Jeshi la Israel Limelipua makao makuu ya Hezbollah Beirut wakati Netanyahu anaendelea kutoa speech umoja wa mataifa

Jeshi la Israel Limelipua makao makuu ya Hezbollah Beirut wakati Netanyahu anaendelea kutoa speech umoja wa mataifa

Kwa mtiririko wa mauaji ya makamanda wake hata kama amepona kwenye hili shambulio basi siku zake za kuishi zinakaribia ukingoni.

Mara mia hata Hamas Hawa Hizbullah mdomo mwingiwameutafuta ugomvi kwa udi na uvumba .
 
Kwan mtiririko wa mauaji ya makamanda wake hata kama amepona kwenye hili shambulio basi siku zake za kuishi zinakaribia ukingoni.

Mara mia hata Hamas Hawa Hizbullah mdomo mwingiwameutafuta ugomvi kwa udi na uvumba .
Kobaaz wakiambiwa kuwa mossad ni habari nyingine huwa wanafikiri ni kama TISS tu au pengine chini ya hapo
Kobaaz wameisifia sana Hezbollah, kuwa ni kiboko ya Israel 🤣🤑😝
 
Hawa makamanda wote wa hezbollah wameuawa
 

Attachments

  • 20240928_084043.jpg
    20240928_084043.jpg
    169.5 KB · Views: 1
Wakiristo wa Jf kwa propaganda sijui wanasomea wapi? Kwa taarifa yenu uislam hamuwezi kabisa. Mapadri wengi na wachungaji wanasilimu nyinyi bakini na propaganda zenu. Mkifa mkachomwe vizuri
Ni kweli mapadri wengi wanasilimu kama ambavyo magaidi mengi mnawaishwa kwenda kupewa mabikra 72
 
Mbona Israel safari hii hashambulii? Fuatilieni mashambulizi ya Israel 2006, kweli watu hamfuatilii.

Israel ilipiga kuanzia International airport Beirut, nyumba za viongozi wa Hezbollah hadi Hq za hezbollah hapo Beirut.. vituo vya mafuta, vyanzo vya umeme, walipiga target za Hezbollah zipatazo 83, kiongozi wao wa jeshi kamanda Halutz kipindi hiko akasema wamemaliza vita na waneshinda...

Baada ya hapo kipigo kilichofuatia Israel hakuamini...

Hii vita Israel atalipa...
 
Kipindi wanashambulia ndani ya Israel mlikuwa mnasema Israel anawaogopa hizbollah Leo Mnataka na kesho rasmi la Lebanon lihusike na sio hizbollah pekee
Umeonaaa sasa walivyo vgeu geu shida wanaambiwa uongo ni sehem yakumshinda israel
 
Ni kweli mapadri wengi wanasilimu kama ambavyo magaidi mengi mnawaishwa kwenda kupewa mabikra 72

Katika Qur'an, wanawake wa Peponi wanatajwa kama hurul-ain (حُورٌ عِينٌ), ambao ni viumbe wa kike wenye sifa maalum.

Neno "hur" linamaanisha wanawake wa peponi wenye macho yenye weupe safi na weusi wa kuvutia, na "ain" inarejelea macho makubwa, yenye uzuri wa kipekee. Hawa wanawake wamekusudiwa kuwa zawadi kwa wacha Mungu wanaoingia Peponi kama thawabu ya matendo mema yao duniani.Wanatajwa kwa sifa ya urembo, usafi, na kutokuwa na dosari.

Kwa mfano, katika Surat Ad-Dukhan (44:54), Allah anasema:“Huko tutawaoza wake wenye macho makubwa.”Aidha, katika Surat Ar-Rahman (55:72), hurul-ain wanatajwa kuwa:“(Wanawake) walioko kwenye mahema yaliyotunzwa vizuri.”
 
Mbona Israel safari hii hashambulii? Fuatilieni mashambulizi ya Israel 2006, kweli watu hamfuatilii.

Israel ilipiga kuanzia International airport Beirut, nyumba za viongozi wa Hezbollah hadi Hq za hezbollah hapo Beirut.. vituo vya mafuta, vyanzo vya umeme, walipiga target za Hezbollah zipatazo 83, kiongozi wao wa jeshi kamanda Halutz kipindi hiko akasema wamemaliza vita na waneshinda...

Baada ya hapo kipigo kilichofuatia Israel hakuamini...

Hii vita Israel atalipa...
Ko wanasubiri wapegwee ndio wapate hasira 😁
 
MAISHA YA WASIKUWA WAISLAM

Moto wenye nguvu na mateso yasiyoisha:Katika Surat An-Nisa (4:56), Allah anasema: “Hakika wale waliokataa ishara zetu, tutawachoma katika moto. Kila ngozi zao zitakapoungua tutawabadilishia ngozi nyingine, ili waonje adhabu.”Kunywa maji ya moto:Katika Surat Ibrahim (14:16-17), Qur’an inaeleza jinsi makafiri watakavyopatiwa maji ya moto: “Mbele yake kuna Jahannam, na atanyweshwa maji ya usaha. Atajaribu kuyanywa, lakini hataweza kuyameza, na kifo kitamfikia kutoka pande zote, lakini hatakufa. Na mbele yake kuna adhabu kali.”Vazi la Moto:Katika Surat Al-Hajj (22:19-20), Allah anasema: “Wale waliokufuru, watakatwa mavazi ya moto, na vichwani mwao yatamiminwa maji yanayochemka. Yatakayoyeyusha yaliyomo matumboni mwao na ngozi zao.”
 
Wakiristo wa Jf kwa propaganda sijui wanasomea wapi? Kwa taarifa yenu uislam hamuwezi kabisa. Mapadri wengi na wachungaji wanasilimu nyinyi bakini na propaganda zenu. Mkifa mkachomwe vizuri
Una elimu gani?maana wakati flani elimu husaidia pia.
 
Jeshi lipo lakini halijihusishi na vita. Israel anapigana na kikundi kidogo tu kama vile alshabab ya Somalia au bokoharam ya Nigeria.

Wafarisayo wa yombo sasa..... Israel taifa kubwa..... IDF inawashambulia vibaya.....

Kiuhalisia Israel na nyenzo na vyombo vyake vyote ni failure. Huwezi kuhangaika na wanamgambo tu miaka kibao huku ukiua wanawake na watoto wasio na hatia.
Mlisema israel alipgwa 2006 mpaka akakimbia nasafarii hii tunasubiri hcho mnachosema kikundi kimpge tena mpaka un waingilie kati kuinusuru israel kama wakat ulee
 
Mbona Israel safari hii hashambulii? Fuatilieni mashambulizi ya Israel 2006, kweli watu hamfuatilii.

Israel ilipiga kuanzia International airport Beirut, nyumba za viongozi wa Hezbollah hadi Hq za hezbollah hapo Beirut.. vituo vya mafuta, vyanzo vya umeme, walipiga target za Hezbollah zipatazo 83, kiongozi wao wa jeshi kamanda Halutz kipindi hiko akasema wamemaliza vita na waneshinda...

Baada ya hapo kipigo kilichofuatia Israel hakuamini...

Hii vita Israel atalipa...
Ukiwa miongoni mwa Hizibolla, uwezejano wa kuwapiga Israel ni mkubwa chief,

Ingia vitani mkuu
 
Back
Top Bottom