Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Sasa unapinga nini halafu unakubali nini ?!Hizo "habari gani" ni kutoka vyanzo vipi?
Media zote kubwa tunazozifahamu ziliripoti kitu hiki ama kinachofanana na hiki; "Iraqi bases hosting/housing US troops".
Marekani hai-host kambi ya Al-Asad bali kambi ndiyo ina-host US troops ama US forces pamoja na majeshi ya mataifa mengine mpaka kufikia sasa.
Katika vyanzo mbalimbali utakutana na kitu hiki ama kinachofanana na hiki, narudia, "Iraqi bases hosting/housing US troops". Fuatilia!
Russia hana akili maandazi kama Iran, Russia au USA hawajawahi kutishiana kupigana maana wanajuana watahangaisha dunia.Kwani sababu ipi iliowafanya waipige LIBYA mpaka LIBYA waishe vile walivyo sasa ?!
Sababu ipi iliopelekea IRAQ ikawa vile ilivyo ?!
Eti akiamua kama haja amua alipopigwa kambi yake unahisi anaweza akaamua akifanywa kubwa lipi ?!
IRAN waliuliwa kamanda wao halina ubishi ila waliapa kama watajibu nakweli walijibu tena walijibu kwakupiga kambi za US
US walimuuwa yule mwamba ila walimngojea nje kabisa yamipaka ya IRAN kwasababu walijua akiwa IRAN hawawez hata kumrushia jiwe maana wangekiona
Unahisi wakati analenga zile kambi alikusudia kupiga mabati ?!
Angeamua wakati mwenzake aliahidi na akatekeleza alilofanya US kweli aliuwa lakini alikua kama mwizi flani tu hivi ila alichofanya IRAN niusujaa maana nakuonya ama nakupa taarifa kama ntakupiga nabila kupepesa macho natekeleza halafu useme US hakutaka sio hakutaka alijua majibu yake yatakua mazito zaidi maana hayo yalotokea wala hakuyategemea kwanza.....
RUSSIA nachoko choko zote walionazo na US hajawahi kujaribu huyu mnaweza mkasema wanajuana KOREA najeuri zake zote hajawaza kuthubutu
IRAN pekeee
Na ndo maana taarifa zilitolewa na Iran ili wanajeshi wa Iraq waondolewe, na wanajeshi wa US wawe salama. Walijulishwa kabla.Kuna some sort of conspiracies hapo kama umekuwa ukifuatilia taarifa vizuri.
Si kweli kuwa Marekani ilikuwa haijui kuhusu kushambuliwa kwa kambi hizo kabla ya mashambulizi.
Pia nikusahihishe;
Kambi zilizoshambuliwa na Iran si kambi za jeshi la Marekani bali ni coalition bases za Iraq zenye kuhifadhi majeshi mbalimbali yakiwemo ya Iraq yenyewe.
Nasema hivi, acheni ngonjera. Si mtaje hizo silaha na capabilities zake? Huna hoja unaquote nini sasa. Nimeuliza Iran ataipiga mainland US kwa SILAHA zipi?Nikuonee huruma sijui unaishi dunia ya wapi,na usiyempenda katika anga za kijeshi poteza muda ujifunze ili ujue uwezo wake,punguza pia mahaba ya kuridhi kwenye movie za akina Rambo,niishie kukueleza Iran ni next level.
HeheheRussia hana akili maandazi kama Iran, Russia au USA hawajawahi kutishiana kupigana maana wanajuana watahangaisha dunia.
Iran ambao walipigana na Iraq miaka 8 yote eti ndio wapigane na US?
US hajawa na sababu za kuipiga Iran, huyu Iran ndo unasema mchokozi unawajua wachokozi wewe?
Saddam kabla hajapigwa ashavamia Kuwait na kataka kuivamia Saudi Arabia, alisharusha makombora Israel yeye mwenyewe wala sio kuwapa waasi na bado alivumiliwa.
Alivyoota mapembe alipigwa kiwepesi, ndo uje ututishie na Iran. Iran hajavuka red line, katoa taarifa za kufyatua makombora ili asiue mtu.
US kama hajapata sababu yakuipiga IRAN hatakaa aipate tenaNasema hivi, acheni ngonjera. Si mtaje hizo silaha na capabilities zake? Huna hoja unaquote nini sasa. Nimeuliza Iran ataipiga mainland US kwa SILAHA zipi?
Nasubiri jibu ambalo najua hamna.
Amuulize mke mdogo wa marekani alipoikamata meli ya Iran,kilichompata muingereza hadi leo hathubutu hata kutaja tuu jina IraniBado mtoto huyo hana analolijua,hv mmarekani upige kambi zake Kisha akimbilie Kwenye kuongeza vikwazo vilivyozoeleka bila kuchukua hatua za kijeshi hata atii akili
Baada ya kuwakamata wale wanamaji wa kimarekani, na wa Iran walivyo, sidhani kama wamewaacha salama. Watakuwa wamewafanyia mutaaUS nnayoijua mimi ama anayoijua hata yeye haiwezi ikakuacha upige kambi yake hata bure
Mfano SYRIA pale US wanakambi zao zakijeshi ila SYRIA hawathubutu kurusha hata jiwe nakama itatokea akarusha basi US atakua kaishapata mamlaka kamili yakumchapa AL ASSAD yaani DIRECTLY
namkumbusha tu kuipiga kambi ya nchi ama taifa jengine nitayari umeshatangaza vita hadharani kuliko hata alivyoenda kuipiga IRAQ ya SADDAM ama LIBYA ya GADAFI kwasababu zakuunga unga
US kachapiwa kambi zake mwenyewe pale IRAQ ambazo kazisimamia UJENZI wake mwenyewe US akakausha kapigiwa DRONE zake zaidi yamaramoja kanyamaza kakamatiwa Mpaka wanajeshi wake kama haitoshi kanyamaza
Sijui anataka IRAN waoneshe ubabe gani dhidi ya US hayo nloyataja hapo hakuna taifa lolote limemfanyia US baada ya vita ww1 na ww2 vimalizike ni IRAN pekee
Halaf anatokea mtu anakuja kuwabeza hawa watu.....
Sidhani MKUU [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Baada ya kuwakamata wale wanamaji wa kimarekani, na wa Iran walivyo, sidhani kama wamewaacha salama. Watakuwa wamewafanyia mutaa
Binadamu tumeumbwa na moyo wa kumshabikia mnyonge, popote pale iwe kwenye mpira, mziki, ngumi, mieleka n.kSiku zote mtu anaye onaewa huwa namuunga mkono kwa 100%
Na wale wanajeshi waliopata mtindio wa ubongo kutokana na shambulio hilo ni wa nchi gani?Kambi zilijengwa na serikali ya Iraq kwa pesa zake.
Kambi ya Al-Asad ambayo ilitajwa kushambuliwa zaidi ni ya miaka ya 80.
Marekani ilikuja kuwekeza baadaye katika hiyo base ndipo ikaboreshwa zaidi na kuwekewa miundombinu za kisasa. Baada ya vita ya 2003 kuisha base ikafungwa rasmi mwaka 2011.
Hivi sasa hiyo kambi ni coalition base ya majeshi ya nchi mbalimbali.
Amuulize mke mdogo wa marekani alipoikamata meli ya Iran,kilichompata muingereza hadi leo hathubutu hata kutaja tuu jina Irani
Kama umeelewa vyema nilichosema usingeniuliza swali hilo.Sasa unapinga nini halafu unakubali nini ?!
Kama walikua hosting katika ile kambi si ndio maana wakanyooshwa MKUU.....
Wanajeshi gani hao waliopata huo "mtindio wa ubongo"?Na wale wanajeshi waliopata mtindio wa ubongo kutokana na shambulio hilo ni wa nchi gani?
Wanajeshi gani hao waliopata huo "mtindio wa ubongo"?
Ni wa namna gani huo "mtindio wa ubongo"?
Hebu tujadili intellectually kuhusu huo "mtindio wa ubongo". Karibu!
Kuteka balozi ndo silaha? Kwahiyo US akiwa anapiga Iran, Iran itakuwa inaenda nchi kadhaa kuteka mabalozi wa US. Iran hana silaha za kushambulia mbali, anazo za kuwa hangaisha majirani na kambi sa karibu. Umtoe Iran umpitishe bahari ya Atlantic kwa kutumia hiyo mitumbwi?US kama hajapata sababu yakuipiga IRAN hatakaa aipate tena
Watu walimteka mpaka balozi wake Mwaka nasiku kadhaa unasema hajavuka bado res line ?!
Unajua kama kuteka balozi wataifa fulani tayari tangazo la vita ?!
Jamaa alikamatwa akawekwa MBOCHI mpaka alipo amuliwa kutoka wakamtoa
msimamo wangu:-US anaweza akampiga IRAN ikitokea vimetokea VITA baina yao ila kipigo atakachokumbana nacho hajawahi kukumbana nacho toka aumbwe.
Imebidi nicheke tu [emoji23][emoji119]Amuulize mke mdogo wa marekani alipoikamata meli ya Iran,kilichompata muingereza hadi leo hathubutu hata kutaja tuu jina Irani
Tazama huyu anavyofagilia BEBERU sijui yupo zizini anasubiri huduma?Hata iraq walikuwa na hizo hizo kelele sasa hivi imekuwa kama Somalia tu
Tazama huyu anavyofagilia BEBERU sijui yupo zizini anasubiri huduma?