Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Hizo "habari gani" ni kutoka vyanzo vipi?

Media zote kubwa tunazozifahamu ziliripoti kitu hiki ama kinachofanana na hiki; "Iraqi bases hosting/housing US troops".

Marekani hai-host kambi ya Al-Asad bali kambi ndiyo ina-host US troops ama US forces pamoja na majeshi ya mataifa mengine mpaka kufikia sasa.

Katika vyanzo mbalimbali utakutana na kitu hiki ama kinachofanana na hiki, narudia, "Iraqi bases hosting/housing US troops". Fuatilia!
Sasa unapinga nini halafu unakubali nini ?!

Kama walikua hosting katika ile kambi si ndio maana wakanyooshwa MKUU.....
 
Kwani sababu ipi iliowafanya waipige LIBYA mpaka LIBYA waishe vile walivyo sasa ?!

Sababu ipi iliopelekea IRAQ ikawa vile ilivyo ?!

Eti akiamua kama haja amua alipopigwa kambi yake unahisi anaweza akaamua akifanywa kubwa lipi ?!

IRAN waliuliwa kamanda wao halina ubishi ila waliapa kama watajibu nakweli walijibu tena walijibu kwakupiga kambi za US

US walimuuwa yule mwamba ila walimngojea nje kabisa yamipaka ya IRAN kwasababu walijua akiwa IRAN hawawez hata kumrushia jiwe maana wangekiona


Unahisi wakati analenga zile kambi alikusudia kupiga mabati ?!


Angeamua wakati mwenzake aliahidi na akatekeleza alilofanya US kweli aliuwa lakini alikua kama mwizi flani tu hivi ila alichofanya IRAN niusujaa maana nakuonya ama nakupa taarifa kama ntakupiga nabila kupepesa macho natekeleza halafu useme US hakutaka sio hakutaka alijua majibu yake yatakua mazito zaidi maana hayo yalotokea wala hakuyategemea kwanza.....


RUSSIA nachoko choko zote walionazo na US hajawahi kujaribu huyu mnaweza mkasema wanajuana KOREA najeuri zake zote hajawaza kuthubutu

IRAN pekeee
Russia hana akili maandazi kama Iran, Russia au USA hawajawahi kutishiana kupigana maana wanajuana watahangaisha dunia.
Iran ambao walipigana na Iraq miaka 8 yote eti ndio wapigane na US?
US hajawa na sababu za kuipiga Iran, huyu Iran ndo unasema mchokozi unawajua wachokozi wewe?
Saddam kabla hajapigwa ashavamia Kuwait na kataka kuivamia Saudi Arabia, alisharusha makombora Israel yeye mwenyewe wala sio kuwapa waasi na bado alivumiliwa.
Alivyoota mapembe alipigwa kiwepesi, ndo uje ututishie na Iran. Iran hajavuka red line, katoa taarifa za kufyatua makombora ili asiue mtu.
 
Kuna some sort of conspiracies hapo kama umekuwa ukifuatilia taarifa vizuri.

Si kweli kuwa Marekani ilikuwa haijui kuhusu kushambuliwa kwa kambi hizo kabla ya mashambulizi.

Pia nikusahihishe;

Kambi zilizoshambuliwa na Iran si kambi za jeshi la Marekani bali ni coalition bases za Iraq zenye kuhifadhi majeshi mbalimbali yakiwemo ya Iraq yenyewe.
Na ndo maana taarifa zilitolewa na Iran ili wanajeshi wa Iraq waondolewe, na wanajeshi wa US wawe salama. Walijulishwa kabla.
 
Nikuonee huruma sijui unaishi dunia ya wapi,na usiyempenda katika anga za kijeshi poteza muda ujifunze ili ujue uwezo wake,punguza pia mahaba ya kuridhi kwenye movie za akina Rambo,niishie kukueleza Iran ni next level.
Nasema hivi, acheni ngonjera. Si mtaje hizo silaha na capabilities zake? Huna hoja unaquote nini sasa. Nimeuliza Iran ataipiga mainland US kwa SILAHA zipi?
Nasubiri jibu ambalo najua hamna.
 
Russia hana akili maandazi kama Iran, Russia au USA hawajawahi kutishiana kupigana maana wanajuana watahangaisha dunia.
Iran ambao walipigana na Iraq miaka 8 yote eti ndio wapigane na US?
US hajawa na sababu za kuipiga Iran, huyu Iran ndo unasema mchokozi unawajua wachokozi wewe?
Saddam kabla hajapigwa ashavamia Kuwait na kataka kuivamia Saudi Arabia, alisharusha makombora Israel yeye mwenyewe wala sio kuwapa waasi na bado alivumiliwa.
Alivyoota mapembe alipigwa kiwepesi, ndo uje ututishie na Iran. Iran hajavuka red line, katoa taarifa za kufyatua makombora ili asiue mtu.
Hehehe

IRAN ipi ile ya mwaka 1980-1988 ambayo ilikua imetoka kufanya mapinduzi mwaka mmoja nyuma ndio unayo izungumzia wewe MKUU ama(Wacha utani MKUU kipindi kile IRAN ilikua haijulikani katika medani za kijeshi na ilikua ndio kwanza ina mzozo wakisiasa nchini mwake ambao ultoka kuyapelekea haya mapinduzi unayoyashuhudia sasa hv) pia usisahau vita hio IRAQ alipewa sapoti nawakubwa wote wamagharibi unaowajua wewe pia usisahau kama IRAQ walitumia mpaka silaha za SUMU waliambulia nini ?!

Haya hizo sababu ulizokua unazitaka wewe kwa IRAN dhidi ya US ili upate kujua kama ndio mstari mwekundu nizipi MKUU ?!

US alitangaza mwenyewe baada ya IRAN kuuliwa mwanajeshi wao wakasema kama watapiga kambi za US ulimsikia TURAMPET alijibu nini ?! ( vitisho vya kuzishambulia sehem kadhaa ndani ya IRAN unaina vilikua vyakawaida ila hatimae walifanya walidhubutu ? Huyo IRAQ unaemuongelea licha yauchokozi wake hakuwahi kukamata mwanajeshi wa US hakuwahi kupiga kambi ya US pia usisahau jamaa alikua mshirika wao mkubwa sana kabla hawajamgeuka kwamaana walikua wanayajua madhaifu yake A2Z maana hata hizo silaha nyingi walimpa wao pia

Nikukumbushe tu wakati IRAQ aliporusha Scud kule ISRAEL kulikua na vita baina ya IRAQ-KUWAIT pia kama IRAQ alikua mbabe kama unavyodai Wakati mwaka 1980 ISRAEL aliposhambulia Vinu vyake vya NYUKLIA huyo IRAQ alifanya nini ?!

ISRAEL athubutu kufanya ujinga wakushambulia vinu vya nyuklia vya IRAN kama alivyofanya IRAQ ndio utaona

Kama kupiga kambi zakijeshi bado unahisi sio mstari mwekundu kwako wewe mstari mwekundu unataka uwe vipi(mstari mwekundu naomba uuainishe tafadhali).
 
Nasema hivi, acheni ngonjera. Si mtaje hizo silaha na capabilities zake? Huna hoja unaquote nini sasa. Nimeuliza Iran ataipiga mainland US kwa SILAHA zipi?
Nasubiri jibu ambalo najua hamna.
US kama hajapata sababu yakuipiga IRAN hatakaa aipate tena

Watu walimteka mpaka balozi wake Mwaka nasiku kadhaa unasema hajavuka bado res line ?!

Unajua kama kuteka balozi wataifa fulani tayari tangazo la vita ?!

Jamaa alikamatwa akawekwa MBOCHI mpaka alipo amuliwa kutoka wakamtoa


msimamo wangu:-US anaweza akampiga IRAN ikitokea vimetokea VITA baina yao ila kipigo atakachokumbana nacho hajawahi kukumbana nacho toka aumbwe.
 
US nnayoijua mimi ama anayoijua hata yeye haiwezi ikakuacha upige kambi yake hata bure

Mfano SYRIA pale US wanakambi zao zakijeshi ila SYRIA hawathubutu kurusha hata jiwe nakama itatokea akarusha basi US atakua kaishapata mamlaka kamili yakumchapa AL ASSAD yaani DIRECTLY

namkumbusha tu kuipiga kambi ya nchi ama taifa jengine nitayari umeshatangaza vita hadharani kuliko hata alivyoenda kuipiga IRAQ ya SADDAM ama LIBYA ya GADAFI kwasababu zakuunga unga

US kachapiwa kambi zake mwenyewe pale IRAQ ambazo kazisimamia UJENZI wake mwenyewe US akakausha kapigiwa DRONE zake zaidi yamaramoja kanyamaza kakamatiwa Mpaka wanajeshi wake kama haitoshi kanyamaza

Sijui anataka IRAN waoneshe ubabe gani dhidi ya US hayo nloyataja hapo hakuna taifa lolote limemfanyia US baada ya vita ww1 na ww2 vimalizike ni IRAN pekee

Halaf anatokea mtu anakuja kuwabeza hawa watu.....
Baada ya kuwakamata wale wanamaji wa kimarekani, na wa Iran walivyo, sidhani kama wamewaacha salama. Watakuwa wamewafanyia mutaa
 
Kambi zilijengwa na serikali ya Iraq kwa pesa zake.

Kambi ya Al-Asad ambayo ilitajwa kushambuliwa zaidi ni ya miaka ya 80.

Marekani ilikuja kuwekeza baadaye katika hiyo base ndipo ikaboreshwa zaidi na kuwekewa miundombinu za kisasa. Baada ya vita ya 2003 kuisha base ikafungwa rasmi mwaka 2011.

Hivi sasa hiyo kambi ni coalition base ya majeshi ya nchi mbalimbali.
Na wale wanajeshi waliopata mtindio wa ubongo kutokana na shambulio hilo ni wa nchi gani?
 
Sasa unapinga nini halafu unakubali nini ?!

Kama walikua hosting katika ile kambi si ndio maana wakanyooshwa MKUU.....
Kama umeelewa vyema nilichosema usingeniuliza swali hilo.

Ni dhahiri na ni wazi kwamba hujanielewa ndiyo maana unarudia kitu kilekile.

Zaidi, ni vyema ukapata kufahamu matumizi sahihi ya maneno 'host' na 'hosting'.
 
Nadhani ile habari ya wanajeshi wa marekani kupigwa kichapo kwenye ile kambi ulijifungia kwenye jokofu maana hukutaka kuisikia
Wanajeshi gani hao waliopata huo "mtindio wa ubongo"?

Ni wa namna gani huo "mtindio wa ubongo"?

Hebu tujadili intellectually kuhusu huo "mtindio wa ubongo". Karibu!

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
US kama hajapata sababu yakuipiga IRAN hatakaa aipate tena

Watu walimteka mpaka balozi wake Mwaka nasiku kadhaa unasema hajavuka bado res line ?!

Unajua kama kuteka balozi wataifa fulani tayari tangazo la vita ?!

Jamaa alikamatwa akawekwa MBOCHI mpaka alipo amuliwa kutoka wakamtoa


msimamo wangu:-US anaweza akampiga IRAN ikitokea vimetokea VITA baina yao ila kipigo atakachokumbana nacho hajawahi kukumbana nacho toka aumbwe.
Kuteka balozi ndo silaha? Kwahiyo US akiwa anapiga Iran, Iran itakuwa inaenda nchi kadhaa kuteka mabalozi wa US. Iran hana silaha za kushambulia mbali, anazo za kuwa hangaisha majirani na kambi sa karibu. Umtoe Iran umpitishe bahari ya Atlantic kwa kutumia hiyo mitumbwi?

Sasa unaipigaje US wakati hata uwezo wa kufika kwake huna. Kuteka mabalozi hata nyinyi si mnaweza kumteka wa hapa Tanzania kama mmejipanga. Wa US in Libya aliuwawa, kipi cha ajabu kilifanyika?
Wa Russia nchini Turkey aliuwawa kipi cha ajabu kilitokea?
 
Back
Top Bottom