Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za kishamba hizo,yule jamaa wenu wa Chato alijifanya kuwa yeye ndiye Mtanzania pekee na kundi lake la akina Sabaya,Musiba,Mahera,Ndugai na Makonda,cha ajabu amekufa Tanzania ikabaki huru kama ilivyokuwa mwanzo kabla yake,mambo ya utekaji na risasi za hadharani hatuzisikii tena.Hata ukitukana wasukuma haitakusaidia kitu
Hakuna kitu kama hicho badala ya kuwakumbuka Nyerere na Mkapa umkumbuke mwendazake,hii ni ajabu kabisa.“......Huu ni mwaka wa tano kuishi nje sio jambo dogo, kufanya maandalizi kunahitaji muda na fedha pia, Rais aliahidi kunilipa fedha za matibabu lakini hazijalipwa hadi leo licha ya kusema niandike madai yangu,” amesema Lissu
Huyu jamaa si aliutangazia umma wa dunia kwamba tayari serikali ya Tanzania imemplipe madai yake yote, mbona anakanusha tena?
Alifikiri urafiki waliokuwa wanaufanya na ahadi hewa zingetokea kirahisi tu kwa utashi wao?
Kuna siku wanaomdhihaki JPM ambaye hayupo kujitetea kutokana na yote anayozushiwa watatamani dunia ipasuke iwameze maana haki ndipo itakapo dhihirika kwa vitendo dhidi yao
Lissu ni Mtanzania kama wewe,pumbavu.Kwani ye lissu nani we pumbavu
Haki mbinguniUnamkamata mtu aliyeshambuliwa?
Mbowe kwao Kericho Kenya unasemaje hilo? Ndiko ndugu zake wengi na wajomba zake wako kule na ana nyumba Kericho KenyaWee ndio tutakufukuzia kwenu burundi siku si nyingi! Warundi mliohamia hapa ndio mliokuja na ubaguzi
[emoji23][emoji23][emoji23]Wamuachie tu Mungu, miaka mitano mingi. Inawezekana hata muuaji mwenyewe akawa kishakufa na kuoza.
Kwamba hajapigwa risasi kama mvua!?Mambo ya MIGA yanakusaidia kumjua alivyomnafiki na muongo muongo huyo Lisu wako
Bashite anatafutiwa kesiDar es Salaam. Ikiwa ni miaka mitano imepita tangu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu kushambuliwa, Jeshi la polisi limesema bado linaendelea kumsubiria mwanasiasa huyo na dereva wake.
Lissu ambaye anaishi nchini Ubelgiji alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 Septemba 7, 2017 nyumbani kwake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria Mkutano wa Bunge.
Baada ya shambulio hilo, Lissu alipelekwa Hospitali ya rufaa ya Dodoma kabla ya kuhamishiwa Nairobi nchini Kenya siku hiyo hiyo alikoanza kufanyiwa operesheni na baadaye kuhamishiwa nchini Ubeligiji anakoishi mpaka sasa.
Katika mtandao wake wa Tweeter leo Jumatano Septemba 7, 2022 Lissu ameadika risasi 16, miaka mitano na operesheni 25 baadaye, bado nimewakomalia na mapambano yanaendelea miaka mitano, nabaki kujiuliza maswali.
“Ni kwanini Serikali na Jeshi la Polisi hadi leo hawafanyi uchunguzi na kwanini nimenyimwa, nimenyimwa haki zangu za msingi ikiwemo matibabu,”
Mwingine aliyetoa ujumbe unaofanana na Lissu ni Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika ambaye aliandika, “IGP na DCI ni vyema mkatumia siku ya leo, kutoa maelezo kwa umma ni kwanini hadi sasa waliomshambulia kwa risasi Tundu Lissu hawajakamatwa na lini mtaridhia wachunguzi”
Mwananchi Digital ilipomtafuta Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema uchunguzi wa kesi yeyote ya jinai unaweza kuendelea hadi pale waliofanya tukio hilo watakapopatikana.
“Watakapopatikana ndipo itajulikana nia ilikuwa ni nini kama Jeshi la Polisi lilivyowahi kusema uchunguzi wa tukio la Tundu Lisu bado tunaendelea nao kwa kukusanya ushahidi kutoka katika vyanzo mbalimbali.
Tulishasema pia aje pamoja na dereva wake ili tupate maelezo yao kwani yatatusaidia kusonga mbele katika uchunguzi wetu,”amesema Misime.
Akizungumza na Mwananchi, Lissu amesema hata kama nchi haiko salama sio sababu ya yeye kutokurudi, kwani kurudi nchini kunahitaji maandalizi ikiwemo fedha.
“Huu ni mwaka wa tano kuishi nje sio jambo dogo, kufanya maandalizi kunahitaji muda na fedha pia, Rais aliahidi kunilipa fedha za matibabu lakini hazijalipwa hadi leo licha ya kusema niandike madai yangu,”amesema Lissu.
Chanzo: Mwananchi
Na ile ya sauth?Lisu na mkubali sanaaa
Ila kile kitendo cha kuuza ramani ya ndege yetu kanada... Kwakweli siku penda basi tuu
Lisu na mkubali sanaaa
Ila kile kitendo cha kuuza ramani ya ndege yetu kanada... Kwakweli siku penda basi tuu
Kumbe dereva yuko Tanzania? Basi polisi hawajui hilo. Ila haijasemwa dereva katoroshwa bali dereva amefichwa huko Ubeljiji na waliomficha ni wale wale walioshambuliwa. Mwanzoni alipokuwa Nairobi walisema kuwa anatibiwa kisaikolojia, Waulize na huko Ubeljiji anafanya nini na kwa nini wawe tayari kumgharamia kiasi hicho? Wewe kama unaona ni kawaida wenzako tunaona kuna kitu. Nakukumbusha kuwa kwenye 2012-2013 hao jamaa walijilipua kwa bomu kule Arusha kwa lengo la kutafuta kiki. Mwanasiasa mmoja Kristofa Mtikila alipouambia umma wa Tanzania kuwa lile bomu walilitega wenyewe alitangazwa adui wao mkubwa kuliko CCM. Mpaka mauti yalipomkuta. Tulishuhudia njia nyingi sana za kutafuta kiki wakati ule ikiwa ni pamoja na kujishambulia, kujiteka, n.k...hiki ulichoandika ni UONGO.
..kama dereva ametoroka basi Polisi wa Tz waripoti kwa INTERPOL ili dereva huyo akamatwe na kurejeshwa Tz.
..Kwasababu Polisi wa Tz hawajachukua hatua hizo maana yake ni kwamba hawamhitaji dereva wa Lissu.
Kumbe dereva yuko Tanzania? Basi polisi hawajui hilo. Ila haijasemwa dereva katoroshwa bali dereva amefichwa huko Ubeljiji na waliomficha ni wale wale walioshambuliwa. Mwanzoni alipokuwa Nairobi walisema kuwa anatibiwa kisaikolojia, Waulize na huko Ubeljiji anafanya nini na kwa nini wawe tayari kumgharamia kiasi hicho? Wewe kama unaona ni kawaida wenzako tunaona kuna kitu. Nakukumbusha kuwa kwenye 2012-2013 hao jamaa walijilipua kwa bomu kule Arusha kwa lengo la kutafuta kiki. Mwanasiasa mmoja Kristofa Mtikila alipouambia umma wa Tanzania kuwa lile bomu walilitega wenyewe alitangazwa adui wao mkubwa kuliko CCM. Mpaka mauti yalipomkuta. Tulishuhudia njia nyingi sana za kutafuta kiki wakati ule ikiwa ni pamoja na kujishambulia, kujiteka, n.k.
Hata ujifariji lakini ukweli uko pale pale.Kumbe dereva yuko Tanzania? Basi polisi hawajui hilo. Ila haijasemwa dereva katoroshwa bali dereva amefichwa huko Ubeljiji na waliomficha ni wale wale walioshambuliwa. Mwanzoni alipokuwa Nairobi walisema kuwa anatibiwa kisaikolojia, Waulize na huko Ubeljiji anafanya nini na kwa nini wawe tayari kumgharamia kiasi hicho? Wewe kama unaona ni kawaida wenzako tunaona kuna kitu. Nakukumbusha kuwa kwenye 2012-2013 hao jamaa walijilipua kwa bomu kule Arusha kwa lengo la kutafuta kiki. Mwanasiasa mmoja Kristofa Mtikila alipouambia umma wa Tanzania kuwa lile bomu walilitega wenyewe alitangazwa adui wao mkubwa kuliko CCM. Mpaka mauti yalipomkuta. Tulishuhudia njia nyingi sana za kutafuta kiki wakati ule ikiwa ni pamoja na kujishambulia, kujiteka, n.k.
Mpe mtu wa kwenda kuishi naye Somalia amezoea hapa Tz akilala anashika tyakko laini la binti wa kitanga huko atapata wapi hiyo huduma,mhakikishie tafadhali.??Hamia Somalia bwege wewe
Hata ujifariji lakini ukweli uko pale pale.