Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lasitisha mafunzo ya kujitolea

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lasitisha mafunzo ya kujitolea

Acha kupotosha Mkuuu.

Utakabwa na Nani wakati hawa watoto hata Mafunzo hawajaanza kupatiwa kumbuka waliripoti Makambini tarehe 8/01/2021 na kwa sasa wana takribani siku 10 huko Kambini na hata wengine walikuwa bado hawajaripoti kama taarifa inavyosema kwamba ambao hawajaripoti Wasiende kuripoti.

Lkn kwa masikitiko makubwaa, Expert member wa JF anaaanza kuzusha taharuki kwamba tujiandae kukabwa! Tuache kukurupuka na kuwapa Raia taharuki ambazo hazipo maaana kwanza hao Vijana bado hawana mafunzo yoyote ya Kijeshi, pili tumeishi nao mtaani kwa wema kwa Vipindi vyote hadi majuzi baada ya sherehe za Mwaka mpya walipoondoka.

Kwa dhana yako na mawazo yako unaweza kusababisha Vijana hao kutoaminika Mtaani au hata kushambuliwa kwa vitu very minor. Change ur mind broo tunakuheshimu hapa JF.
Nadhani ndugu yetu alidhani hata wale ambao walianza mafunzo hayo ya kujitolea miaka kadhaa iliyopita na bado wako kambini, ndio hao wanaotakiwa kurudi mtaani.
 
Wakuu naona hamjaelewa habari
Kuna kundi la vijana lilitakiwa kuripoti katika makambi mpaka tar 15 January kama OP mpya kupata mafunzo ya kiseshi hilo bogi ndo limepigwa azwea warejee makwao na walokua hawajaripoti wasiendee
Wale askari waliofuzu mafunzo hayo yani OP Makao makuu bado wataendelea kuhudumu katika taifa katika makambi yao husika
Yawezekana kati ya Watanzania wote Milioni 55+ ni Wewe tu Bumunda pekee ambaye umeshindwa Kuielewa vyema kabisa hii Taarifa kutoka JKT.
 
Nashangaa sana kwanini Mtu anatoka jeshini halafu anakuja kuwa jambazi au kibaka wakati jeshini tunafundishwa nidhamu na uzalendo
Umeuliza Swali la Kipuuzi kweli kweli Ndugu. Mbona huku Mashuleni tunakosoma pia hufundishwa Nidhamu lakini Watukutu hutokea huko huko?
 
Nidham na uzalendo hizo ni personal ethics.
Zinaanza na mtu mwenyewe.. wala si kwa kulazimishwa.
Na shida ndipo inapoanzia hapo! Mtu anajijua kabisa hawezi na hayuko tayari kuwa mzalendo wala kuwa na nidhamu anaenda jeshini kufanya nini!
 
Shubaamiti ile 200k yangu mtanirudishia maana nimesafirisha dogo toka kusini hadi magharibi mwa nchi.Muda fulani tuwe serious jamani hizi hela nimetafuta kwa ugumu sana.!!
Bora Wewe hiyo Hela yako tu, Mimi nina Dada Wawili pamoja na Mama yao kuna Kitu muhimu cha Mwilini walikitoa ili wapite na sasa wamekosa.
 
Tujiandaeni tu Kukabwa sasa Mitaani tena kuliko hata tunavyokabwa Kistaarabu kwa sasa. Na walivyo wengi Mitaani safari hii tutawakoma sana!
Nashindwa kuelewa hivi kwa nini serikali isiwakusanye wote hata kwa lazma ikawapeleka hata mali asili huko wakaparangane na masokwe huko tuna mbuga kibao za wanyama zinahitaji askari kila siku na vijana wako tuu mafunzo wanayo kazi hawana.
 
Back
Top Bottom