Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nidhamu na Uzalendo feki haulipi BILL.Nashangaa sana kwanini Mtu anatoka jeshini halafu anakuja kuwa jambazi au kibaka wakati jeshini tunafundishwa nidhamu na uzalendo
Tujiandaeni tu Kukabwa sasa Mitaani tena kuliko hata tunavyokabwa Kistaarabu kwa sasa. Na walivyo wengi Mitaani safari hii tutawakoma sana!
Nashangaa sana kwanini Mtu anatoka jeshini halafu anakuja kuwa jambazi au kibaka wakati jeshini tunafundishwa nidhamu na uzalendo
Tumeficha korona sasa tunaficha na ukata wa fedha, kweli tunaongozwa na vilaza!JKT YASITISHA MAFUNZO
DODOMA: JANUARI 19, 2021
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza kusitisha kwa muda mafunzo ya jeshi hilo ya kujitolea kwa mwaka 2020/2021 mpaka hapo itakapotangaza tena.
Kutokana na kusitishwa kwa Mafunzo hayo JKT imewataka vijana walioripoti makambini kurejea majumbani na wale ambao hawajaripoti wasiende kuripoti.
Taarifa hiyo imetolewa jijini Dodoma na Kaimu Mkuu wa Tawi la Utawala JKT, Kanali Hassan Mabena, wakati akizungumza na waandishi wa habari Ofisi za makao makuu ya jeshi hilo.
Nami All - Rounder nasema kuwa huenda kwa Kurejeshwa Kwao hawa na Ajira kuwa ngumu Vitendo vya Kiuhalifu vikaanza Kuongezeka nchini.
Taarifa: Uhurudigital
---
Siyo mbaya kusema safari hii Pesa hakuna ( Kibajeti kuliko Kuficha, lakini pia hata haya Mafunzo yanahitaji Mabadiliko makubwa sana ya Kimfumo.
Anza kumshangaa yule afande aliyekutwa na viroba na vitu vyenye ncha kali.Nashangaa sana kwanini Mtu anatoka jeshini halafu anakuja kuwa jambazi au kibaka wakati jeshini tunafundishwa nidhamu na uzalendo
Unataka nani akulipie bill mkuu.Nidhamu na Uzalendo feki haulipi BILL.
Mchuma janga hula na wakwaoTujiandaeni tu Kukabwa sasa Mitaani tena kuliko hata tunavyokabwa Kistaarabu kwa sasa. Na walivyo wengi Mitaani safari hii tutawakoma sana!
Jeshini watu wanafundishwa ujasiriamali pia mkuu ukitoka hapo unaweza mkulima na mfugaji mzuri tuUzalendo ni ukipata kilichokupeleka jeshini, sio upewe mafunzo kisha utelekezwe.
Hao ni wale MamlukiAnza kumshangaa yule afande aliyekutwa na viroba na vitu vyenye ncha kali.