Jeshi la Israeli limechukua udhibiti wa kilele cha Mlima Hermoni upande wa Syria bila pingamizi, eneo la kimkakati linalotazama Lebanon na Syria

Jeshi la Israeli limechukua udhibiti wa kilele cha Mlima Hermoni upande wa Syria bila pingamizi, eneo la kimkakati linalotazama Lebanon na Syria

Kuna hadithi ya Mtume Muhammad Israel atafika mpaa Damascus, afu bada ya hapo ndipo itakombolewa Palestine, na haswa Masjid Al Aqsa.

Kwa hio kila Israel akimeza Syria ndio anajichimbia kaburi lake. Hata wayahudi wanajua hayo.


View: https://youtu.be/dwtkm8j3NiA?si=33vFwa2HRet28Ls_

Hii inaitwa pauka pakawa 😂😂 na wewe kweli ukapauka 😂😂 ushaambiwa hadithi alafu we unaamini tu pasipo kushughulisha akili yako😅😂😂
 
Back
Top Bottom