Jeshi la Israel Limelipua makao makuu ya Hezbollah Beirut wakati Netanyahu anaendelea kutoa speech umoja wa mataifa

Israel Hana ubavu wa kuipiga Iran atazionea tu vinchi vidogo vidogo Tena kwa msaada wa marekani
Nipo kwenye whatsapp group moja na Ayatollah, sijui nani ame screeshot na kumtumia hii comment yako, na yeye kaituma group na kuweka caption inasomeka; "Msiwasikilize watu wa aina hii, wanataka kutujaza ujinga halafu watuchuuze. Wasalamu waleko".
 
Aisee hivi kobazi ndio mliwategemea hezbollah wangewafutia Israel kweli bora hata hamas mgewategemea kidogo
 
Jeshi ndiyo hilo Hezibula.
 
Kama ndugu zako magaidi hamasi walivyovizia octoba 7,hakika Israel ndiye mtoa roho ata aala analijua hilo.
 
Kama ndugu zako magaidi hamasi walivyovizia octoba 7,hakika Israel ndiye mtoa roho ata aala analijua hilo.
 
Israel Hana ubavu wa kuipiga Iran atazionea tu vinchi vidogo vidogo Tena kwa msaada wa marekani
Siku si nyingi utakuja hapahapa kusema Israel inapiga wanawake na watoto wa Iran, pale ambao majeshi ya Iran yatakuwa yanajificha kwenye makazi ya raia kujaribu kujikinga na dhahama ya Israel.
 
Al jazeera wamekanusha yale majengo sio mkao makuu ya Hezbollah bali ni makazi ya watu wa kawaida.Hakuna anaejua zilipo ofisi za Hezbollah .
 
Wakiristo wa Jf kwa propaganda sijui wanasomea wapi? Kwa taarifa yenu uislam hamuwezi kabisa. Mapadri wengi na wachungaji wanasilimu nyinyi bakini na propaganda zenu. Mkifa mkachomwe vizuri
 
Afadhali hata Hamas walikaza kaza. Hawa Hizbollah ni bure kabisa, wanaondolewa kama mende
Kuna sumu fulani kama chaki; ukichorachora ukutani na sakafuni mida ya kwenda kulala asubuhi mnakuta mende wote ndani ya nyumba chali! Ni kufagia na kwenda kutupa tu! Ha ha ha!
 
Al jazeera wamekanusha yale majengo sio mkao makuu ya Hezbollah bali ni makazi ya watu wa kawaida.Hakuna anaejua zilipo ofisi za Hezbollah .
Ulitegemea Aljazeera waseme nini zaidi ya kukanusha? Kama Israel kamuua Ismail Haniya, Ibrahim Rais pamoja na intel yooote ya Iran, na ikisaidiwa na russia na north korea ndo ishindwe kujua makaa makuu ya hezbollah?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…