Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huko kutaka mshahara ndiko kunakowaponza! Jeshi siyo kama kada zingine kule hawaendi watu wanaotaka mshahara tu!Mshahara
Kwanini uwaze kutumia yale mafunzo ya silaha tu wakati kuna mafunzo ya uzalishaji mali pia unayapata? Kwanini hizo nguvu usiende kuzitumia kuwa mkulima au mfugaji kutokana na yale mafunzo uliyoyapata?Sasa nitakula nini kitaa bibie ..? nidhamu na uzalendo ?
Na hivi narudi kitaa nimeiva lazima niwe wa kwanza kukukaba wewe na kukupora hasa lile pochi lako la pink
Nyookeni[emoji3][emoji3]Hii nchi inajifia pole pole hakuna mtu wa kutusemea tena
Aisee tuliyatafuta tumeyapata
Tumefulia?True, pesa hamna kabisa
Ngoja niwarahisishie Kazi hapa Moderators wa JF Kukunyoosha Kinidhamu tena kwa Ushahidi wako huu ulio Vivid kabisa uliotuanikia rasmi hapa.
Ngoja niwarahisishie Kazi hapa Moderators wa JF Kukunyoosha Kinidhamu tena kwa Ushahidi wako huu ulio Vivid kabisa uliotuanikia rasmi hapa.
Cc: Invisible, Moderator, JamiiForums na Paw
JamiiForums si ya Baba yako pamoja na Shangazi yako!
Hapana Mkuu CCM pumzi imeanza kukata...Mabeberu wamepiga pinCovid inahusika!
Utaratibu wa majeshi yote duniani. New intake haiitwi uzalendo. Inaitwa recruit. Uzalendo no slogan tunayoitumia Jkt kuwa name new recruit. Ila kitaalam na kimtaala. Ni recruit.Kijeshi bado ni wazalendo
Simple ajira. Wengi wanaenda kule kuniposition kuchukuliwa na taasis zingine.Na shida ndipo inapoanzia hapo! Mtu anajijua kabisa hawezi na hayuko tayari kuwa mzalendo wala kuwa na nidhamu anaenda jeshini kufanya nini!
Advantage moja over veta ni kuwa wkt wanafanya hayo. Vikosi mbali mbali huja kuchukua watu.Sasa why usiende VETA kuliko kwenda kulima huko huku ukipigwa.
Umeshawahi kubahatika kuuona mtaala wa jkt?Hao bado hawakuwa recruit, hao ni wazalendo
Tangu aingie Magufuli hiko hakuna jipya zaidi ya kulimishwa tu.Advantage moja over veta ni kuwa wkt wanafanya hayo. Vikosi mbali mbali huja kuchukua watu.
Kwa kule rahis somehow.
Kulipwa Tsh 25,000 na Msosi ????Ukitaka usipigwe jitume, kazi zile wanalipwa wote. Huwezi kula hela ya watu utegee