Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

Huyu Jerry Slaa sentimeta moja ya barabara ya lami imemshinda kuijenga kule jimboni kwake Ukonga ataweza kuelewa mambo ya mikataba?

Huyu kichaa ingekuwa heri kwake ajifunge jiwe shingoni akajitumbukize baharini kwa hiyari yake kabla wananchi wenye hasira hawajamtafuta.
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2.
Ona sas ujinga ulipo., mtu anakuelezea ufanisi wa DP WORLD badala ya kujibu hoja zinazoulizwa., mfano kwa nini mpaka Bandari za maziwa makuu, haya makubaliano ni mkataba au siyo mkataba.

Halafu kuna mtu anajivunia kuwakiliswa na huyu jamaa kama MP wake. Halafu waandishi wa habari kuweni serious., hiv kweli mnakosa maswali yakimkataba ya kuwauliza hawa jamaa pindi wanapowaita. Upe taarifa umma kuwa umeitwa kwenye press, na upe dodoso ili ukupe maswali ya kwenda kuuliza.
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Hatukatai hayo ulosema hapo juu ila baada ya hapo mapato yatakayotokana na urahisishaji huo na wingi wa makontena atafaidi nani?
Kwa asilimia ngapi mgawanyo wa mapato hayo yatainufaisha nchi?
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinautaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

Na yeye amenunuliwa
 
Injinia Marshalo Chikoleka kwa niaba ya wahandisi naye atoa maoni baada ya kuwasikiliza wanasheria mbalimbali kama kina Jerry Slaa, Prof. Shivji n.k

 
Kuna watu ni wa kupuuzwa tu maana hatujui walifikaje hata hapo walipo.
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinautaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

===

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka

Aende kumuomba radhi haraka Maja, maana alitufokea pia.
 
Nafikiri hakuna kuheshimu elimu tena. Kama Prof wa sheria ameshaongea,mwanafunzi unaongea nini tena?
Profesa wa sheria anaweza kununuliwa vile vile kama mimi na wewe. Wanaweza kumnunua Rais wa Marekani sembuse profesa wa pale mlimani!.
 
Mkataba upi unaouongelea, wakati hakuna mkataba wa kuendesha andari. Kuna makubaliano ya IGA, unafahamu IGA ni nini?
Kwamba watanzania wote wanaolalamika wameshindwa kujua kwamba ule siyo mkataba isipokuwa wewe na Mbarawa tuu ndo mnajua kuwa ule siyo mkataba?! Acheni upumbavu.
 
Kwa mujibu wa Katiba ya UAE ibara ya 123; Emirates zinaruhusiwa kuingia mikataba na serikali za jirani na UAE (UAE's neighbouring states), au za Kanda jirani na UAE (UAE's neighbouring regions).

Sisi siyo nchi mojawapo ya Kanda jirani na UAE, kwa kifupi tupo nao mbali sana. Dubai hakupaswa kuingia mkataba nasi kwa kuwa hawana hadhi ya nchi kama tulivyo.

Kwa kuwa UAE ni nchi, ilipaswa iingie mkataba nasi; kwa kuwa wana hadhi sawa ya nchi kama tulivyo.

Kwa kifupi; Dubai siyo nchi, ni emirate tu. Nchi ni UAE.
Uingereza na Marekani wapo karibu na Dubai?. Mbona wameingia nao mikataba ya kibiashara?. Acheni kukaririshwa kama kasuku.
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinautaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

===

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka

Nchi ina upumbavu mwingi na wapumbavu wengi eleweni kwenye vyombo vyenu mnavyovitegemea hakubaliani nanyi ,

Na elewa jambo hili la bandari tunaanza elewa wanaojifanya watz wengi vina saba vyao wenda sio vya kitanzania au Tanganyika , huwezi kua na akili sawa, au ni mtanzania halisi ukashobokea ujinga huu
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinautaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

===

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Huu ndo Uhuru tuliotafuta kwamba tukitaka kuendeleza bandari ya Kigoma tunamuuliza Kwanza DP world kama anaridhia au la, akikataa tunampeleka mahakamani!! Bado hapo unasema Una Mbunge kweli?? Kioja cha WILL na SHALL kwenye sheria anakisoma kwenye tafsiri ipi ya Mkataba huo?
 
this is politics, wenzio wamejiandaa than a week kufanya press wewe umesubiri wafanye press unatoka kichakani in two hrs after kucounter attack.

CCM ni janga, muwape vijana vyeo kwa uwezo sio fadhila, urafiki na undugu.
Mwenzako anayaishi hayo mambo kila siku, ni mjumbe wa kamati ya bunge ya mawasilino na uchukuzi, huu ndio ujuaji wa kitanzania.
 
ny
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinautaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

===

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka

nyanoko
 
Maslahi ya mtanzania yapo kwenye mijadala ya uandishi wa mikataba ya kibiashara. Kumbuka kampuni zitakazoanzishwa zitatumia sheria na kanuni za biashara za ndani, ambazo zinatolewa na BRELA.
Na kwa nini na masilahi ya Dubai yasiwe kwenye mikataba ya kibiashara? Kwa nini yafichwe kwanza?
 
Back
Top Bottom