu akiwa anaongea kwa kuchanganya kuhusu makubaliano haya tumhoji kwanza elimu yake. Nami nakuhoji, Jerry Silaa una elimu gani! Maana magwiji wa sheria akina Shivji tumeshawasikia.

Huyu bwana Silaa siamini kama ni yeye kwa elimu yake na exposure… sema in politics hakuna linalotokea kama ajali ni planned.
 
Huyo Slaa na ujinga wake anajua ule mkataba unawaruhusu waarabu kuanza shughuli zao tangu ile siku IGA iliposainiwa October 2022?

Kama hivyo ndivyo, sasa hiyo HGA yake anayoipigia kelele ina maana gani?

Hawa wajinga wanapewa kazi wasiyoweza kuifanya, namuona ni zezeta tu aliyeamua kujitoa mhanga.
 
hili ndio kosa pia la watanzania, kuamini kila kiongozi ana akili kuliko watu woote.

kuwepo kwenye kamati hakumfanyi yeye kuwa genius, hebu tupime sasa alichoongea hapo kama kinapimika kwenye level ya ugenius.

Usiamini sana vyeo hasa Africa tena hivi vya kisiasa, ni changamoto sana.
Unaisikiliza content ya maongezi yake na unamuona ni mtu mwenye uwezo na mwenye kukijua kile anachokiongelea.

Huwezi ukimjaza matango pori kama wasomaji wengi humu ndani.
 
Mwambieni na bandari za Zanzibar zinahitaji uwekezaji pia DP WOLRD waende huko kwanza tuwapime uwezo wao.
Kumbuka kuwa mteja mkubwa wa bandari yetu ni Congo yenye madini ya kila aina, Zanzibar zaidi ya utalii so far hawana kitu chochote cha DP kuamua kuwekeza huko.

Akili zile zile za chuki na ubaguzi zinakusumbua mkuu Ulangupanjala.
 
Huyo Slaa na ujinga wake anajua ule mkataba unawaruhusu waarabu kuanza shughuli zao tangu ile siku IGA iliposainiwa October 2022?

Kama hivyo ndivyo, sasa hiyo HGA yake anayoipigia kelele ina maana gani?

Hawa wajinga wanapewa kazi wasiyoweza kuifanya, namuona ni zezeta tu aliyeamua kujitoa mhanga.
IGA ina maana kwanza kupitishwa bungeni ili baadae ishuke kwa mimi na wewe wafaidikaji wa bandari wa moja kwa moja.

Mazezeta ni wale mawakili wanaopewa pesa na mafisadi wa bandarini wakakupotosha wewe na wewe ukaenda kupotosha umma.
 
Jerry Slaa amesema kweli, upigaji ulioibuliwa na mama ni mkubwa sana pale bandarini:

 
Jerry Slaa amesema kweli, upigaji ulioibuliwa na mama ni mkubwa sana pale bandarini:

Kwa sababu ya upigaji mmeamua kuiza kabisa bandari kwa mkataba wa kijinga kabisa
 
Mkataba bado haujasainiwa, kilichosainiwa nai makubalianao kwa ajili ya kuja kutengeneza mikataba hapo baadaye. Huwezi ukaweka ukomo wa muda kwenye makubaliano, kwa sababu kila mkataba utakuwa unakuwa na timeframe yake
Hilo umelisema wewe, ni nani kati ya mwanasheria wa serikali, waziri mkuu, waziri wa bandari aliwahi kusema hivyo.Siku zote wanatuambia faida za dpw
 
Back
Top Bottom