KIVU ITAJITENGA LABDA MADINI YAKIISHA!!!Laana hii ya Ubaguzi ndio itakuwa chanzo cha kuzaliwa kwa nchi mpya iitwayo Jamhuri ya Watu wa Kivu huko Congo DR.
Wether you like it or not, Ukweli mchungu Sana ni kwamba Kivu lazima itakuja kujitenga na Congo DR na kisha kuzaliwa kwa nchi nyingine itakayokuwa inajitegemea yenyewe. Nchi ya Jamhuri ya Kivu inakuja, ipo njiani inakaribia kuwasili.
Mabomu yamerindima gisenyiMuungano wa Congo River Alliance sasa unapanga kwenda Bukavu Lubumbashi na Kinshasa.
Hizo Mortar shells zinaangukia Gisenyi sio jambo la kushangaza kwasababu Goma na Gisenyi zinapakana.Mabomu yamerindima gisenyi
Haziangukii,zinarushwa na fardc toka mlima gomaHizo Mortar shells zinaangukia Gisenyi sio jambo la kushangaza kwasababu Goma na Gisenyi zinapakana.
Haziangukii,zinarushwa na fardc toka mlima goma
PoW ni kawaida vitani
Wewe hujui unachokiongea umekalia propaganda tu.Haziangukii,zinarushwa na fardc toka mlima goma
Sasa zinaangukia toka wapi!?Wewe hujui unachokiongea umekalia propaganda tu.
Ungeijua Jiografia ya eneo husika ungenielewa, hizo morter shelling zinatoka ndani ya goma kwenye mapigano ya M23 na Jeshi la Kongo + so called "Wazalendo" ambao ni group lililochanganya Interahamwe na FLDR na anti Tutsi Millitias.Sasa zinaangukia toka wapi!?
Hao UN ndio uwa wanachelewesha,kama UN washatoa go ahead tutegemee hii vita kuwa kubwaUna habari UN inaondoa watu wake na kufunga ofisi? Kwa kinachoitwa kwa muda!!! Fumbuka macho baba! Hiyo M23 unayoiongelea usishangae ikiwa Goma. Badhi wakiwa wazalendo, wengine wakiwa FARDC! Jipe mda. Burundi ipo wapi? Hivi, hiyo JWTZ unayoitaja unadhani wanakulupuka? Wangapi umesikia wameuliwa? Ni kwamba hawapo?
Hiyo sio vita ya Alshabaab mzee. Kila vita inalenga masrahi. Tanzania inapata nini labda!!!
😄😄Nilipokuwa mdogo kila siku jioni kwenye BBC na DW lazima usikie CNDD-FDD wakitwangana.
Kuna siri nzito mkuu. UN yenyewe walionya hii vita huenda ikawa ya ukanda. Na kuna viashilia tena DRC inaenda kuwa uwanja wa wapiganaji. Hilo linaonekana, lipo wazi. Mmoja ameanza kuongeza majeshi DRC, na wanaopelekewa poli kwao ni nyumbani, unategemea kinaenda kutokea nini!? Kuta vitu vya chini chini vinaendelea, na mpaka vinaisha, mbabe atajulikana tu. Je, umeangalia siraha na magari alojiokotea M23 huko Goma!? Unadhani yanaenda kuchomwa moto!?Hao UN ndio uwa wanachelewesha,kama UN washatoa go ahead tutegemee hii vita kuwa kubwa
Siku zote zisianguke huko na walikua wakipigana,zianguke leo tu hadi tuone tulio vikindu mkuranga!?Ungeijua Jiografia ya eneo husika ungenielewa, hizo morter shelling zinatoka ndani ya goma kwenye mapigano ya M23 na Jeshi la Kongo + so called "Wazalendo" ambao ni group lililochanganya Interahamwe na FLDR na anti Tutsi Millitias.
Sasa kujua bomu limerushwa na nani kwenda wapi ni vigumu sana kujua kwasababu Goma na Gisenyi ni kama mji mmoja tu.
Mimi nimekaa Miji hiyo yote miwili miaka ya 90.
Hivi vita ikipiganwa Nakonde baadhi ya mabomu kuangukia Tunduma kuna ajabu gani?Siku zote zisianguke huko na walikua wakipigana,zianguke leo tu hadi tuone tulio vikindu mkuranga!?
Kwa nini yasiangukie miaka yote ya vita?..plus,anayerusha mpaka yaangukie nakonde hawezi kuwa jwtzHivi vita ikipiganwa Nakonde baadhi ya mabomu kuangukia Tunduma kuna ajabu gani?
We jamaa umechanjiwa ubishi.Kwa nini yasiangukie miaka yote ya vita?..plus,anayerusha mpaka yaangukie nakonde hawezi kuwa jwtz
Amends mchomo kweli kinshasa tenaM 23 ni jeshi kabisa linajitosheleza(japo kinaripotiwa2 kama kikundi cha kigaidi).Watoto nadhani ni sehemu pia katika jeshi⅖ lao(Sehemu kubwa ni watu wazima).M23 nadhani michezo yao mingi wanafanyia Goma,Kivu,Bukavu,na kinshasa kama sijakosea
Jibu swali babu,kwa nini hutaki kukubali kuwa fardc wamerusha motors gisenyi?We jamaa umechanjiwa ubishi.