wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Wale jamaa mambo wanayoyapenda Ni ya kukata mauno tu,mambo ya kijeshi wanalazimishwa tu πAskari tunaopeleka ni kwa ajili ya kwenda kuwafunza Jeshi la Kongo jinsi ya Upiganaji na nidamu ya Jeshi sio kama walivyo sasa Askari yuko Frontline amelewa chakari na ana simu mkononi anasikiliza miziki.
Atanyooshwa na Nani Sasa?Nilishasema, Kagame aache kufadhili majambazi, atanyooshwa sasa hivi
Kenya inawamudu vizuri mno hao mamluki wa Rwanda..Inakuaje brothers and sisters,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Leo ndio siku ya mwisho waliopewa waasi wa Congo ili kusalimisha silaha zao kwa serikali, kinyume na hapo hatua kali za kijeshi zitachukuliwa kwa kundi lolote la waasi ambalo limekaidi amri hiyo. Na oparation hiyo itahusisha majeshi ya Afrika mashariki kutoka Burundi, Congo, Uganda na Kenya huku Kenya ikionekana kuongoza oparation hiyo ambayo kundi kuu la waasi nchini Congo la M23 likisema kwamba haliitambui oparation hiyo na kwamba yeyote atakaethubutu kwenda kuwachokoza katika maeneo yao wata deal nae.
Tusisahau kwamba mwaka 2013 nchi za Malawi, South Africa zikiongozwa na jeshi la Tanzania ambalo lilisimamia oparation zote za chini ziliweza kulisambaratisha kundi hilo la M23 katika kipindi kifupi cha week kadhaa tu, na kusababisha waasi hao kukimbia ng'ome zao na kuacha silaha zao na kwenda kuomba hifadhi katika nchi jirani za Rwanda na Uganda.
Sasa baada ya miaka 9 ya ile oparation kabambe iliyoongozwa na Tanzania, leo waasi hao wamerudi tena kwa kasi ile ile huku Kenya ikionekana kutaka kuchukua nafasi ya Tanzania ili kurudisha tena amani katika maeneo hayo ya mashariki mwa Congo.
Sasa tukiachana na hizi nchi zingine zilizoshiriki au zinazoshiriki katika oparation hizo kama vile SA, Malawi, Burundi na Uganda.
Swali langu je Kenya itaweza kufanya kile ilichofanya Tanzania?
Au jeshi lake linakwenda kupokea kichapo kile inachopokea serikali ya Congo?
Lets wait to see what's gonna happen. Maana yamebakia masaa matano tu ule muda waliyopewa waasi uishe.
God bless Congo,
God bless Tanzania,
God bless our continent Africa.
Thank you π
Huko kuikubalia Uganda na kuitenga Rwanda ndio kumechochea huu mzozo wa Sasa.Kwa kweli Congo wamefanya mistake kukubali jeshi la Uganda kuwa sehem ya oparation hiyo. Wangewakatalia kama walivyoikatalia Rwanda.
Nimewaona Askari wa M23 wako well trained na wananidhamu ya hali ya juu na wana inteligence ya hali ya juu huenda hata kwenye hilo jeshi la Kongo wana "Batu" wao wanaowapa full information za Movement za Jeshi la Kongo na reinforcement zinazokujaππWale jamaa mambo wanayoyapenda Ni ya kukata mauno tu,mambo ya kijeshi wanalazimishwa tu π
ππ Silaha wanazopitishia kwny hizo Bandari Ni zile za kawaida tu, Rwanda silaha zao wanatumia dege la jeshi Qatar C-130 kusafirishia,hata kupeleka vifaa vya kijeshi Mozambique walitumia ndege hio,Drones zile za Turkey kuzileta kigali wametumia ndege za Uturuki,na last week flight radar24 imeonyesha ndege za kijeshi ya mizigo ya nchi ya Israel zimetua Kigali karibu Mara 4 nadhani Kuna silaha zimepelekwa pale.Hii ndo itatumika kuingiza silaha,, Rwanda na uganda ni landlocked, wanategemea bandari ya dar au mombasa,, ikitokea wakawekewa vikwazo vya kuingiza silaha,,
Zitaingia kwa aircargo
Kagame hatoki ng'o!Nilishasema, Kagame aache kufadhili majambazi, atanyooshwa sasa hivi
Hili suala la M23 ni mchezo wa siasa za ukanda tu (geopolitics) ..ndio maana kuna wakati hali inatulia na baada ya muda inachafuka sanaUganda aliwapa hifadhi waasi mwaka 2015, leo anakwenda kupambana nao aliowapa hifadhi, kwanini hakuwamaliza kipindi amewahifadhi? Au hili ni igizo?
Sasa wewe hutaki Nchi huru ziagize silaha za kujilinda na Maadui.Hii ndo itatumika kuingiza silaha,, Rwanda na uganda ni landlocked, wanategemea bandari ya dar au mombasa,, ikitokea wakawekewa vikwazo vya kuingiza silaha,,
Zitaingia kwa aircargo
Kifo ndio kitamng'oa sio ?Kagame hatoki ng'o!
PK anaijua Congo zaidi ya waijuavyo wacongo wenyewe. Kumbuka hao M23 washatumika katika nafasi tofauti tofauti tena nyeti kule Congo. Kwahiyo aliposema hivyo kwa Tshisekedi alikuwa anajua anachomaanisha, hii ni tofauti na ule mkwara wa Tanzania maana system ya Tanzania ni tofauti na system ya nchi nyingi za Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla. Ndio maana mpaka leo tupo salama.Yule huwa ana mikwala tu,mkwala aliompiga jk na tz tungekua maboya tungenywea,tukafanya tuliyofanya na akaja kuyajenga na mkwere
KDF inawamudu vizuri sana hao RDF wanaojiita M23.Vita tamu sana hii,kitakachoifanya ikose utamu wake Ni Marekani na Ulaya kuingilia kwa kutishia kuweka vikwazo na blah blah blah za ICC kwa M23& Supporters wake lkn nilitamani Sana kuona jinsi KDF wanavyokula kichapo kitamu mchana kweupe.
Mpaka Mungu aamueKifo ndio kitamng'oa sio ?
Ile ilikuwa mission maalum ya Monusco ambayo ni kati ya order chache UN wanaruhusu matumizi ya nguvu. Baada ya mafanikio JWTZ imerejea kwenye kulinda amani sio kuingia vitani na makundi ya waasi.
Kenya wameenda vitani kupitia mlango wa EAC. Kwangu ni jaribio la kwanza la kivita Jeshi la Kenya wanakutana nalo ambalo ni complicated. Kama ni M23 wale wale kimbinu na vifaa ( kivuli cha RDF) basi tusishangae aibu kwa jeshi la Kenya ambalo lina uzoefu mdogo wa gorilla war.
Upo sahihi kabisa kiongoziHili suala la M23 ni mchezo wa siasa za ukanda tu (geopolitics) ..ndio maana kuna wakati hali inatulia na baada ya muda inachafuka sana
Sio kweli.....Alshabaab ni complicated na hatari ila Kenya imemudu muziki waoKenya wameenda vitani kupitia mlango wa EAC. Kwangu ni jaribio la kwanza la kivita Jeshi la Kenya wanakutana nalo ambalo ni complicated. Kama ni M23 wale wale kimbinu na vifaa ( kivuli cha RDF) basi tusishangae aibu kwa jeshi la Kenya ambalo lina uzoefu mdogo wa gorilla war.
Wabongo bhana teh teh ππ mna mikwara kweli kweli....kumbe kawaida tuLeo wamepeleka troops zingine Goma! Wanajipanga tu isitokee aibu! Ukiona jambo TZ wamejikalia pembeni ogopa [emoji2]