Jeshi la Israel Limelipua makao makuu ya Hezbollah Beirut wakati Netanyahu anaendelea kutoa speech umoja wa mataifa

Israel HANA ugomvi na Lebanon na Serikali yake. Hizbollah ni kikundi tu cha magaidi kinachokaa Kusini mwa Lebanon kibabe kwa Msaada wa Iran lengo kupigana na Israel. Hata Walebanon wenyewe HAWAWATAKI Hizbollah nchini mwao na watakuwa wanaomba kimoyomoyo na hadharani Israel isaidie kuwaondoa nchini mwao!
 
Vita si ya Serikali ila Hezbollah
 
Malaria, Kosugi na Dada yao Faiza hizi ni taarifa zinazoumiza sana nyoyo zao.
 
Wanafurahisha sana.
 
Israel Hana ubavu wa kuipiga Iran atazionea tu vinchi vidogo vidogo Tena kwa msaada wa marekani
Kama raisi wake ameuliwa ndani ya nchi yake je hapo ana ubavu upi..? Jana mwamba kasema live kuwa hakuna sehemu yeyote atashindwa kuingia na kupiga hapo Iran. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
All the best๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ
 
Kumbe hezbollah ni nchi na hamsemi[emoji23][emoji23]

Wakristo wenzenu wa Lebanon wanaangamizwa halaf mnacheka
Eehh ndio mnaukumbuka ukristo mkidhan ndio itakua pona yenu ,mmeumia..kwa taarifa yako wayahudi sio wakristo. Nyie ndio oneen huruma wenzenu katika iman na waislam pale lebabon ndio wanawaponza wakristo kisa hezbollah
 
Nichukue nafasi hii kuwapongeza Hezbollah kwa makao yao makuu kulipuliwa na Jeshi la Israel
 
Tizama wanavyomforce netanyau akubali cease fire tizama wanavyo kimbia kwenye mabanda kujificha hawaogopi kifo ila Mungu ndio kawajaza hofu ya kifo kwa kuwatamanisha maisha ya dunia
Yaan uende kuanzisha taifa katikati ya maadui halafu uogope kifo hauko serious mzee.
 
Wakiristo wa Jf kwa propaganda sijui wanasomea wapi? Kwa taarifa yenu uislam hamuwezi kabisa. Mapadri wengi na wachungaji wanasilimu nyinyi bakini na propaganda zenu. Mkifa mkachomwe vizuri
Kwanza tuambie wew nimsunni au shia
 
Wanajidanganya nafsi zao na za wajinga ndiyo waliwao.
 
Kama raisi wake ameuliwa ndani ya nchi yake je hapo ana ubavu upi..? Jana mwamba kasema live kuwa hakuna sehemu yeyote atashindwa kuingia na kupiga hapo Iran. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
All the best๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ
Nyie tumewazoea hata mtu akianguka na baiskeli pale Tehran mnasema ni Israeli kusababisha . Ile ilikua ajali ya kawaida na taarifa ya uchunguzi ilishatolewa.
 
Hahaha umenichekesha afu niko kanisani
 
Siku si nyingi utakuja hapahapa kusema Israel inapiga wanawake na watoto wa Iran, pale ambao majeshi ya Iran yatakuwa yanajificha kwenye makazi ya raia kujaribu kujikinga na dhahama ya Israel.
Iran siyo Gaza. Level ya Iran ni baba zake Israel ambao wanampa kiburi siyo hicho kijinchi
 
Wale wa buza watasema imetengenezwa hii.
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ