Jeshi la Polisi: Bado tunamsubiri Tundu Lissu na dereva wake ili kufanya uchunguzi

Jeshi la Polisi: Bado tunamsubiri Tundu Lissu na dereva wake ili kufanya uchunguzi

Kwani wewe unadhanije?

Kwamba siku ya tukio lile baya kabisa ulinzi wa Govt Quarters za Area D Dodoma ulikuwepo na Wala haukuondolewa..?

Yaani CHADEMA wanatunga visa kuwa Tundu Lissu alipigwa risasi huku ukweli ukiwa hakuwahi kupigwa risasi zozote, au....?

Kama haikuwa hivyo, hebu tuambie, mpaka sasa ni mwana CHADEMA gani alikamatwaga na Kisha kufunguliwaga mashitaka na kukutwa na hatia na Kisha kufungwa jela fulani Kwa kulipua bomu hilo huko Arusha...?

Kwani wewe unafikiri nini?

Tukio lile lilimuathiri kisaikolojia au lilimjenga kisaikolojia yule dereva...?

Kwamba, hufikiri kuwa ni kweli TANPOL wanaweza kulitumia tukio hilo kum - criminalize dereva ili kuisafisha serikali na tuhuma hizi...?

Ni mjinga pekee asiyeweza kuiona possibility ya serikali ya CCM Kwa kuwatumia Polisi kufanya hivi. And likely wewe ni miongoni mwa wajinga hao...!!

Alitoa kauli gani zinazotofautiana Kwa mfano? Hebu leta nukuu ya kauli hizo kama kweli zipo na zinatofautiana ili tujadili hayo....

Mimi nadhani wewe unafikiri Kwa kutumia kiungo kingine na siyo kichwa chako...!

Na kwa ujumla sitakuwa nimekukosea heshima kusema kuwa, wewe ndiye mbumbumbu wa mwisho kabisa kwa sababu unatumia hisia zako tu kujiandikia badala ya kutumia facts zilizo mbele yako zikikukodolea macho...!!

Tumia kichwa chako vizuri kufikiri ndugu..
Bora umemlipua maana watu wengine hawajielewi kabisa wana mahaba kwa chama chao wakati huo huo hawana mahaba kwa wananchi wa Tanzania.
 
Pale niliposikia kua gari lililowabeba washambuliaji limeteketezwa lote, harafu kimya...... Nikajua ni nani wahusika wakuu! Hawa hawa Mana kwa kutumia akili ya kuvukia barabara, kushoto/kulia kiongozi wa kanda huwa anatuma salam au majigambo kwenye Tv,radio kuwa watapatikana, watasakwa, lakini kimyaaa...! Sasa siitaji kutumia akili ya kidato cha IV,
 
Kwani wewe unadhanije?

Kwamba siku ya tukio lile baya kabisa ulinzi wa Govt Quarters za Area D Dodoma ulikuwepo na Wala haukuondolewa..?

Yaani CHADEMA wanatunga visa kuwa Tundu Lissu alipigwa risasi huku ukweli ukiwa hakuwahi kupigwa risasi zozote, au....?

Kama haikuwa hivyo, hebu tuambie, mpaka sasa ni mwana CHADEMA gani alikamatwaga na Kisha kufunguliwaga mashitaka na kukutwa na hatia na Kisha kufungwa jela fulani Kwa kulipua bomu hilo huko Arusha...?

Kwani wewe unafikiri nini?

Tukio lile lilimuathiri kisaikolojia au lilimjenga kisaikolojia yule dereva...?

Kwamba, hufikiri kuwa ni kweli TANPOL wanaweza kulitumia tukio hilo kum - criminalize dereva ili kuisafisha serikali na tuhuma hizi...?

Ni mjinga pekee asiyeweza kuiona possibility ya serikali ya CCM Kwa kuwatumia Polisi kufanya hivi. And likely wewe ni miongoni mwa wajinga hao...!!

Alitoa kauli gani zinazotofautiana Kwa mfano? Hebu leta nukuu ya kauli hizo kama kweli zipo na zinatofautiana ili tujadili hayo....

Mimi nadhani wewe unafikiri Kwa kutumia kiungo kingine na siyo kichwa chako...!

Na kwa ujumla sitakuwa nimekukosea heshima kusema kuwa, wewe ndiye mbumbumbu wa mwisho kabisa kwa sababu unatumia hisia zako tu kujiandikia badala ya kutumia facts zilizo mbele yako zikikukodolea macho...!!

Tumia kichwa chako vizuri kufikiri ndugu..
Wamenywesha maji ya bendera ya chama hao wakajitoa ufahamu.
 
Pale niliposikia kua gari lililowabeba washambuliaji limeteketezwa lote, harafu kimya...... Nikajua ni nani wahusika wakuu! Hawa hawa Mana kwa kutumia akili ya kuvukia barabara, kushoto/kulia kiongozi wa kanda huwa anatuma salam au majigambo kwenye Tv,radio kuwa watapatikana, watasakwa, lakini kimyaaa...! Sasa siitaji kutumia akili ya kidato cha IV,
Dereva lazima akamatwe na ahojiwe
 
Back
Top Bottom