FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
Kwahiyo unanipangia nipigane vipi na adui yangu? Kama anajua ana weakness unazotaja kwanini awe mchokozi?Hizbullah hawana rasilimali za kudungua ndege,na israel roho mkononi kwenda battle ground na hizbullah, strength ya hizbullah ni infantry
Nilichogundua hata huyo Iran it’s a matter of time atabondwa na hakuna atakachofanya. Syria pia ingekuwa majivu kama sio Russia!!