Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

unapozungumzia ufanisi mdogo ndio sababu ya kubinafsisha bandari ni kuitukana Serikali tu..

Serikali imeshindwaje kuifanya bandari kuwa na ufanisi? tuna mabosi wa bandari, mawaziri husika na Rais kama mamlaka ya uteuzi, wote hawa wameshindwa kuisimamia bandari?
Kuna mabilioni yalikopwa ili kuimalisha bandari na bado tunapokea hayo mabilion yenye riba nafuu.
 
Bunge pamoja kuwa na spika mwenye Phd ya sheria bado wamepitisha mkataba batili.
Halafu Serikali bado inaleta watu dhaifu, incompetent na wasiojulika ka huyo Jerry Silaa kutetea mkataba. This is pathetic. Wao ndiyo watakuwa wamekatiwa halafu wanajaribu kusingixia upande wa pili. Ushahidi tayari tumeona kwa Msukuma na Kitenge.
 
Kwa sababu ya upigaji mmeamua kuiza kabisa bandari kwa mkataba wa kijinga kabisa
Hizo ni fikra za kijinga. Bandari inauzwaje?

Unajuwa mtu ukishazowea kuona biasha za kuuza miili tokea nyumbani basi unakuwa huna utu tena unakuwa na fikra kuwa kila kitu kinaweza kuuzika.

Ingekuwa bandari zinauzika si angezichukuwa Mwarabu, Mreno, Mjerumani, Muingereza, wote waliwahai kuzitawala bandari za Afrika Mashariki.

Bandarini wapigaji wamewekewa ngumu, wanalialia kichawi.
 
Binafsi sipendi serikali ijibu chochote. Serikali iendelee tu hii deal bila kutazama nyuma.
Hawa watu wamejiandaa hawako tayari kuelewa jibu lolote.
Mama chapa kazi, hizi ni kelele za chura tu...
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinautaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

===

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Laiti hayo unayoyaainisha yangekuwa yameambatanishwa kwa maandishi katika ule mkataba kungekuwa hakuna huu msuguano.
Ila mengi ya anayoyaongea jerry ni dhana tu.
Mkataba ni lugha ya kisheria na wala si mbwembwe za kisiasa za wanasiasa.
Na kibaya zaidi walio iba uchaguzi. Huo uadilifu wa kujadili siasa za nchi kaupata je?
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinautaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

===

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka

Ni mawazo mediocre kweli kweli.Angeitendea haki jamii ya Watanzania kama angejibu hoja zote raised kuhusu mkataba was bandari.Anavyofanya ni kama mganga wa kienyeji tu.Finally atuambue nani kawanunua and for how much.Tunaomba CCM waache ujinga,wawe makini sana,swala hili halina Chama na si la kiasiasa.Watambue kwamba wananchi wote wapo united against it,na this time around hawatoboi.
 
Haka kabunge kajinga kamekiri kuwa mkataba utakuwa sirtoi na bado wanataka tuwaamini kwa makubaliano haya ya hovyo waliyoyaingia.
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinautaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

===

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka

Wao ndiyo watakuwa wamenunuliwa. Kamati Kuu imewaambia Watuelimishe. Sasa hiyo ndiyo elimu anayo Kuja nayo. Pathetic.

Hivi hawa maCCM wanafikiri Tanzania ni so special sana kwa Dubai tofauti na nchi nyingine walizowekeza kama vile Mozambique, Madagascar, Jibuti au Angola. Unless wanaokuja kwetu ni Wajomba zetu kupitia ule upande...!!
 
Kumbuka kuwa mteja mkubwa wa bandari yetu ni Congo yenye madini ya kila aina, Zanzibar zaidi ya utalii so far hawana kitu chochote cha DP kuamua kuwekeza huko.

Akili zile zile za chuki na ubaguzi zinakusumbua mkuu Ulangupanjala.
Waanze Zanzibar kwanza hakuna ubaguzi wala chuki hapa.
 
Tujamaa tunajificha kwenye chama kumbe ni majambazi level ya PHD. Huyu anatakiwa arudi kwenye udiwani Jimbo lake liko ICU mi ninmkazi wake ila yaliyomo jimboni tunajua wenye jimbo
 
Makubaliano ya kijinga yenye vipengele vya kijinga ndio vitakuwa msingi wa kutengeneza mikataba waache ujinga hawa wabunge

Mikataba ita base kwenye makubaliano yaliyoidhinishwa na bunge

Wasidhani watanzania wajinga kama wao

Unapitisha makubaliano ya kijinga kama bunge halafu unakuja na utoto kuwa ohh mikataba yaweza tengenezwa kinyume na makubaliano yaliyoidhinishwa na bunge
huyu mbunge hopeless kama bunge lenyewe lilivyo hopeless kuidhinisha hayo makubaliano yenye vipengele hopeless halafu wanatulisha matango pori kuwa ohh itangenezwa mikataba ambayo yaweza kuwa sio sawa na makubaliano yaliyoidhinishwa na bunge

Wasitutanie wananchi

Huyu mbunge mjinga kabisa
Naam Hawa ni wajinga kwelikweli

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
unapozungumzia ufanisi mdogo ndio sababu ya kubinafsisha bandari ni kuitukana Serikali tu..

Serikali imeshindwaje kuifanya bandari kuwa na ufanisi? tuna mabosi wa bandari, mawaziri husika na Rais kama mamlaka ya uteuzi, wote hawa wameshindwa kuisimamia bandari?
Kweli kabisa serikali inakua ya kipuuzi

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
unapozungumzia ufanisi mdogo ndio sababu ya kubinafsisha bandari ni kuitukana Serikali tu..

Serikali imeshindwaje kuifanya bandari kuwa na ufanisi? tuna mabosi wa bandari, mawaziri husika na Rais kama mamlaka ya uteuzi, wote hawa wameshindwa kuisimamia bandari?
nchi za kipumbavu sana hizi. ndio maana D. Trump aliamuaga kuusema ukweli.

maana hata haijulikani kuwa tulidai uhuru wa nini. ni kama haina maana.


Yesu ni Mwokozi
 
Back
Top Bottom