Acha kupotosha Mkuuu.
Utakabwa na Nani wakati hawa watoto hata Mafunzo hawajaanza kupatiwa kumbuka waliripoti Makambini tarehe 8/01/2021 na kwa sasa wana takribani siku 10 huko Kambini na hata wengine walikuwa bado hawajaripoti kama taarifa inavyosema kwamba ambao hawajaripoti Wasiende kuripoti.
Lkn kwa masikitiko makubwaa, Expert member wa JF anaaanza kuzusha taharuki kwamba tujiandae kukabwa! Tuache kukurupuka na kuwapa Raia taharuki ambazo hazipo maaana kwanza hao Vijana bado hawana mafunzo yoyote ya Kijeshi, pili tumeishi nao mtaani kwa wema kwa Vipindi vyote hadi majuzi baada ya sherehe za Mwaka mpya walipoondoka.
Kwa dhana yako na mawazo yako unaweza kusababisha Vijana hao kutoaminika Mtaani au hata kushambuliwa kwa vitu very minor. Change ur mind broo tunakuheshimu hapa JF.