Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Sawa nenda kajifunze kulima nyanya miaka 2.Unataka nani akulipie bill mkuu
Jeshini watu wanafundishwa pia ujasiriamali ukitoka hapo unaweza kuwa mkulima na mfugaji mzuri tu ila vijana wanataka waoneshane nani mbabe mjini hapa