Kwani wewe unadhanije?
Kwamba siku ya tukio lile baya kabisa ulinzi wa Govt Quarters za Area D Dodoma ulikuwepo na Wala haukuondolewa..?
Yaani CHADEMA wanatunga visa kuwa Tundu Lissu alipigwa risasi huku ukweli ukiwa hakuwahi kupigwa risasi zozote, au....?
Kama haikuwa hivyo, hebu tuambie, mpaka sasa ni mwana CHADEMA gani alikamatwaga na Kisha kufunguliwaga mashitaka na kukutwa na hatia na Kisha kufungwa jela fulani Kwa kulipua bomu hilo huko Arusha...?
Kwani wewe unafikiri nini?
Tukio lile lilimuathiri kisaikolojia au lilimjenga kisaikolojia yule dereva...?
Kwamba, hufikiri kuwa ni kweli TANPOL wanaweza kulitumia tukio hilo kum - criminalize dereva ili kuisafisha serikali na tuhuma hizi...?
Ni mjinga pekee asiyeweza kuiona possibility ya serikali ya CCM Kwa kuwatumia Polisi kufanya hivi. And likely wewe ni miongoni mwa wajinga hao...!!
Alitoa kauli gani zinazotofautiana Kwa mfano? Hebu leta nukuu ya kauli hizo kama kweli zipo na zinatofautiana ili tujadili hayo....
Mimi nadhani wewe unafikiri Kwa kutumia kiungo kingine na siyo kichwa chako...!
Na kwa ujumla sitakuwa nimekukosea heshima kusema kuwa, wewe ndiye mbumbumbu wa mwisho kabisa kwa sababu unatumia hisia zako tu kujiandikia badala ya kutumia facts zilizo mbele yako zikikukodolea macho...!!
Tumia kichwa chako vizuri kufikiri ndugu..