Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lasitisha mafunzo ya kujitolea

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lasitisha mafunzo ya kujitolea

Same to the one who gave birth to You Moron.

005C2210-14C6-46D0-8D7F-3F415DA45B00.jpeg
 
Sasa nitakula nini kitaa bibie ..? nidhamu na uzalendo ?

Na hivi narudi kitaa nimeiva lazima niwe wa kwanza kukukaba wewe na kukupora hasa lile pochi lako la pink
Kwanini uwaze kutumia yale mafunzo ya silaha tu wakati kuna mafunzo ya uzalishaji mali pia unayapata? Kwanini hizo nguvu usiende kuzitumia kuwa mkulima au mfugaji kutokana na yale mafunzo uliyoyapata?
 
Na shida ndipo inapoanzia hapo! Mtu anajijua kabisa hawezi na hayuko tayari kuwa mzalendo wala kuwa na nidhamu anaenda jeshini kufanya nini!
Simple ajira. Wengi wanaenda kule kuniposition kuchukuliwa na taasis zingine.
Wanapokosa ndio hurud mtaani.
 
Back
Top Bottom